Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 3,937
- 7,923
Sawa mkuuSawa mkuu nakutumia Link
Sawa mkuuSawa mkuu nakutumia Link
Am waiting for you broSawa mkuu nakutumia Link
Hellow good people!
Baada ya bitcoin kuvumbuliwa kama cryptocurrency ya kwanza kuanza kutumika duniani , kumekuwa na shauku ya watu wengi kutaka kuwekeza katika bitcoin lakini inawawia vigumu kutokana na bei yake kuwa juu mno , thamani ya bitcoin 1 iliwahi kufika million 40 za kitanzania , kwa sasa bitcoin moja inathamani ya Tsh Million 16.++,.
Uzi huu uwe maalumu kwa ajili ya kushirikishana cryptocurrencies za kuweza kutia mpunga kwa sasa na kuhold mpaka mwisho Wa mwaka 2018. Mimi binafsi nitaanza na coins kadhaa ambazo nimeziona kibongo bongo tunaweza kuziafford kutia mpunga wetu humo na ukahold mpaka December 2018 bila stress.
1. Action coin Log In ‹ Action Coin — WordPress
Hii coin niliwahi kuona mdau mmoja kaitambulisha humu ndani anaitwa budot uzi wake huu Action coin (Coin mpya kuzinduliwa mwezi march)
Kwa kuongezea kidogo hii ni coin ambayo ipo kwenye pre lunch ,inatarajiwa kuwa lunched ifikapo tarehe 1 March 2018. Ila kwa sasa wapo kwenye pre sale ya tokens zao na ratiba yao ipo kama ifuatavyo,
February 9 to 15: We will sell up to 250,000,000 Action tokens for *$0.005 USD. You must register to participate.
February 16 to 20: We will sell up to 250,000,000 Action tokens for *$0.01 USD. You must register to participate.
February 21 to 25: We will sell up to 250,000,000 Action tokens for *$0.02 USD. You must register to participate.
Kingine pia kutoka action coin ukifanya signup kwa sasa wanakupa free coin 1,000 , ofa hii inatafungwa tarehe 1 March 2018. Kazi kwako.!
2.Ethereum cash pro Ethereum Cash Pro
Hii pia ni coin ambayo ipo pia kwenye pre lunch inatarajiwa kuwa lunched tarehe 22 February 2018 . Price ya coin moja kwa sasa ni 0.001 . ALSO wanatoa free coins 10,000 ukifanya sign up kwa sasa.
3.WCX WCX
Hii pia ni coin ambayo ipo kwenye pre lunch. Tarehe 25 February 2018 itakuwa lunched rasmi. Kwa sasa Price ya coin moja ni $0.10 inakadiriwa hadi kufikia mwisho Wa mwaka price itafika $500 kwa coin moja, nao pia wanatoa free coins 50 kwa members wapya wanaojisajili.
4.Legit coin Legitcoin Presents Cryto Revolution
Hii ni new coin ambayo imeshakuwa lunched tangu tarehe 15 January 2018,, kabla haijazinduliwa price ya 1legit ilikuwa $0.001,
Saizi naandika Uzi huu thamani ya 1legit ni $2.05. Na kwa mujibu Wa MARK LEE founder Wa hii coin anadai hadi kufikia mwezi March 2018 thamani ya coin 1 itafika $70. Pia Inasemekana hii coin mpaka kufikia December 2018 itafika $700 kwa coin moja.
Kitu pekee ambacho wamekujana nacho hawa jamaa ni kwamba wapo mbioni kutengeneza Master cards za legit coin ambazo Zitaitwa LEGIT CARD , ambapo zitakuwa zinatumika kwa ATM Mashine yoyote duniani kwa ajili ya withdraw za legitcoin na other cryptocurrencies zilizopo duniani,
Kwa sasa ukijisajili wanakupa free coins 5 tu. Kujisajili ni simple unaingia sehemu ya Sign up then unajaza email na nywira yako , baada ya hapo watakutumia email kwa ajili ya kucomfirm e-mail yako, ndani ya hiyo Email utakayotumiwa kutakuwa na link pamoja na activation key , chakufanya utacopy zile activation key , hafu utabofya ile link iliyopo ndani ya email , itakupeleka kwenye sehemu yenye kibox utapaste zile activation key then kwa chini pia kunakibox cha kuthibitisha you're not a robot hakikisha panakuwa ticked , then bonyeza continue. Utakuwa umemaliza
Kwa sasa niishie hapo niwapishe wadau wengine kwa mawazo na michanganuo mingine juu hizi digital money pamoja na currencies za kuweza kuwekeza kwa sasa
Jaribu pia NinjFloki ipo vizuriHellow good people!
