Tusimlaumu spika bure..........cv yake hii hapa,angalia education background....

Mbona iko vizuri tu wakuu!!

Mbona hao tunaosema wanaMi-degree sijui ya kitu gani wamechemsha vibaya? Ona Waziri wa umeme ana degree sijui ya kutoka Harvard University (Chuo kinachoheshimika duniani) lakini anafanya madudu gani hapo? Njoo kwa Mkulu sijui naye eti ana shahada ya uchumi (tena kutoka UD) nini amefanya kwenye uchumi kama siyo uchumi-a tumbo!

Madam speaker tusimwonee amesoma wazee!! Pia tukumbuke kuwa enzi hizo (sikumbuki kama mpaka sasa hivi) Advanced Diploma ilikuwa sawa na shahada ya kwanza mtu alikuwa anaweza kutoka hapo na kuingia Masters kwa kutumia hiyo hiyo Advanced Diploma yake. mimi

Mama umesoma ila unachemsha ki-CCM CCM tu! Mbona wenzio huko kwenye chama nao wanachemsha pamoja na mi-degree yao!!!
ubaya wa spika ni pale anapobaka uhuru wa wabunge kuchangia katika mijadala na hasa wabunge wa chadema,tafadhali
 
Nadhani wakuu yale anayoyafanya Madam spika bungeni yanafanana na CV yake hasa kwenye eneo la elimu...........kwa cheo kama chake nadhani tuliitaji mtu mwenye elimu kubwa zaidi.........................

Yaani kasomea ADMINISTRATION tu? God help us all! Duuuuuh!
 
shida ni katiba yetu.haiwezekani kigezo (pamoja na vingine)kuwa kujua kusoma na kuandika.diwani anayejua kusoma na kuandika anawezaje kumdhibiti mkurugenzi,mbunge naye.ni sawa na yanapotoka matangazo ya kujiunga na majeshi eti angalau mwombaji awe angalau na dv4 ya pt28 baadaye anakuwa captain/lutain/canal na mwisho mkuu wa wilaya/mkoa uozo mtupu.hawa wa2 ss hivi wengine ma mps, waliimbaimba cjui kidumu nn.2jiulize hivi uanajeshi hauhitaji elimu sana.we definetely need to change the system
 
CV iko plain sana toka akamue miaka ya 1975 mpaka leo ata kujiendeleza?
Alafu alikamua miaka minne ADCA mi najua iyo ni miaka mitatu ngoja nifuatilie usije kuta alirudia?
 
cv haikupelekwa bungeni ila vigezo vilikuwepo na kigezo kikubwa kiliktwa mwombaji yyt ale kiapo kuwa atawaonea wapinzani na atailinda ccm na viongozi wk wt kwa nguvu zake zote, yy alishinda kwani alikta na vigezo vyote

Mkuu maelezo haya ni ya kweli?
 
shida ni katiba yetu.haiwezekani kigezo (pamoja na vingine)kuwa kujua kusoma na kuandika.diwani anayejua kusoma na kuandika anawezaje kumdhibiti mkurugenzi,mbunge naye.ni sawa na yanapotoka matangazo ya kujiunga na majeshi eti angalau mwombaji awe angalau na dv4 ya pt28 baadaye anakuwa captain/lutain/canal na mwisho mkuu wa wilaya/mkoa uozo mtupu.hawa wa2 ss hivi wengine ma mps, waliimbaimba cjui kidumu nn.2jiulize hivi uanajeshi hauhitaji elimu sana.we definetely need to change the system
absolutely
 
tatizo liko wapi kwenye hiyo cv?
Mama yangu mimi amesoma na Anna ,Alishindwa mtihani wa kuingia UD lakini mama anasema alikuwa na akili mno darasani . Aliumwa hakuweza kuja kwenye mtihani . Ila always alikuwa mtot wa kwanza darasani .Mama yangu ndio alikuwa katibu mkuu na sasa yupo world bank lakini ananiambiaga mama anna makinda anaakili mno so . Degree ya mzumbe ilikuwa inadhamani sana enzi hizo . Halafu ni blessing ya mtu mungu amemwamini na hiyo kazi hun haja ya kuwa na wivu maana huwezi kufanikiwa namna hiyo . Elimu imeshuka dhamani tangia enzi hizo . Ujanja kuwahi sasa hivi na watu hawapendi kufanya kazi serikalini mshahara mdogo. Kwa hiyo ukiona mtu anafanya kazi serikaini ni amejitolea muda wake ok.
 
Msimuhumuku bure huyu mama. Kipimo kizuri fananisheni CV yake na maspika waliopita kisha ndio mpate jawabu.
 
Kwa hali hii kweli mikataba hewa a.k.a feki itakwisha?
Kuna ACT zitapitishwa bila ya kujua maskini tANZAnia weeeeeeeeeeeee!
 
