Tusimuonee Rais Dkt. Magufuli na hakuanza Yeye Kuteua Watoto wa ' Vigogo ' nchini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,544
108,871
Kuna Vitu vingine havivumiliki na kwa Sisi wengine ambao hatujaumbwa na ' Unafiki ' huwa hatupendi kuviacha vikapita hivi hivi. Anayemsema leo Rais JPM kuwa anateua tu Watoto wa Wakubwa na Wastaafu arudi nyuma katika Historia ya Uongozi nchi hii kuanzia Awamu ya Kwanza hadi ya Nne kisha aniambie kama huu ' utaratibu ' ulikuwa haufanyiki.

Tumezidi sasa Kumsakama Rais JPM tubadilike. Kwanza kuna Faida kubwa Kumteua Mtu ambaye amezaliwa katika Familia ya Uongozi / Utawala kuliko Kumteua tu Mtu ' Mshamba / Mbwigira ' aliyetokea zake tu huko Kyaka Nkunde, Ikupilipa Nkoba na Mbwinde ambaye anakuja Kuanza kuwapa Watu taabu ya Kumuongoza na Kumsimamia hata katika Uchaguaji na Uvaaji wa Suti na Tai huku wengine wakibidi hadi waelekezwe jinsi ya Kukaa katika Magari yao na mambo mengineyo mengi tu ( Nimechomekea tu Utani hapa tafadhalini )

Mimi kama Rais JPM amewateua hao Watoto wa ' Vigogo ' halafu kumbe hawana Sifa hapo naweza kama kawaida yangu nikamchana / nikamsema hapa ' Mubashara ' kabisa ila kama amewateua au anawateua halafu na wenyewe kumbe wana Sifa stahili basi namwomba Mheshimiwa Rais aendelee Kuwateua kwa Kadri anavyotaka na atakavyojisikia na wala GENTAMYCINE sioni tatizo lolote hapo sana sana tu naanza kuona tabia mbaya ( Kajiutamaduni kabaya ) ambapo Watanzania wa sasa tumeanza kuwa na Wivu pamoja na Chuki za ' Kipopoma / Kipumbavu ' kwa Wenzetu ambao ni Watoto wa Viongozi ambao wanateuliwa katika Nyadhifa / Nafasi mbalimbali. Naiona hii kama aina moja wapo ya Ubaguzi kati ya zile Tatu ( 3 ) kubwa zilizopo.

Hongera tu Kwake Mheshimiwa Rais kwa ' Kumtumbua ' Mtoto wa aliyekuwa mwana ' Eagle Wing House ' Mwandamizi Mzee Mbogho aitwae Aoron ( Aron ) nadhani hapa wana Mtaa wa Mkadini Oysterbay mnaelewa vyema na ' Kumteua ' Mtoto wa aliyekuwa mwana ' Eagle Wing House ' Mwandamizi Mzee Mwang'onda aitwae Thomas ambaye nadhani wana Mitaa ya Bongoyo hadi Jirani na Shule ya Msingi ya Oysterbay mnaelewa vyema tu.

Nawasilisha.
 
Sasa na sisi watoto wa maskini ngumbaru ambao ndo wafia chama nani atatuteua

Sent using Jamii Forums mobile app

Ulizaliwa na Ukue kisha uje Kuteuliwa na Marais wote wa Tanzania kutoka Chama cha CCM? Kwani Watu wote ambao hawajateuliwa na wala hawajishughulishi na mambo ya Siasa hawaendeshi Maisha yao tena pengine ni mazuri hata kuliko ya hao unawaonea gere / wivu kuwa Wameteuliwa kwakuwa ni Watoto wa Vigogo na Wastaafu Waandamizi Serikalini hadi katika Idara zake mbalimbali na Nyeti?
 
Kuna Vitu vingine havivumiliki na kwa Sisi wengine ambao hatujaumbwa na ' Unafiki ' huwa hatupendi kuviacha vikapita hivi hivi. Anayemsema leo Rais JPM kuwa anateua tu Watoto wa Wakubwa na Wastaafu arudi nyuma katika Historia ya Uongozi nchi hii kuanzia Awamu ya Kwanza hadi ya Nne kisha aniambie kama huu ' utaratibu ' ulikuwa haufanyiki.

