unamaanisha hilihili zoezi la viungo ama zoezi jingine?Nikikaa siku tatu bila kufanya zoezi naskia kuumwa kabisa.
hahaaaa hujawa na nia ya dhati kabisa ya kufanya mazoezi aisee!Harakati zangu za mazoezi zilianza tangu Enzi za ujana huko chuo hadi sasa mtu mzima, Lakini hazijawahi kudumu japo kwa wiki mbili.
Nakumbuka enzi hizo; Niliwahi andaa Jogging kuanzia mliman chuo, kupitia Ubungo > Magomeni > Morocco > Mwenge
Tuliondoka vizuri tu lakini nilipofika Manzese Nilichemsha kwakweli, ikabidi Nipande zangu daladala hadi Mwenge!
Sikurudia tena kufanya kwanza nikaanza kujifariji; Sina hela ya kula vizuri mazoezi ya nini, nikaachana na mazoezi uchwara!
Nilivyomaliza chuo; Mzuka wa mazoezi ukaanza tena; nikawa siku za weekend naenda kunduchi beach, lakini napo sikudumu sana kwasababu ya visingizio vya kukosa nguo za mazoezi,
Mungu si Athumani, nikanunua raba na pensi ya michezo, nikarudi ulingoni! Kulekule Kunduchi Beach, siku za weekend, siku ya kwanza nikakaza fresh, siku ya pili pia nikakomaa, Siku ya tatu nikawaza: Ya nini kufanya mazoezi alfajili mwisho nikabwe bure? NIKAACHA!
Maisha yakaendelea miaka na miaka, nikawaza huenda mazoezi mazuri ni yale ya GYM, wacha nikajiandikishe.
Nililipia GYM mwezi mmoja, katika mahudhurio yangu pale GYM nakumbuka nilifika siku tatu tu nikaghairi; kwanza nikawaza, mazoezi gani sina hata gari aaah? ...Nikaachana na GYM
Miaka ikasonga! Niliponunua gari, nikarudi tena GYM kujiandikisha, nikahudhuria siku mbili nikaopoa mrembo mmoja; sikurudi tena mazoezini, na mazoezi nikaacha tena. Kwanza nikawaza napoteza pesa na mafuta bure.
Nikajisemea wacha nikija jenga nyumba yangu nitaweka chumba cha mazoezi.
Miaka ikasonga, nilipojenga, nikaweka chumba cha mazoezi, lakini nakumbuka nilifanya wiki moja tu, nikawaza tena labda wacha ninunue mashine kabisa za mazoezi zitanisaidia!
Mwaka jana nilifanikiwa kuzinunua lakini nimezitumia siku chache tu nikaona miyeyusho! NIKAACHA
Hadi leo chumba cha mazoezi nimekigeuza STOO!
Mazoezi yana wenyewe! Tuwaachie mazoezi yao EBOOOH!!
Harakati zangu za mazoezi zilianza tangu Enzi za ujana huko chuo hadi sasa mtu mzima, Lakini hazijawahi kudumu japo kwa wiki mbili.
Nakumbuka enzi hizo; Niliwahi andaa Jogging kuanzia mliman chuo, kupitia Ubungo > Magomeni > Morocco > Mwenge
Tuliondoka vizuri tu lakini nilipofika Manzese Nilichemsha kwakweli, ikabidi Nipande zangu daladala hadi Mwenge!
Sikurudia tena kufanya kwanza nikaanza kujifariji; Sina hela ya kula vizuri mazoezi ya nini, nikaachana na mazoezi uchwara!
Nilivyomaliza chuo; Mzuka wa mazoezi ukaanza tena; nikawa siku za weekend naenda kunduchi beach, lakini napo sikudumu sana kwasababu ya visingizio vya kukosa nguo za mazoezi,
Mungu si Athumani, nikanunua raba na pensi ya michezo, nikarudi ulingoni! Kulekule Kunduchi Beach, siku za weekend, siku ya kwanza nikakaza fresh, siku ya pili pia nikakomaa, Siku ya tatu nikawaza: Ya nini kufanya mazoezi alfajili mwisho nikabwe bure? NIKAACHA!
Maisha yakaendelea miaka na miaka, nikawaza huenda mazoezi mazuri ni yale ya GYM, wacha nikajiandikishe.
