Moseley
Senior Member
- Jul 10, 2010
- 187
- 98
Kama kuna kitu kinanisikitisha, ni kuona wana-JF wanaotupia lawama kwa CHADEMA kwa kutomtambua Rais. Wengine wakidai, kama CHADEMA haimtambui Rais, basi haina haja ya wao kuruhusu wabunge wao kuhudhuria vikao bungeni..
Wengine wanailaumu kuwa kwanini wametoa tamko hilo kwenye tafrija?? Wakimaanisha kuwa mantiki ya tamko hilo imeharibiwa, kutolewa katika tafrija
Wengine wakisema Doctor wa Mezani kawa Rais kihalali maana wananchi wamekaa kimya wamemkubali. Wengine wakidai kuwa kama watu hawamkubali Rais, wangeandamana kupinga (Wakati huo huo wanasahau yaliyotokea Kenya)
Kuna mifano mingi naweza kuitaja, Ila napenda kuwauliza wanaJF, kwanini tunatupa lawama kiasi hicho kwa CHADEMA? Why??
Cha msingi tulitakiwa kuwa sehemu ya mabadiliko. Swala la Uchaguzi huru na wa haki si la Mbowe wala Slaa wala si swala la CHADEMA, ni swala linalotugusa sote..
Kama unaona ya kuwa CHADEMA wanacheza katika maamuzi yao, acha lawama, ingia ulingoni na tetea haki ya wanyonge..
Haya maswala ya kufikiria kuwa CHADEMA ndio pekee italeta mabadiliko yanaweza yasitufikishe popote, maana sisi tunabaki kubwabwaja tu bila kuiunga mkono, au kuchukua hatua thabiti pale tunapoona nguvu yetu inahtajika..
Tuache lawama, tuingieni katika kudai haki zetu. Sio kutupa lawama tu hapa JF..
Tuache mawazo hasi, CHADEMA imeonesha njia.. Sie twahitajika kufanya sehemu yetu, lawama hazitatufikisha popote!!!!
Wengine wanailaumu kuwa kwanini wametoa tamko hilo kwenye tafrija?? Wakimaanisha kuwa mantiki ya tamko hilo imeharibiwa, kutolewa katika tafrija
Wengine wakisema Doctor wa Mezani kawa Rais kihalali maana wananchi wamekaa kimya wamemkubali. Wengine wakidai kuwa kama watu hawamkubali Rais, wangeandamana kupinga (Wakati huo huo wanasahau yaliyotokea Kenya)
Kuna mifano mingi naweza kuitaja, Ila napenda kuwauliza wanaJF, kwanini tunatupa lawama kiasi hicho kwa CHADEMA? Why??
Cha msingi tulitakiwa kuwa sehemu ya mabadiliko. Swala la Uchaguzi huru na wa haki si la Mbowe wala Slaa wala si swala la CHADEMA, ni swala linalotugusa sote..
Kama unaona ya kuwa CHADEMA wanacheza katika maamuzi yao, acha lawama, ingia ulingoni na tetea haki ya wanyonge..
Haya maswala ya kufikiria kuwa CHADEMA ndio pekee italeta mabadiliko yanaweza yasitufikishe popote, maana sisi tunabaki kubwabwaja tu bila kuiunga mkono, au kuchukua hatua thabiti pale tunapoona nguvu yetu inahtajika..
Tuache lawama, tuingieni katika kudai haki zetu. Sio kutupa lawama tu hapa JF..
Tuache mawazo hasi, CHADEMA imeonesha njia.. Sie twahitajika kufanya sehemu yetu, lawama hazitatufikisha popote!!!!