Elections 2015 Tusidanganyane !! Hapa tunachagua mtu wa kuibadilisha system

Lilitoka kwa wenye weledi.ndio maana nikaeleza kuwa huu ni mwisho wa tatizo la mda mrefu la mtandao ndani ya ccm na nchi.

Common sense is not common, kama ambavyo commoners hawakuelewa umuhimu wa vyama vingi mpaka Mwl alivyotusaidia ndivyo ambavyo is hard for them to understand what has brought us to this mess..... Nawapongeza weledi wote kwakujitoa mhanga na kushiriki kuharibu uozo huu.... Niwahakikishieni tu hakuna nje ya mlilolipanga litatokea its done ninyi mlitekeleza tu but the whole project was designed and sealed three five years a go....

Glory honor power and majesty belongs to our almighty God the man of battle, acient of days and full of grace and mercy!
 
Nashukuru kwa kujadili hoja kwa utulivu tuliouzowea.

Sijawahi kupinga ubaya wa ccm na mapungufu ya vipngozi wake!

Kama unakumbukumbu ni sisi tulioisema sana ccm ijivue gamba kwa kuondoa wale tulioaminishwa kuwa ni wachafu!

Ni sisi tuliopiga fimbo CCM ili ibadilike sasa itashangaza sana tunapoinyanyasa kwa maneno yale yale ilhali imeondoa na kumkata hata yule aliyeshindikana.

Baada ya kumkata huyo ikajaribu kumtafuta mtenda kazi asiye na makundi na anayekubalika na jamii,itashangaza sana tukimchagua EL ambaye ni sehemu na icon ya uchafu wa ccm.

Itashangaza kubadili gia angani eti kisa ''anakubalika''

Kwa miaka mitano ya mwisho ya kikwete CCM imechezea bakora za wananchi lakini pia ndani ya miaka hiyo mitano CCM imetusikiliza kwa kujibadilisha kutokana na maoni yetu.

Ni kichekesho kuurudisha mzoga uliotupwa na ccm kwa mbeleko ya chadema!

Kungekuwa na muadilifu ndani ya chadema anayesimama dhidi ya Magufuli basi story yangu ingekuwa tofauti na hii.

Wananchi walishaanza kuiondoa ccm kupitia serikali za mitaa na ubunge hata kabla ya ujio wa lowassa chadema ..trust me zoezi hilo linasita rasmi kwa kuwa sasa ajenda yao na watu waliotaka waondoke ccm imeanza kutimia.
MImi sijasema kuwa Lowassa ni msafi,vilevile natambua nguvu kubwa iliyo nayo CCM,ambayo huwezi kuitoa CCM kiurahisi ,mimi kama mtu binafsi sifaidiki chochote kwa CCM au CDM kuwa madarakani,tunachotakiwa kupigania mimi na wewe ni mfumo ambao utaleta uwajibikaji wa serikali na mwisho utaleta ustawi wa maisha kwa kila moja wetu,Ambao mfumo wetu unaweza dhibitiwa na katiba ambayo inampa madaraka makubwa sana raisi hivyo ukimkamata raisi tu umemaliza kazi,unaweza fanya lolote,hivyo kutokana na katiba yetu ya sasa na ile pendekezwa inatoa huo mwanya, ndo maana mafisadi wengi wanaipigania katiba hiyo.Ndugu yangu nikukumbushe nguvu ya mafisadi ni kubwa sana ndo maana nakuambia pamoja na uzuri wa magufuli na viapo anavyo apa jukwaani kila siku,hata weza himili nguvu za mafisadi kama nilivyo kupa mfano wa pinda,wasiwasi wangu serikali ya CCM IKIINGIA itapitisha ile katiba pendekezwa inayotua nguvu kubwa kw mtu moja ambaye mafisadi lazima wamkamate mambo yana baki palepale,mimi na amini hata wewe unaweza ukawa mwana CCM wa kawaida sana ambaye huna maslai na yale yanayotendeka juu,.mimi imani yangu ni kuwa hata kama CCM itaanguka itakuwa na wabunge wengi na kwakua ,CCM watakua nje ya mfumo si amini kama watapendelea ile katiba pendkezwa ipite kwakua nawao itawabana hivyo huo utakuwa mwanzo mzuri wa kupata katiba itakayo jenga mfumo bora kabisa,ambao unaweza leta ustawi wa jamii ya kitanzania,kwa sababau almost bunge lita balance yale mambo ya ndio mzee hatakamahupendi yataisha.Hvyo pint yangu anaye weza kuwa ng,oa CCM NI MWANA CCM MWENZAO AMBAYE NI LOWASSA.kutokana na mifumo yetu iliyopo.
 
