Kwanza tuambiane kwa mliokwisha wahi kufanya biashara ya hisa na hasa tunapozungumzia faida,hivi tuwe wakweli ili hatimae tupime wenyewe na tuamue na sisi ambao tunafikiria kuhusu hisa tufanye maamuzi sahihi,swali linakuja kama ifutavyo.
Hivi faida itokanayo na uwekezaji katika hisa inavutia? coz naogopa kuweka huku vimayai vyangu ambavyo pengine ningeuza voucher vingeleta faida kubwa kuliko kupeleka huko so please wataalamu na wenye uzoefu tunawaheshimu sana na tunajivunia kuwa nanyi kwenye hilijukwaa tupeni darasa.
Pili, hivi tunaweza tukafanya comparison kati ya kuwekeza kwenye saccos na kununua hisa kama za NMB,hapa panatofauti gani wakuu?
Hivi faida itokanayo na uwekezaji katika hisa inavutia? coz naogopa kuweka huku vimayai vyangu ambavyo pengine ningeuza voucher vingeleta faida kubwa kuliko kupeleka huko so please wataalamu na wenye uzoefu tunawaheshimu sana na tunajivunia kuwa nanyi kwenye hilijukwaa tupeni darasa.
Pili, hivi tunaweza tukafanya comparison kati ya kuwekeza kwenye saccos na kununua hisa kama za NMB,hapa panatofauti gani wakuu?