johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,832
- 141,749
CCM imeshatangaza mchakato wa kumpata Spika mpya wa bunge la JMT kupitia chama hicho baada ya kumfurusha " Wakuja" Job Ndugai.
Mchungaji Msigwa akajaribu kuwafundisha CCM ni nani atayefaa kuwa Spika mpya ili kuleta mshikamano bungeni lakini akafokewa na kuagizwa " KUFUTA" mara moja huo ushauri na Godbless Lema hatimaye Msigwa aliufyata akafuta.
Lakini ngome ya Mkwawa iliibuka na kumtaka mchungaji Msigwa arejeshe bandiko lake mtandaoni kwani ule ni ushauri wake binafsi.
Unaweza kujiuliza kama Chadema haina " Wenyewe" huyu Godbless Lema anapata wapi jeuri ya kumuamrisha mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa?
Mwamba tuvushe salama!
Mchungaji Msigwa akajaribu kuwafundisha CCM ni nani atayefaa kuwa Spika mpya ili kuleta mshikamano bungeni lakini akafokewa na kuagizwa " KUFUTA" mara moja huo ushauri na Godbless Lema hatimaye Msigwa aliufyata akafuta.
Lakini ngome ya Mkwawa iliibuka na kumtaka mchungaji Msigwa arejeshe bandiko lake mtandaoni kwani ule ni ushauri wake binafsi.
Unaweza kujiuliza kama Chadema haina " Wenyewe" huyu Godbless Lema anapata wapi jeuri ya kumuamrisha mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa?
Mwamba tuvushe salama!