MImi sijasema kuwa Lowassa ni msafi,vilevile natambua nguvu kubwa iliyo nayo CCM,ambayo huwezi kuitoa CCM kiurahisi ,mimi kama mtu binafsi sifaidiki chochote kwa CCM au CDM kuwa madarakani,tunachotakiwa kupigania mimi na wewe ni mfumo ambao utaleta uwajibikaji wa serikali na mwisho utaleta ustawi wa maisha kwa kila moja wetu,Ambao mfumo wetu unaweza dhibitiwa na katiba ambayo inampa madaraka makubwa sana raisi hivyo ukimkamata raisi tu umemaliza kazi,unaweza fanya lolote,hivyo kutokana na katiba yetu ya sasa na ile pendekezwa inatoa huo mwanya, ndo maana mafisadi wengi wanaipigania katiba hiyo.Ndugu yangu nikukumbushe nguvu ya mafisadi ni kubwa sana ndo maana nakuambia pamoja na uzuri wa magufuli na viapo anavyo apa jukwaani kila siku,hata weza himili nguvu za mafisadi kama nilivyo kupa mfano wa pinda,wasiwasi wangu serikali ya CCM IKIINGIA itapitisha ile katiba pendekezwa inayotua nguvu kubwa kw mtu moja ambaye mafisadi lazima wamkamate mambo yana baki palepale,mimi na amini hata wewe unaweza ukawa mwana CCM wa kawaida sana ambaye huna maslai na yale yanayotendeka juu,.mimi imani yangu ni kuwa hata kama CCM itaanguka itakuwa na wabunge wengi na kwakua ,CCM watakua nje ya mfumo si amini kama watapendelea ile katiba pendkezwa ipite kwakua nawao itawabana hivyo huo utakuwa mwanzo mzuri wa kupata katiba itakayo jenga mfumo bora kabisa,ambao unaweza leta ustawi wa jamii ya kitanzania,kwa sababau almost bunge lita balance yale mambo ya ndio mzee hatakamahupendi yataisha.


Ukimsoma tangu post yake ya mwanzo na kama kweli unamapenzi mema na nchi yako utakuwa umemwelewa; tatizo ni kama unataka kusikia unachokifurahia kwa faida binafsi then its so difficult kuamini au kuelewa hii plain truth.

I sincerely say this, kama mm ningepata nafasi ya Magufuli for God sake jinsi watu hawa walivyoiharibu nchi yetu nakututesa hivi.... Ningemwomba Mungu aniondolee moyo wamsamaha kwa dakika chache kama Yesu alivyopindua meza za wachuuzi kule kwenye nyumba ya baba yake niwaonyeshe holly anger inavyowezableta adabu na kukomesha tabia kama walizozileta kwetu.... Kwakua Mungu ni meenye rehema na haki basi ndiyo maana hakunipa hata kujiongoza mwenyewe; I thank him for that!
 
Nianze kwa kusema ,duniani hakuna aliyemkamilifu tumejaa udhaifu mwingi ndiyo maana nadhani ndiyo sababu Mungu aliweka amri 10 na sheria zingine ndogondogo kulingana na wkt na uhitaji hii ni kuwabana watenda kaz katika nyumba yake kwa kila jambo muhimu wafanyalo ktk ktk utumishi wao na jamii yao kwa ujumla.

