Dr Dre
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 2,556
- 2,585
kiukweli naona kanoute ana mindset ya ukabaji zaidi kuliko ya kushambulia kitu ambacho naona anafanana na lwanga,nashauri coach asianze na viungo wawili wote wenye asili ya ukabaji yaani kanoute na lwanga. kanoute anafaa apewe mikoba ya namba 6 huku 8 abaki bwalya na 10 ajibu aaminiwe apewe nafasi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app