4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,974
- 6,776
Wakuu amani iwe nanyi.
Huenda Tanzaniaz tunalo tatizo japo sio kwa kiwango hicho tusemacho, ila tatizo lipo.
Nichukue muda huu kupitia kwa serikali, ipitishwe sheria ya nchi mzima kufanya Kama kile tulifanya mwanzo ,barakoa,maji tirilika,n.k
Itatusaidia Sana.
Pili,serikali inajua, so Kama vipi, shule za msingi inaweza zipumzisha kwa muda.
Kufungia watu ndani siungi mkono,ila taratibu za kujikinga kila mahala zaweza kurejeshwa,ngoma ikilia Sana hupasuka,tusizalau Mambo Kama HAYA
Tatu serikali njoo na tamko kuhusu chanjo, Kama vipi ifike anaetaka achome,
Huenda Tanzaniaz tunalo tatizo japo sio kwa kiwango hicho tusemacho, ila tatizo lipo.
Nichukue muda huu kupitia kwa serikali, ipitishwe sheria ya nchi mzima kufanya Kama kile tulifanya mwanzo ,barakoa,maji tirilika,n.k
Itatusaidia Sana.
Pili,serikali inajua, so Kama vipi, shule za msingi inaweza zipumzisha kwa muda.
Kufungia watu ndani siungi mkono,ila taratibu za kujikinga kila mahala zaweza kurejeshwa,ngoma ikilia Sana hupasuka,tusizalau Mambo Kama HAYA
Tatu serikali njoo na tamko kuhusu chanjo, Kama vipi ifike anaetaka achome,