Nililipia GYM mwezi mmoja, katika mahudhurio yangu pale GYM nakumbuka nilifika siku tatu tu nikaghairi; kwanza nikawaza, mazoezi gani sina hata gari aaah? ...Nikaachana na GYM
Miaka ikasonga! Niliponunua gari, nikarudi tena GYM kujiandikisha, nikahudhuria siku mbili nikaopoa mrembo mmoja; sikurudi tena mazoezini, na mazoezi nikaacha tena. Kwanza nikawaza napoteza pesa na mafuta bure.
Nikajisemea wacha nikija jenga nyumba yangu nitaweka chumba cha mazoezi.
Miaka ikasonga, nilipojenga, nikaweka chumba cha mazoezi, lakini nakumbuka nilifanya wiki moja tu, nikawaza tena labda wacha ninunue mashine kabisa za mazoezi zitanisaidia!
Mwaka jana nilifanikiwa kuzinunua lakini nimezitumia siku chache tu nikaona miyeyusho! NIKAACHA
Hadi leo chumba cha mazoezi nimekigeuza STOO!
Mazoezi yana wenyewe! Tuwaachie mazoezi yao EBOOOH!!
Kipindi nasoma O level ile miaka minne yote niliitumia kucheza Mpira na mazoezi ya karate.
Lakini baada ya kumaliza tu mitihani nilivyorudi home nikabaki nafanya mazoezi ya mpira Mara chache sana.
Baada ya miaka 20 kupita na kuwa na tumbo kama nimeweka mitambala niliaanza kujinyima kula ili kushape vizuri tumbo nikawa napungua mwili tumbo lipo vile vile nikashauriwa nipige push up daily.
Hivyo nimeanza sasa hivi Nina week ya tatu naona matokeo si mabaya sana.
Leo Juma pili hii mpaka sasa hivi nipo kitandani naperuzi JF sijapiga push up hata moja.
wanakucheka hicho kitambi au?Mkuu hata mm nilikuwa kama ww lakin ..kikafanya nachokipenda ,nikajiunga na timu ya vijana hapa mtaan kaz zangu za usiku so napata mda wa mazoez japo wananicheka lakin natoka josho ...
aliekuambia mazoezi ya kunyanyua vyuma ndio yana guarantee pumzi ni nani?Jipe matumaini ya uongo mamaeee!
Hapo kwenyewe unapumulia mashine kwa upumuaji ulivyo wa hovyo!
Kanyanyue vyuma acha umama!
Mungu ibariki Chato
Mazoezi ni wito,yanataka ujisacrifice vinginevyo utajiambia mwenyewe kama Sikiri "nakufa hapa kwann wakati Sadiki ashiba chakula kingi kwa baba..",?? Utajirudia zako home mdogo mdogo huku Uvivu ukikupa tulizo la nafsi na burdani isiyoisha..Mazoezi yanataka ujikatae
Mungu Ibariki Tanzania
Mungu Ibariki Chakwale
Mungu Ibariki Morogoro
Mungu Ibariki Gairo
maisha ya kutembea mwendo mrefu ya bwana yesu na wanafunzi wake kwenda kuhubiri injili ni zaidi ya mazoezi ya siku hiziNimesoma maisha ya Yesu na wanafunzi wake na sijaona hata sehemu moja kwamba kuna siku walienda kufanya mazoezi
Ni sawa na kijana mdogo kushinda madrasaKitambi huna
Mwili wa kizembe huna
Mazoezi ya nini ?
Ni sawa na kijana mdogo kushinda kanisani
Mimi napenda mwanamke asiye na Manyonyo...nipm basiMimi napenda nisiwe na manyonyo.
aliekuambia mazoezi ya kunyanyua vyuma ndio yana guarantee pumzi ni nani?
hahaahahaahahahaaa huu uzi haujaniacha salama..Nimesoma maisha ya Yesu na wanafunzi wake na sijaona hata sehemu moja kwamba kuna siku walienda kufanya mazoezi
huna unalolijua zaidi ya matusi?Kwa mujibu wa research za madaktari na sio wewe kilaza huna degree yoyote ya medicine!
Na reports zipo!
Tukusikie wewe mavi kunuka tukupeleke wapi?
Kwa mujibu wa research za madaktari na sio wewe kilaza huna degree yoyote ya medicine!
Na reports zipo!
Tukusikie wewe mavi kunuka tukupeleke wapi?