Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Piga ua, mwenye gari ana sauti,anaheshimika na anaeleweka zaidi na watu wa kada zote mtaani kuliko asiye na gari (hata Kama ana nyumba).
Kwa kawaida binadamu huanza kumjudge mtu papo kwa papo baada ya kukutana, swala la kwamba ana nyumba au hana, hujulikana baadae.
Kuchukua mil 15 kuweka ardhini kujenga nyumba, ni kujimaliza mwenyewe! Maana nyumba inataka hela nyingi ,kuanzia TZS 20 Mil. Ikumbukwe kurdunduliza pesa mpk zijae ili ukamilishe nyumba yako,siyo leo! Mambo ya kujenga nyumba kwa miaka 10 nani anataka? Nunua gari,panga nyumba then ununue viwanja, ova.
Fikiria saiv mtu una milioni 10, utafanya kipi uache kipi kwenye maandalizi ya nyumba? Kujenga nyumba kunaleta umaskini. Panga tu,very easy.
Kwa kawaida binadamu huanza kumjudge mtu papo kwa papo baada ya kukutana, swala la kwamba ana nyumba au hana, hujulikana baadae.
Kuchukua mil 15 kuweka ardhini kujenga nyumba, ni kujimaliza mwenyewe! Maana nyumba inataka hela nyingi ,kuanzia TZS 20 Mil. Ikumbukwe kurdunduliza pesa mpk zijae ili ukamilishe nyumba yako,siyo leo! Mambo ya kujenga nyumba kwa miaka 10 nani anataka? Nunua gari,panga nyumba then ununue viwanja, ova.
Fikiria saiv mtu una milioni 10, utafanya kipi uache kipi kwenye maandalizi ya nyumba? Kujenga nyumba kunaleta umaskini. Panga tu,very easy.