‪Tusikubali udhalilishaji wa Jarida la The Economist, lamwita Rais wetu "Dinasauria wa Dodoma” na "bullheaded socialist"

Wanabodi,

Uongo ukisemwa sana na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, mwisho wake hugeuka ukweli, baada ya kutokukemea magazeti ya nje kuandika uongo kumhusu rais wetu na kumuita majina ya ajabu ajabu, huku sisi na serikali yetu tumenyamaza , sasa ni zamu ya jarida la The Economist, limemtukana rais wetu "dinasauria wa Dodoma" kisha wakamuita a bad president na hadi kumtukana Baba wa Taifa, "a bullheaded socialist!". Pia kumsingizia mambo mengi ya uongo katika toleo lake la hivi karibuni kama nilivyonukuu hapa.


Wakuu Mwanakwetu na Kibanga, kwanza asanteni kwa bandiko hili, pili
tusikubali uwongo huu wa gazeti la The Economist

Uongo Mbalimbali ambazo Hazijakanushwa.
Hi ni baadhi ya uongo mbalimbali ambazo hazijakanushwa hadi leo ambazo mimi kama Mtanzania Mzalendo, kazi yangu ni kushauri tuu.
  1. Rais wetu alipotuhumiwa kuhongwa suti nilipinga na kushauri.Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi ...
  2. Hata kelele kuhusu udikikiteta wa Magufuli ziliposhika kasi nilishauriUdikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...
  3. Magufuli aliposemwa vibaya na SABC, nilishauriSerikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...
  4. Rais Magufuli aliposemwa vibaya kuhusu Mimba za utotoni, pia nilishauriJe, Huku Sio Kudhalilishwa Kwa Rais Wetu na Media za Nje?. Jee ...
  5. Juzi kati hapa serikali yetu ilipoitwa Sinister na Authoritarian, pia nilishauri
    Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli ...
Hitimisho.
Uongo ukisemwa sana sana na kuachwa bila kukanushwa, mwisho wake, sio tuu utaonekana kama ni ukweli, bali una hatari ya kugeuka kuwa ukweli kwa sababu kauli huumba!.
Natoa wito kwa Watanzania wote wazalendo wa kweli wa nchi hii, tusikubali rais wetu kutukanwa. kudhalilishwa na kusingiziwa uongo huku sisi wazalendo tupo na tumenyamaza tuu kimya, bila kufanya lolote. Tusikubali.

Paskali
Mbona Okwi umesahau kumtaja haa haa
 
Wanabodi,

Uongo ukisemwa sana na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, mwisho wake hugeuka ukweli, baada ya kutokukemea magazeti ya nje kuandika uongo kumhusu rais wetu na kumuita majina ya ajabu ajabu, huku sisi na serikali yetu tumenyamaza , sasa ni zamu ya jarida la The Economist, limemtukana rais wetu "dinasauria wa Dodoma" kisha wakamuita a bad president na hadi kumtukana Baba wa Taifa, "a bullheaded socialist!". Pia kumsingizia mambo mengi ya uongo katika toleo lake la hivi karibuni kama nilivyonukuu hapa.


Wakuu Mwanakwetu na Kibanga, kwanza asanteni kwa bandiko hili, pili
tusikubali uwongo huu wa gazeti la The Economist

Uongo Mbalimbali ambazo Hazijakanushwa.
Hi ni baadhi ya uongo mbalimbali ambazo hazijakanushwa hadi leo ambazo mimi kama Mtanzania Mzalendo, kazi yangu ni kushauri tuu.
  1. Rais wetu alipotuhumiwa kuhongwa suti nilipinga na kushauri.Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi ...
  2. Hata kelele kuhusu udikikiteta wa Magufuli ziliposhika kasi nilishauriUdikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...
  3. Magufuli aliposemwa vibaya na SABC, nilishauriSerikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...
  4. Rais Magufuli aliposemwa vibaya kuhusu Mimba za utotoni, pia nilishauriJe, Huku Sio Kudhalilishwa Kwa Rais Wetu na Media za Nje?. Jee ...
  5. Juzi kati hapa serikali yetu ilipoitwa Sinister na Authoritarian, pia nilishauri
    Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli ...
Hitimisho.
Uongo ukisemwa sana sana na kuachwa bila kukanushwa, mwisho wake, sio tuu utaonekana kama ni ukweli, bali una hatari ya kugeuka kuwa ukweli kwa sababu kauli huumba!.
Natoa wito kwa Watanzania wote wazalendo wa kweli wa nchi hii, tusikubali rais wetu kutukanwa. kudhalilishwa na kusingiziwa uongo huku sisi wazalendo tupo na tumenyamaza tuu kimya, bila kufanya lolote. Tusikubali.