Hii imekuwa kiu ya watanzania kila uchaguzi na nchi nyingi za kiafrika kila uchaguz tukimsaka perfect man(mtu mkamilifu) ambaye kihalisi hayupo, sisemi tuweke yeyote bali tunapaswa kwanza tuamini kuwa hakuna aliyekamilika bali tuamini tunaweza kuwa na mfumo bora wenye kuwabana watu japo kutumika ktk masirahi mapana ya uma.

Ukitaka kujua uhalisi wa hoja hii fuatilia kila mgombea wako utagundua kuwa hakuna asiye na doa either kimaamuzi /kiutendaji ktk wizara/idara aliyowahi kuaminiwa.

Huwezi walaumu ni mfumo wetu uliosababisha haya kutuaminisha kuwa kuna mtu mkamilifu hivyo kumkabidhi mamlaka makubwa kimaamuzi kwa niaba ya taifa kitu ambacho wote tunakubali kuwa umefeli.Hii ni kutokana na ushahidi ulio wazi kuwa watu wamefanya maamuzi ya taifa kwa masrahi yao.

Ndiyo maana tunasema hatuhitaji mtu bali tunahitaji mfumo ongozi na siyo mtu mkamilifu ambaye hayupo.Mfumo huu msingi wake ni katba yenye masrahi mapana ya umma, ilakayotupa new structure(Muundo mpya) wa serikali yenye kuweka nguvu kubwa ya kimaamuzi kwa watu na sio mtu.

Leo utakuta tunawalaumu mawaziri/viongozi kuwa waliamua vibaya sio kosa lao they are actually expressing that they are human being thus, they are not perfect.

Maamuzi ya masuala ya umma yaamliwe /yachakatwe na wengi(wabunge wetu, wataalam wetu) ambapo maamuzi yote yatazingatia mazingira yote kiuchumi, kisiasa,kisheria nk.

Ukimuona Obama anatangaza kitu sio yeye bali wachumi na wataalam wote wameshachaka kuona masrahi mapana ndani ya uamuzi huo...

Binafsi naunga mkono jitihada zote zinazodai mabadiliko ndani ya nchi hii tukianza na katiba.

Watanzania hatuhitaji mtu tunahitaji mabadiliko ya mfumo mzima hasa katika maamuzi ya umma.Guys narudia tena ujumbe huu Kwa Watz wote na wapenda maendeleo..
Mifumo ya kumtegemea MTU imepitwa na wakt dunian..
 
Magufuli hana ubavu wa kubadilisha mfumo uliooza wa ccm. Ni mfumo huo huo mbovu ndio uliompitisha. Lazima atautetea.
 
Ok. Sasa hapo unadhani mwenye nguvu ya kufanya hilo gari bovu lisogeee ni wanaosukuma nje au magufuli aliyeko ndani kwenye usukani..tafakari chukua hatua

Hao wasukumaji ni sehemu ya abiria wa hilo gari, wanaelekea point B kutoka A.
 
Magufuli hana ubavu wa kubadilisha mfumo uliooza wa ccm. Ni mfumo huo huo mbovu ndio uliompitisha. Lazima atautetea.

Lowassa anapata wapi huo ubavi wa kubadili mfumo? mtu wa kubadili mfumo ni mtu ambaye ni 'dictator' kwa mfumo huu!
 
meningitis hahukumiwi mtu hapa bali watanzania wapiga kura waliojiandikisha wenye vichinjio wamekwishaweka azma ya kupata mabadiliko na mabadiliko hayo wanaamini kwa dhati yatatoka kwa Lowassa na UKAWA hasahasa Chadema..hizi kampeni zako nenda kwenye majukwaa ya CCM ndio utapata washabiki lakini huku jamvini watu hawadanganyiki
Wasalaam wanaJF !

