Hiyo njia ipo na ni nzuri kwa jina ambalo halijatoboka. Lililotoboka shida yake linahifadhi uchafuKuna watu watabisha hiyo nina caninr ya kulia imeharibika kufika kwa mtaalam akaniambia ili tunali scrap yaan wakalikwangua mpe ndani likajazwa sasa ni mwaka wa nne ila wameliua si hisi kitu hala limefanya colour blackish hiv natafuna kama sina akilo nzuri .
Na nina mengine mawili ya kusagia nayo vile vile haya nikayapeleka kwa wale cheaper dentist wameniziba hata miezi sita haija fika juzi nimetoka kutoa ujinga wao nimewekwa tena upya .
Akikuambia mtu anaziba jino kwa 50k kimbia .
Toa mpunga kwa hospital eleweka utaenjoy na meno yako nusu au robo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami mwaka jana nilipata shida ya jino...nilijikuta napata maumivu makali ya jino la mwisho na nilihisi jino litakuwa limetoboka, baada ya kwenda hospitali, Dr aligundua kumbe kuna jino lilikuwa linaota mwisho kabisa likielekea horizontally ikiwa inamsukuma yule wa pembeni yake...ikabidi kwenda kwaajili ya x-ray then ktk kuling'oa sijawahi kupata maumivu makali maishani kama yale coz ilibidi nichomwe ganzi kama 3 hivi na utaratibu uliofanyika ni wa kuliondoa lile jino lililokuwa la pembeni ambalo ni zima, dah! MaDr walikuwa wawili lakini zile nguvu walizozitumia kuling'oa hilo jina zilikuwa kubwa kinoma na still maumivu yalikuwa makali sana japo ganzi nilipigwa, sijui ingekuwaje bila ya ganzi...maumivu yalitumia muda wa kama wiki 1 na nusu hivi.
Ina sukari sukari?Kwanza polee....
Hii utaipata supermarkets au kwenye maduka makubwa ya dawa, zipo za aina mbali mbali kulingana na flavour, mfano hio uliyoona hapo juu iliisha asaivi natumia hii..View attachment 1448589
Sijawahi simbuliwa na jino tena, na sitokuja kuacha hii dawa kamwe, siku nikiikosa kwa bahati mbaya basi nitatumia Colgate OG.
Mkuu ni kweli.Hiyo ni root canal ndio bei zake.Wanalichimba jino katikati kutoa mizizi,hiyo ndiyo inasababisha bacteria kuozesha jino na maumivu(mishipa ya fahamu).Hivyo huondoa hiyo na kisha kuliçhonga vizuuri kama seremala halafu wanatia dawa na ile material yao gani sijui kuziba pale kwenye shimo.Siku hizi wanaweka kitu kama chuma halafu wanasakafia jino lote na material fulani nyeupe ukipewa kioo ukaambiwa uonyeshe jino lililokuwa limeoza na kutoboka unaanza kulitafuta hulioni!yote meupee pee!😊
Mkuu naskiaga hizo bei ndo unakaa mwaka linaanza kuuma tena.jino kuziba wanasema ni gharama kidogo sio kwa alfu 20 au 30,na nimefatilia walioziba meno wengi ambao wakiziba yanarudia ni hao wa alfu 30 30
Daah aise ngoja nifanye tafiti kwa zenji wapi wanaziba vizuri jino.
Mana wengine ukienda wanakuziba leo mwakani limetoka
Nilichomwa sindano zaidi ya moja kwaajili ya ganzi, lakini kwakuwa mpango mzima ni kuliondoa jino zima, ganzi haikusaidia kabisa japo nilikuwa kama nimeparalyse upande mmoja wa uso kwaajili ya ganzi na kwa yale maumivu nilitamani hata kuwasukuma wale madr waniache niende zangu tu...na siku nzima nilikuwa siwezi ongea kabisa na muda wote nilikuwa nikitema damu. Ilinichukua kama wiki 1 na nusu kwa maumivu kupungua.Ulikua unasikia maumivu huku umepigwa ganzi? Si nasikia dawa ya ganzi ni kuzuia maumivu?
Ulilia? Ulikua unakulaje chakula?
Ulikua unatembea na pamba muda wote? Kutematema mate je?
Mie Nina gego linanisumbua sana, naogopa kwenda hospital kung'oa
Likiuma hilo hadi swaga za manyaunyau akitoa uchawi utazifanya nakwambia
Omba yasikukuteHahahaha
Send Us!ng K!toch!
Omba yasikukute
Unalitafutia ufumbuzi hilo, nakwambia halijauma. Likiuma utaenda kuomba utolewe hata na sururuYasinikute mala ngapi mkuu wakati nipo nayo na nina ishi nayo .
Send Us!ng K!toch!
Mara nyingi nanunua Sensodyne kwenye maduka ya CH Amon.pale Hakuna bidhaa feki hata moja. na uzuri bei Za Sensodyne Zinafanana pote. Maduka ya CH Amon kariakoo au mlimani city, phamarcy kubwa Kama za JD phamarcy mlimani city na pharmacy nyingine kubwa kubwa huwezi kukuta Feki