Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,189
- 39,954
Tusikimbilie kuoa kwa sababu umri umeruhusu kuoa, wakati uwezo wa kuhudumia ndoa bado kuimarika.
Kuna watu wanakimbilia kuoa, na kuanza kusumbua watu wengine, ndugu, jamaa na marafiki kuwafadhili mahitaji yao muhimu. Huu ni ulemavu, tuje na kauli hii; kama huwezi kutunza familia kwa chakula, malazi, tiba n.k tusioe.
Tunawachosha watoto wa watu, kwanza wanazaa kwa uchungu, halafu tunawachosha tena kufanya biashara ndogo ndogo ili watulee sisi wanaume.
Tubadilike wakuu.
Kuna watu wanakimbilia kuoa, na kuanza kusumbua watu wengine, ndugu, jamaa na marafiki kuwafadhili mahitaji yao muhimu. Huu ni ulemavu, tuje na kauli hii; kama huwezi kutunza familia kwa chakula, malazi, tiba n.k tusioe.
Tunawachosha watoto wa watu, kwanza wanazaa kwa uchungu, halafu tunawachosha tena kufanya biashara ndogo ndogo ili watulee sisi wanaume.
Tubadilike wakuu.