Paskali
The dinosauer of dodoma, bullheaded socialist...nadhani hawa jamaa walijiepusha tu kumwita maneno mabaya zaidi
 
Wanabodi,

Uongo ukisemwa sana na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, mwisho wake hugeuka ukweli, baada ya kutokukemea magazeti ya nje kuandika uongo kumhusu rais wetu na kumuita majina ya ajabu ajabu, huku sisi na serikali yetu tumenyamaza , sasa ni zamu ya jarida la The Economist, limemtukana rais wetu "dinasauria wa Dodoma" kisha wakamuita a bad president na hadi kumtukana Baba wa Taifa, "a bullheaded socialist!". Pia kumsingizia mambo mengi ya uongo katika toleo lake la hivi karibuni kama nilivyonukuu hapa.


Wakuu Mwanakwetu na Kibanga, kwanza asanteni kwa bandiko hili, pili
tusikubali uwongo huu wa gazeti la The Economist

Uongo Mbalimbali ambazo Hazijakanushwa.
Hi ni baadhi ya uongo mbalimbali ambazo hazijakanushwa hadi leo ambazo mimi kama Mtanzania Mzalendo, kazi yangu ni kushauri tuu.
  1. Rais wetu alipotuhumiwa kuhongwa suti nilipinga na kushauri.Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi ...
  2. Hata kelele kuhusu udikikiteta wa Magufuli ziliposhika kasi nilishauriUdikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...
  3. Magufuli aliposemwa vibaya na SABC, nilishauriSerikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...
  4. Rais Magufuli aliposemwa vibaya kuhusu Mimba za utotoni, pia nilishauriJe, Huku Sio Kudhalilishwa Kwa Rais Wetu na Media za Nje?. Jee ...
  5. Juzi kati hapa serikali yetu ilipoitwa Sinister na Authoritarian, pia nilishauri
    Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli ...
Hitimisho.
Uongo ukisemwa sana sana na kuachwa bila kukanushwa, mwisho wake, sio tuu utaonekana kama ni ukweli, bali una hatari ya kugeuka kuwa ukweli kwa sababu kauli huumba!.
Natoa wito kwa Watanzania wote wazalendo wa kweli wa nchi hii, tusikubali rais wetu kutukanwa. kudhalilishwa na kusingiziwa uongo huku sisi wazalendo tupo na tumenyamaza tuu kimya, bila kufanya lolote. Tusikubali.

Paskali
Paskali my Brother, 1) Hayo wanayosema sio Uwongo na Hata wewe Unajua. 2) Vyombo vya Nje hawapangivi Mambo. 3) Brother Pascal, Hivi kwa hali Ilivyo Magufuli akikuteua Kwa kazi yoyote Utakubali? Mimi hata angenipa Uwaziri Mkuu Nitamwambia GTH.
 
Hivi idara ya habari maelezo majukumu yake ni yapi (naomba ufafanuzi kwa anayefahamu) kwa sababu ninachoona serikali yetu haina "msemaji" mwenye sauti inayosikika

Nimeshauri mara kadhaa kuhusu hili nimepuuzwa lakini naamini udhaifu huu kuna siku utaigharimu mno serikali

Mtu au chombo chenye ushawishi ndani ya nchi au nje kinatoa taarifa potofu na inayoharibu image ya nchi au Rais halafu hakuna response ya haraka kutoka serikalini maana yake nini? Serikali haina Quick Response Team itakayofanya kazi kama jeshi katika kupigana vita ya kipropaganda ambayo ni vita kuu katika zama hii ya digitali ili nini? Ni gharama sana? Au ni kwa kutofahamu umuhimu wake? Au mimi ndiye mwenye uelewa hafifu hapa?

Kuna mhenga mmoja alisema kwamba propaganda ikitumika vizuri inaweza kumuaminisha mtu kwamba peponi ndiyo motoni na motoni ndio peponi!