Tukiamua kuhukumu tunatakiwa kukusanya ushahidi na kuhukumu kwa haki.

Mada hii inawaendea wote kwa maana ya Chadema asilia,wanaccm,Team lowassa na wananchi kwa ujumla.

Natangulia kusema kuwa tunachagua mtu wa kuibadilisha system iliyooza ndani na nje ya serikali!!

Tunachagua mtu muhimu wa kwenda kubeba zege la kuijenga upya Tanzania.

Tunachagua mtu jeuri kiasi cha wanaomzunguka wajue hivyo.


Nachelea kusema kuwa makosa ya Boyz 2 men kamwe hayawezi kutumiwa kumuhukumu mwana mchapakazi na askari kamili wa mwamvuli ndugu John Pombe Magufuli.

Magufuli anaibuka kivyake vyake kama mzuka ama kwa uweza wa mola ama kwa weledi wa kitengo!

Kura za watanzania zitajikita kwa kuangalia Magufuli,lowassa,Anna na wengine ni kina nani hasa katika siasa na maendeleo au ustawi wa Taifa.

Wapo wengi wanaoulaumu mfumo bila tafakari ya kina kuwa tatizo sio mfumo bali wanaopewa dhamana ya kuusimamia mfumo.

Mfumo upo tu na hata wanaolilia mabadiliko ni sehemu ya mfumo huo huo unaoitwa mchafu


utamsikia Mkurugenzi au mkuu wa taasisi akiulaumu mfumo ilihali kwenye halmashauri yake kuna uchafu unatendeka!

TATIZO NI MTANDAO

Hili ni tatizo la muda mrefu ndani ya ccm hata kabla mwalimu Nyerere hajatutoka na aligundua hili na kulikemea na kujaribu kulifuta bila mafanikio na pengine ni chanzo cha yeye kututoka!

Mtandao huu ulimea na kuota mizizi ndani ya ccm na ndani ya serikali kiasi cha kufikia dharau kubwa dhidi ya wengi na wenye mamlaka ya nchi hii.

Mzee butiku alitugusia kiasi juu ya huu mtandao na muenendo wake kwa miongo kadhaa ya ccm.

MAKOSA YA BOYZ TWO MEN

Hili ni kundi la vijana wawili walioshibana ingawa mmoja inawezekana alikuwa mjanja na kumtumia mwingine.

Ni kundi lililotuletea mtandao wa kihuni ndani ya chama na hatimaye ndani ya nchi.

Ni kundi lililokuja na style ya propaganda kupitia media hasa hasa magazeti na hatimaye likashinda na kupewa 'kiwembe' wacheze nacho ...kilichotokea sitaki kukisema.

leo hii tunapolilia mabadiliko tunalia kutokana na ukosefu mkubwa wa weledi na uwezo wa kikundi hiki cha boyz 2 men.

Tunalilia mabadiliko kutokana na kushindwa kwa mabwana hawa wawili iwe kabla ya kuhaidiana na kugeukana au kabla ya kutuzingua.

They failed us as they failed themselves!!

Ni kundi hili hili linalotuweka kwenye state ya kutojitambua sasa na kutuondoa kwenye ajenda zetu za msingi.

Ni kundi hili hili linalotufanya tujichanganye na kutojielewa ni nini hasa tunachohitaji kama taifa!

MAKOSA YA WAWILI HAWA HAYAWEZI KUTUPOFUSHA KUCHAGUA KILICHO SAHIHI

Ni maono yangu kuwa nyuma ya wananchi kuna kundi la wazalendo na wazoefu ambao walikubali kukaa chini na kutafakari na kukubali kukataa kuliona Taifa likizamishwa na wanamtandao.wazee wakaamua kuignore propaganda za media na ushawishi wa kifedha.

wazee wakaamua iwe mbaya au nzuri lakini mwisho wa vurugu za boyz two men umeshafika.

