kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,298
- 12,600
Ni kweli kuwa Zanzibar ni Tanzania lakini kuna utofauti kidogo kama ifuatavyo:
1. Zanzibar ni ndogo
2. Zanzibar ina watu wachache sana kuliko Bara, yaani ratio ya 1:50, yaani kila watanzania 50 mtu 1 ni Mzanzibar, hivyo kama akifa mzanzibar mmoja ni sawa na kufa watanganyika 50.
3. Zanzibar kiuchumi inategemea zaidi utalii
4. Zanzibar ina Rais ambaye ni Daktari wa magonjwa ya binadamu.
Maana yake Wazanzibar lazima wawe makini mara 50 zaidi ya watanganyika katika kufikiria, kujikinga na magonjwa na hata kuchukua maamuzi yoyote yanayohusisha Tanzania nzima.
Uzembe kidogo tu utaighalimu Zanzibar kiuchumi, kijamii na kiafya, maana wakifa Wazanzibar 2 tu kwa kitu chochote kile ni sawa na kufa Watanganyika 100 kwa kitu hicho.
1. Zanzibar ni ndogo
2. Zanzibar ina watu wachache sana kuliko Bara, yaani ratio ya 1:50, yaani kila watanzania 50 mtu 1 ni Mzanzibar, hivyo kama akifa mzanzibar mmoja ni sawa na kufa watanganyika 50.
3. Zanzibar kiuchumi inategemea zaidi utalii
4. Zanzibar ina Rais ambaye ni Daktari wa magonjwa ya binadamu.
Maana yake Wazanzibar lazima wawe makini mara 50 zaidi ya watanganyika katika kufikiria, kujikinga na magonjwa na hata kuchukua maamuzi yoyote yanayohusisha Tanzania nzima.
Uzembe kidogo tu utaighalimu Zanzibar kiuchumi, kijamii na kiafya, maana wakifa Wazanzibar 2 tu kwa kitu chochote kile ni sawa na kufa Watanganyika 100 kwa kitu hicho.