Sam Nujoma alikuwa darasa la saba, lakini aliiongoza nchi yake vizuri, Mugabe has 8 academic degrees lakini Zimbabwe ipo matatani na ina kashikashi nyingi, tuna CEO mmoja wa bank hapa tanzania hana degree na bank yake inafanya vizuri. Wapo watu wasomi wanaoongoza vizuri na wapo watu wasomi wasioongaza vuzuri and vice versa. Ninachoaamini mimi uongozi ni zaidi ya elimu, hivyo nionavyo mimi shida ya Makinda haitokana na elimu yake.
 
Mama yangu mimi amesoma na Anna ,Alishindwa mtihani wa kuingia UD lakini mama anasema alikuwa na akili mno darasani . Aliumwa hakuweza kuja kwenye mtihani . Ila always alikuwa mtot wa kwanza darasani .Mama yangu ndio alikuwa katibu mkuu na sasa yupo world bank lakini ananiambiaga mama anna makinda anaakili mno so . Degree ya mzumbe ilikuwa inadhamani sana enzi hizo . Halafu ni blessing ya mtu mungu amemwamini na hiyo kazi hun haja ya kuwa na wivu maana huwezi kufanikiwa namna hiyo . Elimu imeshuka dhamani tangia enzi hizo . Ujanja kuwahi sasa hivi na watu hawapendi kufanya kazi serikalini mshahara mdogo. Kwa hiyo ukiona mtu anafanya kazi serikaini ni amejitolea muda wake ok.


Unachanganya mambo mama yako katoka wapi?,
na iweje awe na akili ashindwe kuingioa UD?,
na hiyo red maana yake nini?,
mwisho mzumbe walikuwa wanatoa degree au diploma?

TULIA SOMA NA UELEWE KISHA CHANGIA.
 
Sam Nujoma alikuwa darasa la saba, lakini aliiongoza nchi yake vizuri, Mugabe has 8 academic degrees lakini Zimbabwe ipo matatani na ina kashikashi nyingi, tuna CEO mmoja wa bank hapa tanzania hana degree na bank yake inafanya vizuri. Wapo watu wasomi wanaoongoza vizuri na wapo watu wasomi wasioongaza vuzuri and vice versa. Ninachoaamini mimi uongozi ni zaidi ya elimu, hivyo nionavyo mimi shida ya Makinda haitokana na elimu yake.

Mkuu kuna vyeo vingine huitaji elimu ya juu sana kwa sababu
una waandamizi/wasaidizi ambao ni capable/working force ila
cheo cha mama kinahitaji mtu mwenye shule na upeo otherwise itakuwa kama ilivyo sasa

Na hiyo red tupe jibu inatokana na nini?
 
SEHEMU ZOTE ALIZOKUWA BOARD MEMBER MASHIRIKA NA TAAISISI ZIMEKUFA BADO KULIUA BUNGE TU NDIO KILICHOBAKI NA KWA JINSI HALI NINAVYOIONA MWISHO WA BUNGE UNAKARIBIA.

National Bank of Commerce
Board Member
1978
1983
Surveyors Building Contractors Consultants
Board Member
1978
1983
Tanzania Railways Corporation
Board Member
1977
1983
Tanzania Legal Corporation
Board Member
1977
1983
Mbeya Textile Company
Board Member
1977
1983
National Textile Company
Board Member
1976
1983
Tanzania Elimu Supplies
Board Member
1976
1983
The Public Accounts Committee of the Parliament
Member
1975
1983
Tanzania Audit Corporation
Auditor
1975
1976
The Institute of Development Management-Mzumbe
Board Member
1971
1976

Hapo kwenye Red hizo taasisi zote zimekufa kibudu sijui huo uboard Member alikua anafanya nini! Tusubiri pia aue na hilo bunge analoliongoza.
 
Hata angekuwa na Cv nzuri kiasi gani sembuse hii ya kawaida tu bado tungeangalia jambo moja tu.... PERFORMANCE.
 
I dont think so for what you conclude to Madame Speaker, Mungu amemuumba binadamu na karama nyingi tu, apart from Eimu inayomsaidia mtu kuweza kuwa na kifra zaidi ila kuna Hekima na Busara havina shule, Madame speaker ana mtazam o wa kueleweka, ana fikra, ana busara na anapenda changamoto, sasa ndugu zangu mnamlalamikia Madame Speaker pamoja hawezi kuwa 100% perfect jua kila binadamu ana udhaifu wake. Just imagina aliyemtangulia sidhani kama alikuwa perfect kiasi mnavyofikiria alikuwa ni mtu wa majungu, embu jaribuni kuangalia background yake kama kweli alikuwa ni mtetezi ama alikuwa ni mtu wa majungu, fuatilieni alipokuwa CDA kwanini Nyerere alimtoa? Alipokuwa spika fuatilieni alikuwa anakaa kwenye nyumba yenye gharama kiasi gani kilichokuwa kinalipiwa na serikali (USD 8000/pm) mzalendo huyu???, alipandisha what is so called posho za kujikimu, mishahara ya wabunge, na mambo mengi tu ndani ya bunge lililopita, tusimhukumu mtu, historia ndio itakayomhukumu

Changamoto zipi unazoziongelea?
 
Back
Top Bottom