Rais anafanya Mengi yenye manufaa mno kwa taifa lakini ninachoona hakuna mwenye weledi wa kucommunicate na wananchi waelewe bayana hili. Propaganda chafu toka ndani na nje ya nchi zinaendelea kupata nguvu kila kukicha. Tumlaumu nani hapa?

Tafadhali mnaohusika chukueni hatua haraka iwezekanavyo!
Huyo Rais amefanya lipi jema Mkuu? Mpaka hivi sasa biashara nyingi zimekufa,wafanyakazi wamepunguzwa makazini na hayo ni baadhi ya yale mengi yenye kuumiza!
 
Wanabodi,

Uongo ukisemwa sana na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, mwisho wake hugeuka ukweli, baada ya kutokukemea magazeti ya nje kuandika uongo kumhusu rais wetu na kumuita majina ya ajabu ajabu, huku sisi na serikali yetu tumenyamaza , sasa ni zamu ya jarida la The Economist, limemtukana rais wetu "dinasauria wa Dodoma" kisha wakamuita a bad president na hadi kumtukana Baba wa Taifa, "a bullheaded socialist!". Pia kumsingizia mambo mengi ya uongo katika toleo lake la hivi karibuni kama nilivyonukuu hapa.


Wakuu Mwanakwetu na Kibanga, kwanza asanteni kwa bandiko hili, pili
tusikubali uwongo huu wa gazeti la The Economist

Uongo Mbalimbali ambazo Hazijakanushwa.
Hi ni baadhi ya uongo mbalimbali ambazo hazijakanushwa hadi leo ambazo mimi kama Mtanzania Mzalendo, kazi yangu ni kushauri tuu.
  1. Rais wetu alipotuhumiwa kuhongwa suti nilipinga na kushauri.Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi ...
  2. Hata kelele kuhusu udikikiteta wa Magufuli ziliposhika kasi nilishauriUdikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...
  3. Magufuli aliposemwa vibaya na SABC, nilishauriSerikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...
  4. Rais Magufuli aliposemwa vibaya kuhusu Mimba za utotoni, pia nilishauriJe, Huku Sio Kudhalilishwa Kwa Rais Wetu na Media za Nje?. Jee ...
  5. Juzi kati hapa serikali yetu ilipoitwa Sinister na Authoritarian, pia nilishauri
    Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli ...
Hitimisho.
Uongo ukisemwa sana sana na kuachwa bila kukanushwa, mwisho wake, sio tuu utaonekana kama ni ukweli, bali una hatari ya kugeuka kuwa ukweli kwa sababu kauli huumba!.
Natoa wito kwa Watanzania wote wazalendo wa kweli wa nchi hii, tusikubali rais wetu kutukanwa. kudhalilishwa na kusingiziwa uongo huku sisi wazalendo tupo na tumenyamaza tuu kimya, bila kufanya lolote. Tusikubali.

Paskali
Ni kweli tunapenda nchi yetu, lakini uwongo huu ni mkubwa sana eti lissu kapigwa risasi na vyuma vimekaza,huyu mhariri itabidi tupate anuwani yake ili watu wakamueleze uwongo huu,nimekasirika basi tu ati wrecking the economy.
 
Niwe mzalendo kwa mtu anaeniharibia maisha so what??? Watz mna matatizo sana, mnapenda kuficha madhaifu ndio maana hampigi hatua daima. Yote yanayosemwa na vyombo vya nje ni kweli, hamna uwongo wowote, uzalendo wako ndio kuficha ukweli??? GTH
 
Mayala wachekesha. Mkifika huko kwenu kusiko na bomoabomoa kama ilivyo kwa wengine, umfunde aache kwanza ukandamizaji. Mwambie nchi hii haitaishi kwa ilani ya CCM wala vipaumbele vyake yeye pekee. Baada ya hapo ndio tuzungumze kuhusu kumtetea. Amen.
 
Mnavua nguo Halafu watu wakieleza uchi wenu ukoje mnasema mumetukanwa.
Hivyo ndivyo tulivyo na ndivyo watu wanavyotuona.
 