Wazee wakaamua kutuletea JOHN P MAGUFULI just from nowhere but amongst us!!

Hukumu ya Magufuli haiwezi kuchanganywa na ushahidi wa vurugu ya boyz two men.

Hukumu ya Magufuli itatokana na ushahidi wa utendaji wake na haiba yake au makosa yake yeye kama yeye.

Ni uhuni kutaka kumchanganya Magufuli na uozo uliofanywa na boyz two men.

Kwa ufupi ni kwamba tumhukumu Magufuli kama Magufuli na sio kiujumlajumla.

Hapo tutakuwa tumetenda haki.

CIAO!!
 
Lowassa anapata wapi huo ubavi wa kubadili mfumo? mtu wa kubadili mfumo ni mtu ambaye ni 'dictator' kwa mfumo huu!

Duh! Magufuli hawezi kuwa na u-dikteta wowote. Kwa mfumo na muundo wetu wa utawala, dikteta ni chama, sio mtu. Ukivuliwa uanachama, huna chako. Hata uraisi ni wa chama, sio mtu binafsi.
 
Lowasa ndio zaidi ya makomeo..to heal na system anayoisimamia...unampigia nani kelele mchague kimyakimya tu...then uone ulivyotupa kura yako..
 
Nje ya katba ya wananchi, hakuna jipya ...mnayemsema mwenyewe keshasema atasimamia ilani ya chama chake ..ambayo imepitishwa na wachache (Wanaccm tunahitaji katba ambayo itakaba kila MTU..
Katka mifumo ya demokrasia ambapo wengi wanachagua yeyote anaweza Kuwa kiongoz as long as wengi wamemchagua ..ndo maana tunatakiwa tunatakiwa tusuke katba ya wananchi ili yeyote atakayeingia atanyooshwa namfumo...
Tuko wananchi zaid ya 40m kukipa madaraka makubwa kichwa kimoja kibovu mwaweza hata kuuzwa...
Kwa hiyo nitazid kuunga mkono juhudi zote zinazopambana kujenga upya tz kwa kuanzia msingi ambao ni katba ambayo itawapa uma nguvu ya kufanya maamz yahusuyo taifa lao na siyo m2 Mmoja.
 
Ha ha ha ha ha mkuu umetsha
Et vijana wa IT wa Masaki wanakuja na story za boyz to men mi nimewaambia hta magufuli awe girls to boy atajua yeye
kweli mkuu wanataka kutuaminisha kuwa magufuli ni tofauti na ccm as if anaenda kuongoza peke yake wake anazungukwa na team ya mazombie yale yale makina Mwigulu, kigwangala , makamba, nkamia, pinda and the like hatuwezi kuendelea kuamin ngojera za push up, sisi tunataka rais siyo bondia kama anaweza ubondia aende kwa kina francis cheka huko aaah
 
Ha ha ha ha ha mkuu umetsha
Et vijana wa IT wa Masaki wanakuja na story za boyz to men mi nimewaambia hta magufuli awe girls to boy atajua yeye
kweli mkuu wanataka kutuaminisha kuwa magufuli ni tofauti na ccm as if anaenda kuongoza peke yake wake anazungukwa na team ya mazombie yale yale makina Mwigulu, kigwangala , makamba, nkamia, pinda and the like hatuwezi kuendelea kuamin ngojera za push up, sisi tunataka rais siyo bondia kama anaweza ubondia aende kwa kina francis cheka huko aaah
 
kweli mkuu wanataka kutuaminisha kuwa magufuli ni tofauti na ccm as if anaenda kuongoza peke yake wake anazungukwa na team ya mazombie yale yale makina Mwigulu, kigwangala , makamba, nkamia, pinda and the like hatuwezi kuendelea kuamin ngojera za push up, sisi tunataka rais siyo bondia kama anaweza ubondia aende kwa kina francis cheka huko aaah

Hebu taja na mazombie yanayomzunguka lowassa tulinganishe
 
Back
Top Bottom