Ngigana
JF-Expert Member
- Apr 16, 2010
- 2,102
- 1,435
Unawasili Songwe Airport unakutana na bango limeandikwa "Songwe Airport the Land of Safari Lager"Je inamaana watu wa Songwe na Mbeya ni walevi sana? Hili bango haliwatendei haki watu wa Songwe na Mbeya, bali huu ni udhalilishaji, matusi na laana kwa wakazi wa eneo hilo.