BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Sijawahi kuwaza kwamba itatokea siku moja mfanyabiashara wa kitanzania kuwaza kuwekeza nje ya nchi. Anyway ndivyo ilivyo na itabidi!
Wadau wa biashara ambao pia hua mnakua na updated news za kibiashara katika nchi mbalimbali barani Afrika.
Naomba tushirikishane nchi zipi barani Afrika ukiacha Tanzania ambayo pana mazingira mazuri kwa wafanyabiashara wanaotaka kuja kuwekeza katika nchi zao haswa ambao sio wazawa wa hizo nchi.
Nikisema mazingira mazuri ya biashara naamanisha
Embu tushirikishane hizo nchi tafadhali!
Wadau wa biashara ambao pia hua mnakua na updated news za kibiashara katika nchi mbalimbali barani Afrika.
Naomba tushirikishane nchi zipi barani Afrika ukiacha Tanzania ambayo pana mazingira mazuri kwa wafanyabiashara wanaotaka kuja kuwekeza katika nchi zao haswa ambao sio wazawa wa hizo nchi.
Nikisema mazingira mazuri ya biashara naamanisha
- Kutobambikiwa kodi ovyo na tozo kubwa au makadirio makubwa ya kukufanya uache biashara
- Kutokua na wivu wa mafanikio ya mfanyabiashara
- Kutochanganya siasa na biashara
- Kupewa ushirikiano MKUBWA SANA na serikali bila kujali wewe ni wa chama gani na umetokea nchi gani.
- Kujiskia huru, kupewa usalama, hifadhi, yani KUTUNZWA VIZURI kama mwekezaji na kupewa SPECIAL TREATMENT.
- Sharia za biashara ambazo sio KANDAMIZI
- Kua na UHURU wa kuweka PESA zako kiwango chochote hata bilioni 10 alimradi unafanya vitu kwa uwazi, na kama mwekezaji nisiwe na UOGA kua kuna "watu" watakuja kuchungulia akaunti yangu bila "idhini"
Embu tushirikishane hizo nchi tafadhali!