ubora wa maisha
Member
- Dec 4, 2016
- 33
- 14
watanzania hawajui wanachokitatata ,na wanaojua hawatoweza kukipata. mtazamo wa wengi bado uko enzi za ukoloni wanaona ni sawa kutaawaliwa ...itachukua miaka 100 kubadilisha hili anza kubadilisha mtazamo wako kwanza kisha watoto wako na wajukuu kama utaweza