Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,219
- 12,933
Nimefatilia mahojiano ya mgogoro unaoendelea huko Mbweni kwenye bomoa bomoa waliyofanya juzi kwa usimamizi wa Askari, pale kuna ujanja unataka kufanyika nawaambia na kama ni eneo la bonde haruhusiwi kukaa mtu kwanini ardhi wameenda kupima viwanja 20*20? Si wanataka kuuza hivo?
Vyombo vya habari vikamulike kule kuna kitu wajanja wanataka kufanya sio bure, mbunge anampigia Mkuu wa Wilaya anakataa kuwa yeye hajui lolote wakati wabomoaji wanasema wametumwa na mkuu wa Wilaya? Mkuu wa Wilaya anaulizwa kwani huko nyuma mlikuwa na plan gani anajibu wakitaka kupanda miti! Kama wanataka kupanda miti wameenda kuweka bikoni za nini?
Wananchi wamepigwa mabomu huko Mbweni na hapo kwenye jiwe la shina la CCM kuna maganda sijui ya mabomu ya machozi! Huu unyama wa wapi huu?
Pia soma > Askofu Gwajima ashindwa kuzuia bomoa bomoa nyumba zilizojengwa bondeni Bunju, Mbweni eneo la mto Mpiji aishia kulaani tu
Vyombo vya habari vikamulike kule kuna kitu wajanja wanataka kufanya sio bure, mbunge anampigia Mkuu wa Wilaya anakataa kuwa yeye hajui lolote wakati wabomoaji wanasema wametumwa na mkuu wa Wilaya? Mkuu wa Wilaya anaulizwa kwani huko nyuma mlikuwa na plan gani anajibu wakitaka kupanda miti! Kama wanataka kupanda miti wameenda kuweka bikoni za nini?
Wananchi wamepigwa mabomu huko Mbweni na hapo kwenye jiwe la shina la CCM kuna maganda sijui ya mabomu ya machozi! Huu unyama wa wapi huu?
Pia soma > Askofu Gwajima ashindwa kuzuia bomoa bomoa nyumba zilizojengwa bondeni Bunju, Mbweni eneo la mto Mpiji aishia kulaani tu