Baada ya bitcoin kuvumbuliwa kama cryptocurrency ya kwanza kuanza kutumika duniani , kumekuwa na shauku ya watu wengi kutaka kuwekeza katika bitcoin lakini inawawia vigumu kutokana na bei yake kuwa juu mno , thamani ya bitcoin 1 iliwahi kufika million 40 za kitanzania , kwa sasa bitcoin moja inathamani ya Tsh Million 16.++,.
Uzi huu uwe maalumu kwa ajili ya kushirikishana cryptocurrencies za kuweza kutia mpunga kwa sasa na kuhold mpaka mwisho Wa mwaka 2018. Mimi binafsi nitaanza na coins kadhaa ambazo nimeziona kibongo bongo tunaweza kuziafford kutia mpunga wetu humo na ukahold mpaka December 2018 bila stress.
1. Action coin Log In ‹ Action Coin — WordPress
Hii coin niliwahi kuona mdau mmoja kaitambulisha humu ndani anaitwa budot uzi wake huu Action coin (Coin mpya kuzinduliwa mwezi march)
Kwa kuongezea kidogo hii ni coin ambayo ipo kwenye pre lunch ,inatarajiwa kuwa lunched ifikapo tarehe 1 March 2018. Ila kwa sasa wapo kwenye pre sale ya tokens zao na ratiba yao ipo kama ifuatavyo,
February 9 to 15: We will sell up to 250,000,000 Action tokens for *$0.005 USD. You must register to participate.
February 16 to 20: We will sell up to 250,000,000 Action tokens for *$0.01 USD. You must register to participate.
February 21 to 25: We will sell up to 250,000,000 Action tokens for *$0.02 USD. You must register to participate.
Kingine pia kutoka action coin ukifanya signup kwa sasa wanakupa free coin 1,000 , ofa hii inatafungwa tarehe 1 March 2018. Kazi kwako.!
2.Ethereum cash pro Ethereum Cash Pro
Hii pia ni coin ambayo ipo pia kwenye pre lunch inatarajiwa kuwa lunched tarehe 22 February 2018 . Price ya coin moja kwa sasa ni 0.001 . ALSO wanatoa free coins 10,000 ukifanya sign up kwa sasa.
3.WCX WCX
Hii pia ni coin ambayo ipo kwenye pre lunch. Tarehe 25 February 2018 itakuwa lunched rasmi. Kwa sasa Price ya coin moja ni $0.10 inakadiriwa hadi kufikia mwisho Wa mwaka price itafika $500 kwa coin moja, nao pia wanatoa free coins 50 kwa members wapya wanaojisajili.
4.Legit coin Legitcoin Presents Cryto Revolution
Hii ni new coin ambayo imeshakuwa lunched tangu tarehe 15 January 2018,, kabla haijazinduliwa price ya 1legit ilikuwa $0.001,
Saizi naandika Uzi huu thamani ya 1legit ni $2.05. Na kwa mujibu Wa MARK LEE founder Wa hii coin anadai hadi kufikia mwezi March 2018 thamani ya coin 1 itafika $70. Pia Inasemekana hii coin mpaka kufikia December 2018 itafika $700 kwa coin moja.
Kitu pekee ambacho wamekujana nacho hawa jamaa ni kwamba wapo mbioni kutengeneza Master cards za legit coin ambazo Zitaitwa LEGIT CARD , ambapo zitakuwa zinatumika kwa ATM Mashine yoyote duniani kwa ajili ya withdraw za legitcoin na other cryptocurrencies zilizopo duniani,
Kwa sasa ukijisajili wanakupa free coins 5 tu. Kujisajili ni simple unaingia sehemu ya Sign up then unajaza email na nywira yako , baada ya hapo watakutumia email kwa ajili ya kucomfirm e-mail yako, ndani ya hiyo Email utakayotumiwa kutakuwa na link pamoja na activation key , chakufanya utacopy zile activation key , hafu utabofya ile link iliyopo ndani ya email , itakupeleka kwenye sehemu yenye kibox utapaste zile activation key then kwa chini pia kunakibox cha kuthibitisha you're not a robot hakikisha panakuwa ticked , then bonyeza continue. Utakuwa umemaliza
Kwa sasa niishie hapo niwapishe wadau wengine kwa mawazo na michanganuo mingine juu hizi digital money pamoja na currencies za kuweza kuwekeza kwa sasa.
