Tusio na parking majumbani mwetu

uajekundu

JF-Expert Member
Jan 14, 2016
541
461
Habari zenu, Leo hii naomba kuongelea wale tunao miliki magari lakini hatuna parking, yaani kuna jambo linakera mtaani kwetu, tuna paki gari CCM lakini CCM hao wamekua ni wanyanyasaji wa hali ya Juu,

Imagine sheria yao inasema geti linafungwa saa4 asubuhi baada ya magari yote kutoka lakini wanatulazimisha kutoa magari SAA 12 kasoro asubuhi.

Pili hawatoi risiti za aina yeyote je hii ni halali? Huu uonevu unakera kwakweli nafikiria kwenda kuwashitaki TRA waanze kutozwa kodi haiwezekani magari zaidi ya 30 yanalala pale na hakuna risiti wala kumjali mteja.

Nyie kwenu huko hali ikoje?
 
Jenga parking yko, kisha hawakulazimishi kulaza pale!!
However kaa ukijua CCM ni maji USIPOKUNYWA basi UTANAWA au KUOSHEA GARI LAKO



~Cmb
 
Mkuu vumilia tu hadi kipato kiongezeke. ....
Utafute nyumba yenye parking kabisa
Watanzania wengi bado wapo kwenye ujima, anatoa huduma kama ville amelazimishwa
Na mfumo wa jiji letu ni wa mwaka 47,
No wonder RC anazungumzia vitu petty sana
Sijui ombaomba mara shisha. ....
Pole sana kaka,I can feel your pain
 
Mkuu vumilia tu hadi kipato kiongezeke. ....
Utafute nyumba yenye parking kabisa
Watanzania wengi bado wapo kwenye ujima, anatoa huduma kama ville amelazimishwa
Na mfumo wa jiji letu ni wa mwaka 47,
No wonder RC anazungumzia vitu petty sana
Sijui ombaomba mara shisha. ....
Pole sana kaka,I can feel your pain
Its true watanzania yunakazi sana hasa kwenye suala la customer care, yaani they don't care kwamba tunalipa hela zetu pale..na watabaki hivo hivo
 
Habari zenu, Leo hii naomba kuongelea wale tunao miliki magari lakini hatuna parking, yani kuna jambo linakera mtaani kwetu, tuna paki gari Ccm lakini Ccm hao wamekua no wanyanyasaji Wa hali ya Juu, imagine sheria yao inasema geti linafungwa saa4 asubuhi baada ya magari yote kutoka lakini wanatulazimisha kutoa magari SAA 12 kasoro asubuhi, Pili hawatoi risiti za aina yeyote he hii no halali? Huu uonevu unakera kwakweli nafikiria kwenda kuwashitaki TRA waanze kutozwa kodi haiwezekani magari yaidi ya 30 yanalala pale na hakuna risiti wala kumjali mteja.
Nyie kwenu huko hali ikoje
Kapaki CHADEMA.
 
Habari zenu, Leo hii naomba kuongelea wale tunao miliki magari lakini hatuna parking, yani kuna jambo linakera mtaani kwetu, tuna paki gari Ccm lakini Ccm hao wamekua no wanyanyasaji Wa hali ya Juu, imagine sheria yao inasema geti linafungwa saa4 asubuhi baada ya magari yote kutoka lakini wanatulazimisha kutoa magari SAA 12 kasoro asubuhi, Pili hawatoi risiti za aina yeyote he hii no halali? Huu uonevu unakera kwakweli nafikiria kwenda kuwashitaki TRA waanze kutozwa kodi haiwezekani magari yaidi ya 30 yanalala pale na hakuna risiti wala kumjali mteja.
Nyie kwenu huko hali ikoje
ulinunua gari ya nini wakati umepanga wewe? vijana wa sasaivi mnashangaza sana.
 
Back
Top Bottom