Yaliyosemwa Mengi ni Kweli au kwavile yamesemwa na watu wa nje? Uzalendo haulazimishwi....Ni kweli Magufuri anaua Uchumi hiyo haiitaji certificate kuona kaulize watumishi wa serikali wanavyonyimwa stahiki zao za msingi kabisa....Nyerere aliwahi kusema Maendeleo ya kweli ni ktk watu na sio vitu
 
Wanabodi,

Uongo ukisemwa sana na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, mwisho wake hugeuka ukweli, baada ya kutokukemea magazeti ya nje kuandika uongo kumhusu rais wetu na kumuita majina ya ajabu ajabu, huku sisi na serikali yetu tumenyamaza , sasa ni zamu ya jarida la The Economist, limemtukana rais wetu "dinasauria wa Dodoma" kisha wakamuita a bad president na hadi kumtukana Baba wa Taifa, "a bullheaded socialist!". Pia kumsingizia mambo mengi ya uongo katika toleo lake la hivi karibuni kama nilivyonukuu hapa.


Wakuu Mwanakwetu na Kibanga, kwanza asanteni kwa bandiko hili, pili
tusikubali uwongo huu wa gazeti la The Economist

Uongo Mbalimbali ambazo Hazijakanushwa.
Hi ni baadhi ya uongo mbalimbali ambazo hazijakanushwa hadi leo ambazo mimi kama Mtanzania Mzalendo, kazi yangu ni kushauri tuu.
  1. Rais wetu alipotuhumiwa kuhongwa suti nilipinga na kushauri.Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi ...
  2. Hata kelele kuhusu udikikiteta wa Magufuli ziliposhika kasi nilishauriUdikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...
  3. Magufuli aliposemwa vibaya na SABC, nilishauriSerikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...
  4. Rais Magufuli aliposemwa vibaya kuhusu Mimba za utotoni, pia nilishauriJe, Huku Sio Kudhalilishwa Kwa Rais Wetu na Media za Nje?. Jee ...
  5. Juzi kati hapa serikali yetu ilipoitwa Sinister na Authoritarian, pia nilishauri
    Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli ...
Hitimisho.
Uongo ukisemwa sana sana na kuachwa bila kukanushwa, mwisho wake, sio tuu utaonekana kama ni ukweli, bali una hatari ya kugeuka kuwa ukweli kwa sababu kauli huumba!.
Natoa wito kwa Watanzania wote wazalendo wa kweli wa nchi hii, tusikubali rais wetu kutukanwa. kudhalilishwa na kusingiziwa uongo huku sisi wazalendo tupo na tumenyamaza tuu kimya, bila kufanya lolote. Tusikubali.

Paskali
Kama imekuuma mwambie apeleke majeshi yake yote na magobore yao ya second world war wanayoyatumia kuulia raia.
 
Hili jarida huwa lipo very objective na huandika habari zilizo za uhakika, Economists world wide wanaliamini sana gazeti hili maana huwa halina habari za uzushi hasa katika masuala ya uchumi. If they tell you that your economy is in danger or in peril situation just make a reflection to correct the macroeconomic fundamentals or else the recession or economic stagnation will teach you what it means to ignore their advise and their wakeup call. Hiki sio kijarida cha kufungia maandazi ni gazeti linasomwa duniani kote tena na wawekezaji serious na wachumi wabobezi.
Mkuu JN HIGGINS, sio kweli The Economist wako very objective, hawa Jamaa wako very biased na sometimes na uongo mwingi.

Soma makala yao hii, nimeicha makala yao hii, nimeichambua kuonyesha ukweli ni upi na Uongo ni upi.
P
 
Ndg P
Kwa nini unapoeleza mambo ya uongo unachanganya kiswahili na kiingereza ? Na hii ni kasumba ya waandishi waojificha chini ya jambo Fulani !

Ukifikia kipengele ambacho unajua wengi wataelewa unachowadanganya unatumia kiingereza.!Mbona hayo maneno yana kiswahili chake ? .
Jitahidi Maneno ya Kingereza yatumike pale tu yanapohitaji kwa maana inaondoa maana yote
 
Wakati mwinginesio uongo ni jambo la kweli lakini kama hauko tayari kuonyesha msimamo wao katika jambo Fulani kwa nini ujifiche kwenye kiingereza? Kwa nini usieleze kwa kiswahili .!
 
Back
Top Bottom