Ni masikitiko makubwa sasa serikali inataka kutuongezea malipo ya kodi ya nyumba kama walivyokuwa wanafanya madalali wa nyumba.
Sasa serikali inataka kila mwaka iwe inakusanya mapato ya uonevu kwetu maskini
Nalipwa mshahara nakatwa kodi,nikiitoa pesa benki nakatwa,kodi,nikipia umeme nakatwa kodi ya nyumba,nikilipa kodi ya pango,natakiwa nikamlipie kodi mwenye nyumba.Mwenye nyumba akishasema tu nilipe changu,unabaki wewe na deni la kulipa TRA tena!
Kwa kweli ni ukatili sana huu lakini sisi tutamlilia Mungu wetu.Maana hawawezi kutenda haki kwa vile wana nguvu ya dola.
Hatuwezi kuwaondoa kwa kura kwani wana tumia pesa za kodi zetu kutukandamiza.Mungu yupo
Sasa serikali inataka kila mwaka iwe inakusanya mapato ya uonevu kwetu maskini
Nalipwa mshahara nakatwa kodi,nikiitoa pesa benki nakatwa,kodi,nikipia umeme nakatwa kodi ya nyumba,nikilipa kodi ya pango,natakiwa nikamlipie kodi mwenye nyumba.Mwenye nyumba akishasema tu nilipe changu,unabaki wewe na deni la kulipa TRA tena!
Kwa kweli ni ukatili sana huu lakini sisi tutamlilia Mungu wetu.Maana hawawezi kutenda haki kwa vile wana nguvu ya dola.
Hatuwezi kuwaondoa kwa kura kwani wana tumia pesa za kodi zetu kutukandamiza.Mungu yupo