Mkuu asante sana kwa huu uzi wako. naomba mrejesho wa tathmini ya hizi coin ulizotoa 2018. Zipi zimefanya vyema na zipi zimeporomoka.Hellow good people!
Baada ya bitcoin kuvumbuliwa kama cryptocurrency ya kwanza kuanza kutumika duniani , kumekuwa na shauku ya watu wengi kutaka kuwekeza katika bitcoin lakini inawawia vigumu kutokana na bei yake kuwa juu mno , thamani ya bitcoin 1 iliwahi kufika million 40 za kitanzania , kwa sasa bitcoin moja inathamani ya Tsh Million 16.++,.
Uzi huu uwe maalumu kwa ajili ya kushirikishana cryptocurrencies za kuweza kutia mpunga kwa sasa na kuhold mpaka mwisho Wa mwaka 2018. Mimi binafsi nitaanza na coins kadhaa ambazo nimeziona kibongo bongo tunaweza kuziafford kutia mpunga wetu humo na ukahold mpaka December 2018 bila stress.
1. Action coin Log In ‹ Action Coin — WordPress
Hii coin niliwahi kuona mdau mmoja kaitambulisha humu ndani anaitwa budot uzi wake huu Action coin (Coin mpya kuzinduliwa mwezi march)
Kwa kuongezea kidogo hii ni coin ambayo ipo kwenye pre lunch ,inatarajiwa kuwa lunched ifikapo tarehe 1 March 2018. Ila kwa sasa wapo kwenye pre sale ya tokens zao na ratiba yao ipo kama ifuatavyo,
February 9 to 15: We will sell up to 250,000,000 Action tokens for *$0.005 USD. You must register to participate.
February 16 to 20: We will sell up to 250,000,000 Action tokens for *$0.01 USD. You must register to participate.
February 21 to 25: We will sell up to 250,000,000 Action tokens for *$0.02 USD. You must register to participate.
Kingine pia kutoka action coin ukifanya signup kwa sasa wanakupa free coin 1,000 , ofa hii inatafungwa tarehe 1 March 2018. Kazi kwako.!
2.Ethereum cash pro Ethereum Cash Pro
Hii pia ni coin ambayo ipo pia kwenye pre lunch inatarajiwa kuwa lunched tarehe 22 February 2018 . Price ya coin moja kwa sasa ni 0.001 . ALSO wanatoa free coins 10,000 ukifanya sign up kwa sasa.
3.WCX WCX
Hii pia ni coin ambayo ipo kwenye pre lunch. Tarehe 25 February 2018 itakuwa lunched rasmi. Kwa sasa Price ya coin moja ni $0.10 inakadiriwa hadi kufikia mwisho Wa mwaka price itafika $500 kwa coin moja, nao pia wanatoa free coins 50 kwa members wapya wanaojisajili.
4.Legit coin Legitcoin Presents Cryto Revolution
Hii ni new coin ambayo imeshakuwa lunched tangu tarehe 15 January 2018,, kabla haijazinduliwa price ya 1legit ilikuwa $0.001,
Saizi naandika Uzi huu thamani ya 1legit ni $2.05. Na kwa mujibu Wa MARK LEE founder Wa hii coin anadai hadi kufikia mwezi March 2018 thamani ya coin 1 itafika $70. Pia Inasemekana hii coin mpaka kufikia December 2018 itafika $700 kwa coin moja.
Kitu pekee ambacho wamekujana nacho hawa jamaa ni kwamba wapo mbioni kutengeneza Master cards za legit coin ambazo Zitaitwa LEGIT CARD , ambapo zitakuwa zinatumika kwa ATM Mashine yoyote duniani kwa ajili ya withdraw za legitcoin na other cryptocurrencies zilizopo duniani,
Kwa sasa ukijisajili wanakupa free coins 5 tu. Kujisajili ni simple unaingia sehemu ya Sign up then unajaza email na nywira yako , baada ya hapo watakutumia email kwa ajili ya kucomfirm e-mail yako, ndani ya hiyo Email utakayotumiwa kutakuwa na link pamoja na activation key , chakufanya utacopy zile activation key , hafu utabofya ile link iliyopo ndani ya email , itakupeleka kwenye sehemu yenye kibox utapaste zile activation key then kwa chini pia kunakibox cha kuthibitisha you're not a robot hakikisha panakuwa ticked , then bonyeza continue. Utakuwa umemaliza
Kwa sasa niishie hapo niwapishe wadau wengine kwa mawazo na michanganuo mingine juu hizi digital money pamoja na currencies za kuweza kuwekeza kwa sasa.