Cavill
JF-Expert Member
- Nov 12, 2019
- 249
- 847
Salaam Ndugu zangu,
Kama title inavyojieleza hapo Juu, hebu tusaidiane kwa Mawazo maana humu Kuna juniors ambao wanaanza game na seniors ambao tayari wameshakutana na changamoto mbalimbali, tuna Wazee wetu humu ndani na Vijana kutoka sehemu mbalimbali ambao kwa pamoja tukichanganya Mawazo yetu tunaweza saidiana kujikwamua mahala tulipo.
Binafsi napitia kipindi Cha mpito, Nina bahati Sana kuanza harakati tangu Raisi Wangu kikwete anamalizia miaka yake ya Mwisho, na Nina bahati zaidi ya kuanza na Raisi wangu wa Sasa ambae Kama mnavyoelewa mambo kidogo yamebadirika.
Nina Elimu ya Chuo Kikuu na mpaka Sasa sijabahatika kupata Ajira Serikalini na Kwa fani niliyosomea Ni rahisi Sana kupata Ajira Sector binafsi Ila malipo ndo hua changamoto. Japo nimeajiriwa Ila bado mambo sio rahisi maana majukumu Ni mengi na Kama unavyoelewa familia zetu hizi ukishasoma wanategemea uwe msaada kwao na kwa nia njema unaweza ukawa unapambana Ila ndio hivyo Hali Ni Tete.
Lengo kuu la Uzi huu Ni Tushirikishane Ni Mbinu gani ulizotumia kukutoa kwenye Maisha ya wasiwasi mpaka hapo ulipo ambapo ishu Kama Kodi ya nyumba, hela ya kula na kuhudumia familia hazisumbui sana.
Tafadhali, Uzi huu unaweza kuwa msaada kwa Vijana wengi haswaa wa kiume maana wengi wao wanakua bila father figure ama mtu wa kuwaongoza kiushauri na kimawazo Nini Cha kufanya na kwa wakati gani, unapochangia jaribu kuwa na hofu ya Mungu ili usije potosha na uwe na Nia thabiti ya kutoa msaada, Asante.
Kama title inavyojieleza hapo Juu, hebu tusaidiane kwa Mawazo maana humu Kuna juniors ambao wanaanza game na seniors ambao tayari wameshakutana na changamoto mbalimbali, tuna Wazee wetu humu ndani na Vijana kutoka sehemu mbalimbali ambao kwa pamoja tukichanganya Mawazo yetu tunaweza saidiana kujikwamua mahala tulipo.
Binafsi napitia kipindi Cha mpito, Nina bahati Sana kuanza harakati tangu Raisi Wangu kikwete anamalizia miaka yake ya Mwisho, na Nina bahati zaidi ya kuanza na Raisi wangu wa Sasa ambae Kama mnavyoelewa mambo kidogo yamebadirika.
Nina Elimu ya Chuo Kikuu na mpaka Sasa sijabahatika kupata Ajira Serikalini na Kwa fani niliyosomea Ni rahisi Sana kupata Ajira Sector binafsi Ila malipo ndo hua changamoto. Japo nimeajiriwa Ila bado mambo sio rahisi maana majukumu Ni mengi na Kama unavyoelewa familia zetu hizi ukishasoma wanategemea uwe msaada kwao na kwa nia njema unaweza ukawa unapambana Ila ndio hivyo Hali Ni Tete.
Lengo kuu la Uzi huu Ni Tushirikishane Ni Mbinu gani ulizotumia kukutoa kwenye Maisha ya wasiwasi mpaka hapo ulipo ambapo ishu Kama Kodi ya nyumba, hela ya kula na kuhudumia familia hazisumbui sana.
Tafadhali, Uzi huu unaweza kuwa msaada kwa Vijana wengi haswaa wa kiume maana wengi wao wanakua bila father figure ama mtu wa kuwaongoza kiushauri na kimawazo Nini Cha kufanya na kwa wakati gani, unapochangia jaribu kuwa na hofu ya Mungu ili usije potosha na uwe na Nia thabiti ya kutoa msaada, Asante.