Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,056
Yale yale ukipata kashfa ya rushwa huku unahamishiwa huku tena unakuwa boss zaidi
Sent from my E4i using JamiiForums mobile app
Sent from my E4i using JamiiForums mobile app
Lini Tanzania ilitajwa kuwa Safi na The economist?
Uzalendo haulazimishwi, how come mtu anabomelewa nyumba yake then umwambie awe mzalendo, au Mtu ni mfanya biashara ana bambikiziwa kodi na TRA then huyo mtu umwambie asomame aitetee Serikali.
Wale wanao pata keki na waendelee kuitetea
Mkuu tuwekee ushahidi wa hii tuhuma.Mtu ni mfanya biashara ana bambikiziwa kodi na TRA
Nashauri tulifungie hilo gazetimkuu, ukipendwa na jamii halafu ukapata shida utaona watu wanavyopigana vita kwa ajili yako.
baragumu kama hili la kwako mkuu wala halitahitajika asilani!
Fungia hili gazeti miaka 5Wanabodi,
Uongo ukisemwa sana na kuachwa kurudiwa rudiwa bila kukanushwa, mwisho wake hugeuka ukweli, baada ya kutokukemea magazeti ya nje kuandika uongo kumhusu rais wetu na kumuita majina ya ajabu ajabu, huku sisi na serikali yetu tumenyamaza , sasa ni zamu ya jarida la The Economist, limemtukana rais wetu "dinasauria wa Dodoma" kisha wakamuita a bad president na hadi kumtukana Baba wa Taifa, "a bullheaded socialist!". Pia kumsingizia mambo mengi ya uongo katika toleo lake la hivi karibuni kama nilivyonukuu hapa.
Wakuu Mwanakwetu na Kibanga, kwanza asanteni kwa bandiko hili, pili
tusikubali uwongo huu wa gazeti la The Economist
Uongo Mbalimbali ambazo Hazijakanushwa.
Hi ni baadhi ya uongo mbalimbali ambazo hazijakanushwa hadi leo ambazo mimi kama Mtanzania Mzalendo, kazi yangu ni kushauri tuu.
Hitimisho.
- Rais wetu alipotuhumiwa kuhongwa suti nilipinga na kushauri.Tuhuma za Rais wetu kuhongwa suti: Marekani ituombe radhi ...
- Hata kelele kuhusu udikikiteta wa Magufuli ziliposhika kasi nilishauriUdikiteta: Uongo Ukisemwa Sana na Kuachwa Bila Kukanushwa Hugeuka ...
- Magufuli aliposemwa vibaya na SABC, nilishauriSerikali ikanushe uongo huu wa SABC kumsema vibaya Rais wetu ...
- Rais Magufuli aliposemwa vibaya kuhusu Mimba za utotoni, pia nilishauriJe, Huku Sio Kudhalilishwa Kwa Rais Wetu na Media za Nje?. Jee ...
- Juzi kati hapa serikali yetu ilipoitwa Sinister na Authoritarian, pia nilishauri
Serikali yetu Kuitwa "Sinister" na "Authoritarian": Je, ni kweli ...
Uongo ukisemwa sana sana na kuachwa bila kukanushwa, mwisho wake, sio tuu utaonekana kama ni ukweli, bali una hatari ya kugeuka kuwa ukweli kwa sababu kauli huumba!.
Natoa wito kwa Watanzania wote wazalendo wa kweli wa nchi hii, tusikubali rais wetu kutukanwa. kudhalilishwa na kusingiziwa uongo huku sisi wazalendo tupo na tumenyamaza tuu kimya, bila kufanya lolote. Tusikubali.
Paskali
Dah umepiga mule mule, wabongo si mchezo. Yaani mkulu kama DinosaurAlikuwa na sifa ya kuwa na ubongo mdogo sana kulinganisha na mwili wake.
Mi mnyama wa kutaka kutumia maguvu guvu sana badala ya akili.
Kama vile Magufuli alivyo na akili ndogo sana kulinganisha na cheo chake. Na anavyotumia maguvu sana badala ya akili.
Ni rais wa Tanzania, ni rais wa Watanzania wote, waliomchagua, wasiomchagua, hata wasiopiga kura!, ndiye rais wa Lowassa, ni rais wa Mbowe, ni rais wa Lissu, ni rais wa Lipumba, ni rais wako, wangu, wetu na Watanzania wote!.Pascal huyo jamaa ni Rais wako wewe na nani vile?????.
Ukweli siku zote unauma sana.
Muh bebe Pascal lekaga ghete.Ni rais wa Tanzania, ni rais wa Watanzania wote, waliomchagua, wasiomchagua, hata wasiopiga kura!, ndiye rais wa Lowassa, ni rais wa Mbowe, ni rais wa Lissu, ni rais wa Lipumba, ni rais wako, wangu, wetu na Watanzania wote!.
P.