Amesema
Mtume (S.A.W) hatokufa mmoja wenu mpaka amiliki (apate) kile
alichoandikiwa na Allah kukipata akipate, hivo basi asifanye kharamu mmoja wenu
katika kutaka kumiliki hicho atakcho miliki. (hatuna haja ya kuiba kutowa
rushwa, kuza viungo vya albino n,k km 2meandikiwa kumiliki nyumb bc
tuamin km hatuta kufa mpaka tumiliki nyumba) WAJAZAQUMULLAH KHEIR.
Mtume (S.A.W) hatokufa mmoja wenu mpaka amiliki (apate) kile
alichoandikiwa na Allah kukipata akipate, hivo basi asifanye kharamu mmoja wenu
katika kutaka kumiliki hicho atakcho miliki. (hatuna haja ya kuiba kutowa
rushwa, kuza viungo vya albino n,k km 2meandikiwa kumiliki nyumb bc
tuamin km hatuta kufa mpaka tumiliki nyumba) WAJAZAQUMULLAH KHEIR.