Tumezidi sasa Kumsakama Rais JPM tubadilike. Kwanza kuna Faida kubwa Kumteua Mtu ambaye amezaliwa katika Familia ya Uongozi / Utawala kuliko Kumteua tu Mtu ' Mshamba / Mbwigira ' aliyetokea zake tu huko Kyaka Nkunde, Ikupilipa Nkoba na Mbwinde ambaye anakuja Kuanza kuwapa Watu taabu ya Kumuongoza na Kumsimamia hata katika Uchaguaji na Uvaaji wa Suti na Tai huku wengine wakibidi hadi waelekezwe jinsi ya Kukaa katika Magari yao na mambo mengineyo mengi tu ( Nimechomekea tu Utani hapa tafadhalini )

Mimi kama Rais JPM amewateua hao Watoto wa ' Vigogo ' halafu kumbe hawana Sifa hapo naweza kama kawaida yangu nikamchana / nikamsema hapa ' Mubashara ' kabisa ila kama amewateua au anawateua halafu na wenyewe kumbe wana Sifa stahili basi namwomba Mheshimiwa Rais aendelee Kuwateua kwa Kadri anavyotaka na atakavyojisikia na wala GENTAMYCINE sioni tatizo lolote hapo sana sana tu naanza kuona tabia mbaya ( Kajiutamaduni kabaya ) ambapo Watanzania wa sasa tumeanza kuwa na Wivu pamoja na Chuki za ' Kipopoma / Kipumbavu ' kwa Wenzetu ambao ni Watoto wa Viongozi ambao wanateuliwa katika Nyadhifa / Nafasi mbalimbali. Naiona hii kama aina moja wapo ya Ubaguzi kati ya zile Tatu ( 3 ) kubwa zilizopo.

Hongera tu Kwake Mheshimiwa Rais kwa ' Kumtumbua ' Mtoto wa aliyekuwa mwana ' Eagle Wing House ' Mwandamizi Mzee Mbogho aitwae Aoron ( Aron ) nadhani hapa wana Mtaa wa Mkadini Oysterbay mnaelewa vyema na ' Kumteua ' Mtoto wa aliyekuwa mwana ' Eagle Wing House ' Mwandamizi Mzee Mwang'onda aitwae Thomas ambaye nadhani wana Mitaa ya Bongoyo hadi Jirani na Shule ya Msingi ya Oysterbay mnaelewa vyema tu.

Nawasilisha.

Asilimia kubwa ya hao watoto wa vigogo ndio wana elimu kubwa na experience inayotakiwa hawa watoto wa maskini watembea na bahasha kuomba kazi na kujitolea nani awateue? Na wengi wao njaa kali wakipata kanafasi kadogo basi watapiga na kuhakikisha mpaka mtoto wa dada anasoma ist


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Asilimia kubwa ya hao watoto wa vigogo ndio wana elimu kubwa na experience inayotakiwa hawa watoto wa maskini watembea na bahasha kuomba kazi na kujitolea nani awateue? Na wengi wao njaa kali wakipata kanafasi kadogo basi watapiga na kuhakikisha mpaka mtoto wa dada anasoma ist


Sent from my iPhone using JamiiForums

Mkuu heko / kongole / hongera kwani umesema ukweli mtupu tena wa 100% japo najua kuna watakaokuchukia kwa uwazi wako huu.
 
Tatizo sio kuteua watoto wa vigogo, tatizo litakuja kama watoto wa vigogo wanaoteuliwa hawana sifa na vigezo kutimiza majukumu wanayopewa.

Ukweli nu kwamba watoto wengi (ila sio wote) wa vigogo wana sifa na vigezo. Wamesoma shule za kueleweka na wameelimika. Kama hawakupata scholarship basi wazazi wao walikua na fedha za kuwasomesha vyuo mbalimbali, kupata internship za kweli, kupata elimu za juu na wanatumia network ya wazazi wao kupata prime opportunities.

Sisi wa shule za kata tutaendelea kusubiri, na kusubiri sana. Kwa nini? Kwa sababu hata tukiwa na vigezo sawa, au zaidi ya watoto wa vigogo, wako vizuri kwenye networking, au network za wazazi wao... probability ya wao kujulikana wana vigezo ni kubwa kuliko watoto wa wakulima, children of peasants.
 
Tatizo sio kuteua watoto wa vigogo, tatizo litakuja kama watoto wa vigogo wanaoteuliwa hawana sifa na vigezo kutimiza majukumu wanayopewa.

Ukweli nu kwamba watoto wengi (ila sio wote) wa vigogo wana sifa na vigezo. Wamesoma shule za kueleweka na wameelimika. Kama hawakupata scholarship basi wazazi wao walikua na fedha za kuwasomesha vyuo mbalimbali, kupata internship za kweli, kupata elimu za juu na wanatumia network ya wazazi wao kupata prime opportunities.

Sisi wa shule za kata tutaendelea kusubiri, na kusubiri sana. Kwa nini? Kwa sababu hata tukiwa na vigezo sawa, au zaidi ya watoto wa vigogo, wako vizuri kwenye networking, au network za wazazi wao... probability ya wao kujulikana wana vigezo ni kubwa kuliko watoto wa wakulima, children of peasants.

Sasa serikali hii si ya wanyonge? Mbona sisi wanyonge hatukumbukwi!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom