Tusilaumu aliyepewa PhD kama zawadi tukasahau Kumlaumu Mtoa zawadi

Kada Deya

Senior Member
Nov 8, 2011
152
47
WATAALAM MSIKUBALI KUPAKWA MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA

Taasisi kubwa ya elimu kama Chuo kikuu inapomtunuku cheti cha PHD mtu ambaye hastahili kwasababu tu ni [HASHTAG]#Kiongozi[/HASHTAG] au [HASHTAG]#mwanasiasa[/HASHTAG] na anaweza kuwasaidia personally wataalam husika (waliompa cheti kwa hisani) mbeleni ni hatari sana kwa afya ya elimu ya nchi hiyo hasa kama kiongozi / Mwanasiasa huyo atapata fursa ya kuwa kiongozi wa juu kwani anaweza kuwaumbua ikiwa atashindwa kuitumia elimu yake kwa vitendo.

Mtu anayedhaniwa kuwa na PHD anaposhindwa hata kujieleza kwa lugha ya Kiingereza ambayo ndio lugha ya mtaala aliotumia kutokashule ya sekondari mpaka chuo kikuu (wastani wa miaka 17) athari za [HASHTAG]#UBABAISHAJI[/HASHTAG] huo haziishii kwa mtu huyo pekee bali pia huwafanya watu waanze kujiuliza kuhusu [HASHTAG]#UHALALI[/HASHTAG] wa vyeti vyote vya ngazi zote walivyopewa viongozi na wanasiasa wote waliopitia katika chuo hicho.

Mbaya zaidi ni pale wataalam wa chuo husika wanapofurahia uteuzi wa nafasi za kisiasa kama hisani ilhali nafasi hizo zinawanyima uhuru wakufikiri na kutenda kwa weledi badala yake wanalazimika kuweka elimu zao mfukoni na kuishi kama kasuku wakingojeakuiga sauti ya bosi wao tu.

Kama chuo kinaweza kutoa zawadi ya cheti halali cha PHD halisi ambayo ni kiwango cha juu kabisa cha elimu kwa mtu asiyestahili kwasababu tu ni Mwanasiasa au kiongozi. Jiulize ni [HASHTAG]#zawadi[/HASHTAG] ngapi za vyeti vya kawaida katika ngazi za [HASHTAG]#Diploma[/HASHTAG], [HASHTAG]#Degree[/HASHTAG], [HASHTAG]#Masters[/HASHTAG] na vinginenevyo vimetolewa na chuo hicho kwa viongozi au wanasiasa?

Wasomi wa [HASHTAG]#vyeti[/HASHTAG] bila maarifa hawawezi kulisaidia Taifa hili chunguza tu Kiwango cha elimu na Ufanisi wa baadhi ya viongozi wa nchi yako wanaodhaniwa kuwa na elimu [HASHTAG]#KUUUBWA[/HASHTAG].
 
WATAALAM MSIKUBALI KUPAKWA MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA

Taasisi kubwa ya elimu kama Chuo kikuu inapomtunuku cheti cha PHD mtu ambaye hastahili kwasababu tu ni [HASHTAG]#Kiongozi[/HASHTAG] au [HASHTAG]#mwanasiasa[/HASHTAG] na anaweza kuwasaidia personally wataalam husika (waliompa cheti kwa hisani) mbeleni ni hatari sana kwa afya ya elimu ya nchi hiyo hasa kama kiongozi / Mwanasiasa huyo atapata fursa ya kuwa kiongozi wa juu kwani anaweza kuwaumbua ikiwa atashindwa kuitumia elimu yake kwa vitendo.

Mtu anayedhaniwa kuwa na PHD anaposhindwa hata kujieleza kwa lugha ya Kiingereza ambayo ndio lugha ya mtaala aliotumia kutokashule ya sekondari mpaka chuo kikuu (wastani wa miaka 17) athari za [HASHTAG]#UBABAISHAJI[/HASHTAG] huo haziishii kwa mtu huyo pekee bali pia huwafanya watu waanze kujiuliza kuhusu [HASHTAG]#UHALALI[/HASHTAG] wa vyeti vyote vya ngazi zote walivyopewa viongozi na wanasiasa wote waliopitia katika chuo hicho.

Mbaya zaidi ni pale wataalam wa chuo husika wanapofurahia uteuzi wa nafasi za kisiasa kama hisani ilhali nafasi hizo zinawanyima uhuru wakufikiri na kutenda kwa weledi badala yake wanalazimika kuweka elimu zao mfukoni na kuishi kama kasuku wakingojeakuiga sauti ya bosi wao tu.

Kama chuo kinaweza kutoa zawadi ya cheti halali cha PHD halisi ambayo ni kiwango cha juu kabisa cha elimu kwa mtu asiyestahili kwasababu tu ni Mwanasiasa au kiongozi. Jiulize ni [HASHTAG]#zawadi[/HASHTAG] ngapi za vyeti vya kawaida katika ngazi za [HASHTAG]#Diploma[/HASHTAG], [HASHTAG]#Degree[/HASHTAG], [HASHTAG]#Masters[/HASHTAG] na vinginenevyo vimetolewa na chuo hicho kwa viongozi au wanasiasa?

Wasomi wa [HASHTAG]#vyeti[/HASHTAG] bila maarifa hawawezi kulisaidia Taifa hili chunguza tu Kiwango cha elimu na Ufanisi wa baadhi ya viongozi wa nchi yako wanaodhaniwa kuwa na elimu [HASHTAG]#KUUUBWA[/HASHTAG].
Inaonekana ww binti hujaolewa na hujafika mkole!!
 
Tangu akiwa O'level hadi anafanya Phd yake amejifunza kwa lugha ya kiingereza lakini ukimwuliza maji kwa kiingereza yanaitwaje hupati majibu. Ni upuuzi kabisa.
 
WATAALAM MSIKUBALI KUPAKWA MAFUTA KWA MGONGO WA CHUPA

Taasisi kubwa ya elimu kama Chuo kikuu inapomtunuku cheti cha PHD mtu ambaye hastahili kwasababu tu ni [HASHTAG]#Kiongozi[/HASHTAG] au [HASHTAG]#mwanasiasa[/HASHTAG] na anaweza kuwasaidia personally wataalam husika (waliompa cheti kwa hisani) mbeleni ni hatari sana kwa afya ya elimu ya nchi hiyo hasa kama kiongozi / Mwanasiasa huyo atapata fursa ya kuwa kiongozi wa juu kwani anaweza kuwaumbua ikiwa atashindwa kuitumia elimu yake kwa vitendo.

Mtu anayedhaniwa kuwa na PHD anaposhindwa hata kujieleza kwa lugha ya Kiingereza ambayo ndio lugha ya mtaala aliotumia kutokashule ya sekondari mpaka chuo kikuu (wastani wa miaka 17) athari za [HASHTAG]#UBABAISHAJI[/HASHTAG] huo haziishii kwa mtu huyo pekee bali pia huwafanya watu waanze kujiuliza kuhusu [HASHTAG]#UHALALI[/HASHTAG] wa vyeti vyote vya ngazi zote walivyopewa viongozi na wanasiasa wote waliopitia katika chuo hicho.

Mbaya zaidi ni pale wataalam wa chuo husika wanapofurahia uteuzi wa nafasi za kisiasa kama hisani ilhali nafasi hizo zinawanyima uhuru wakufikiri na kutenda kwa weledi badala yake wanalazimika kuweka elimu zao mfukoni na kuishi kama kasuku wakingojeakuiga sauti ya bosi wao tu.

Kama chuo kinaweza kutoa zawadi ya cheti halali cha PHD halisi ambayo ni kiwango cha juu kabisa cha elimu kwa mtu asiyestahili kwasababu tu ni Mwanasiasa au kiongozi. Jiulize ni [HASHTAG]#zawadi[/HASHTAG] ngapi za vyeti vya kawaida katika ngazi za [HASHTAG]#Diploma[/HASHTAG], [HASHTAG]#Degree[/HASHTAG], [HASHTAG]#Masters[/HASHTAG] na vinginenevyo vimetolewa na chuo hicho kwa viongozi au wanasiasa?

Wasomi wa [HASHTAG]#vyeti[/HASHTAG] bila maarifa hawawezi kulisaidia Taifa hili chunguza tu Kiwango cha elimu na Ufanisi wa baadhi ya viongozi wa nchi yako wanaodhaniwa kuwa na elimu [HASHTAG]#KUUUBWA[/HASHTAG].
Mkuu hakuna chuo kinachotoa SHAHADA ya PHD. Ni chuo gani hicho DUNIANI?
Yawezekana HAKIPO!!
 
Ukweli ni kua jamaa alibebwa kwa kifupi hakua na uwezo wa kuipata ndo mana analipa fadhila bora jamaa aliekua anazikusanya. honorary Ph.D zake tu...
 
mleta mada amevurugwa, au anataka tubaki na zero za akina mboweeee, lema, msigwa,na akina sugu??
 
Ukiwa na wadhifa mkubwa ,10% kutoka kila kandarasi hakika TZ hukosi kitu
Hata Lyatonga alipata shahada ya kwanza bila kuisomea
 
Hahahahahaha ngoja tuwaulize kwani hizo PHD zinatolewaje hivi?? mfano hivi presentation yake mpaka ikakubaliwa iliisoma kwa kiswahili au kingereza???
 
Back
Top Bottom