Wajinga wachache kama sio wapumbavu wamekuwa siku zote kupost post zakuvunjaa moyo kukatisha tamaa serikali na kufanya mambo unaweza fikiri huenda ni warundi ama wanyarwanda sio wazawa wa taifa hili.
Kila jambo anafanya huyu Rais watu mna muhujumu what if na rais akiamua wahujumu mnao muhujumu mnafikiri mtaweza hata nyanyua vidole juu kama Tundu Lissu jana au mtakuwa kama panya waliokula sumu na wanasubiri muda kuondoka.
Hivi kazi anayo fanya rais wetu ni kwa faida yake na ukoo wake ama ni kwa maendeleo ya taifa hili na kizazi kijacho. Mbona tumekuwa wajinga na wapumbavu tusiojua taifa hili limetoka wapi na wapi tunaelekea. Siasa maji taka na upinzani uchwara mnataka hili taifa lisitawalike na kuona watu wanauwana na kumsaliti rais wao na Serikali yake?
Basi mimi nasema haitotokea maana watu tulimuomba Mungu tunajua taifa linaenda wapi na bila shaka litafika nyie msioamini msiamini maana hamtakuwepo that tine watu wanafurahia matunda ya awamu ya tano.
Watanzania tusiwe wajinga na tujiongeze.
Kila jambo anafanya huyu Rais watu mna muhujumu what if na rais akiamua wahujumu mnao muhujumu mnafikiri mtaweza hata nyanyua vidole juu kama Tundu Lissu jana au mtakuwa kama panya waliokula sumu na wanasubiri muda kuondoka.
Hivi kazi anayo fanya rais wetu ni kwa faida yake na ukoo wake ama ni kwa maendeleo ya taifa hili na kizazi kijacho. Mbona tumekuwa wajinga na wapumbavu tusiojua taifa hili limetoka wapi na wapi tunaelekea. Siasa maji taka na upinzani uchwara mnataka hili taifa lisitawalike na kuona watu wanauwana na kumsaliti rais wao na Serikali yake?
Basi mimi nasema haitotokea maana watu tulimuomba Mungu tunajua taifa linaenda wapi na bila shaka litafika nyie msioamini msiamini maana hamtakuwepo that tine watu wanafurahia matunda ya awamu ya tano.
Watanzania tusiwe wajinga na tujiongeze.