Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,433
- 20,471
Najua wanaumia sana lakini ukweli ni lazima usemwe baadhi yao walishajimilikisha majimbo yakawa kama moja wapo ya kitendea kazi cha kuwasaidia wao na familia zao.
Pia, nathubutu kusema au nakisia wengi wao walitumia asilimia kubwa ya viinua mgongo vyao katika kampeni wakijua baadhi ya majimbo kwa mujibu wa mazoea yao kuwa ni mali yao na kwamba muda sio mrefu kwa kupitia ruzuku maisha yangelikwenda mubashara la hasha mambo hayakuwa sawa kwa vile walivyodhania matokeo yake ni madeni juu ya madeni.
So please wagombea wote uchaguzi umeshamalizika na kosa kubwa ni kutolazimisha katiba mpya kwanza kabla ya kuingia kwenye uchaguzi so ghadhabu zenu nyie wachache zisituletee tafrani sisi sote watanzania kwa ujumla wetu vumilieni jipangeni upya karibuni kitaa
#Haandamanimtuhapa
Pia, nathubutu kusema au nakisia wengi wao walitumia asilimia kubwa ya viinua mgongo vyao katika kampeni wakijua baadhi ya majimbo kwa mujibu wa mazoea yao kuwa ni mali yao na kwamba muda sio mrefu kwa kupitia ruzuku maisha yangelikwenda mubashara la hasha mambo hayakuwa sawa kwa vile walivyodhania matokeo yake ni madeni juu ya madeni.
So please wagombea wote uchaguzi umeshamalizika na kosa kubwa ni kutolazimisha katiba mpya kwanza kabla ya kuingia kwenye uchaguzi so ghadhabu zenu nyie wachache zisituletee tafrani sisi sote watanzania kwa ujumla wetu vumilieni jipangeni upya karibuni kitaa
#Haandamanimtuhapa