Civilian Coin
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 2,305
- 4,334
Babu yangu Mzee Ismail Kisandu alipoteuliwa kuwa Waziri kwa jina feki utawala wa awamu ya tatu sikushangaa mpaka leo, na Baba yangu Mzazi Nalimi Kisandu alipoteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya baadae Mkuu wa Mkoa kwa jina feki sikushangaa pia. Maana kila mmoja anapigania Nafsi yake. Ila mimi nilishagawagomea kuwa Feki na ndio maana hatukomeza moja. Maana Mimi Deogratius Kisandu napigania Nafsi yangu na Nafsi za Watanzania na Dunia kwa ujumla kwa uhalisia wangu.NAJITAMBUAAAA