johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,752
- 139,553
Wanasiasa maskini kiukweli ndio wanaoleta vurugu kwenye vyama kwa sababu wao wanawaza UGALI tu.
Mwangalie mzee Lowassa kwa mfano hana muda wa siasa za kienyeji enyeji yeye anaangalia siasa za maslahi mapana ya nchi.
Sasa njoo uwaangalie Nape na Prof Lipumba ni dhahiri wamejikita kwenye siasa za Chumia Tumbo.
Maendeleo hayana vyama!
Mwangalie mzee Lowassa kwa mfano hana muda wa siasa za kienyeji enyeji yeye anaangalia siasa za maslahi mapana ya nchi.
Sasa njoo uwaangalie Nape na Prof Lipumba ni dhahiri wamejikita kwenye siasa za Chumia Tumbo.
Maendeleo hayana vyama!