Nisaidie faida za kuroot cmAhsante nashukuru ila bado kuna shida moja bado inasumbua.
Antivirus niliyo install katika simu yangu ina nionya mara kwa mara kuhusu king root. Na inanipa option ya kui unstall. Root imenipa mengi ila hili onyo nalifikiria mara mbili mbili.
Naomba kujuzwa jamani niki ignore hapatakuwa na madhara?
Tafuta app inaita keepvid ni nzuri sanaApp ya download video youtube nzur ipi wadau..tufamiishane
Ifont lakin simu yako lazima iwe rootedApp gani nzur ya kubadili muonekano wa maandishi ya simu??
Unaweza nipa step za kuroot simu? Mimi yangu ni tecno H6Ifont lakin simu yako lazima iwe rooted
Mkuu MOBDRO ni hatar me kila cku naenjoy NBA LEAGUE live ka niko marekani,,,,kwa wale wapenzi wa basketball inatufaa sana hii appMOBDRO ni app ya kuangalia TV.. (iptv)
Kwa Kutumia simu yako..
Ni app ambayo haipo Playstore..
Faida..
Ni kwamba unaweza kuangalia lots of Channel's zaidi ya channels 100.
Hasara..
Inakula sanaa mb kama YouTube.
Kazi kwako.
Link ya kudownload MOBDRO
Charlie mobdro.apk
Roby mkuu hujaniangusha tena hapa. Lakini naomba utoe add kwenye app zetu hizi ya bible na tenzi.
mbona mimi nadowload hd kabisaMkuu hii ndo natumia lkn video zake nkipakua hazina ubora zinaonyessha ukung flan iv.
mkuu Hii App ni namna gani inatumika? nishainstall but I fail to use it.Mkuu MOBDRO ni hatar me kila cku naenjoy NBA LEAGUE live ka niko marekani,,,,kwa wale wapenzi wa basketball inatufaa sana hii app
Unaweza nipa step za kuroot simu? Mimi yangu ni tecno H6
Nisaidie faida za kuroot cm
Unaweza nipa step za kuroot simu? Mimi yangu ni tecno H6
Wakuu naomba mnisaidie faida za kuroot simu, na ni apps gani za ziada ntakazo zipata baada ya kuroot na kwenye app gani ya kudwnld
Unaweza nipa step za kuroot simu? Mimi yangu ni tecno H6
Wakuu naomba mnisaidie faida za kuroot simu, na ni apps gani za ziada ntakazo zipata baada ya kuroot na kwenye app gani ya kudwnld
Ukitoot hakuna kinachibadilikaa kwenye icons..isipokua umekuaWadau mbona mie nimewezesha kingroot kwenye simu yangu. Na nimefungua play store root checker kwa ku install na ku verify root ikinipa congratulations ,root access properly installed on this device.
Ila sijaona ishara yeyote ya kuwa U'RE NOW A SUPERRUSER kwani superuser kutakua na icon yake? hadi nahisi huenda simu haijawa rooted.
Naomba msaada kutakua na tatizo gani wadau?
Wadau mbona mie nimewezesha kingroot kwenye simu yangu. Na nimefungua play store root checker kwa ku install na ku verify root ikinipa congratulations ,root access properly installed on this device.
Ila sijaona ishara yeyote ya kuwa U'RE NOW A SUPERRUSER kwani superuser kutakua na icon yake? hadi nahisi huenda simu haijawa rooted.
Naomba msaada kutakua na tatizo gani wadau?
Nini unata baada ya rooted?''sim yako iko tayar rooted..Kuna kubadili vision baada ya rooted..pia unaweza kufuta apps ambazi mwanzo hukua na ruhusa ya kufanya hivyooo.. SO wewe uliroot ili ufanyaje....angalizio. Kuroot sim Alaf ukafanya update imekula kwako"Wadau mbona mie nimewezesha kingroot kwenye simu yangu. Na nimefungua play store root checker kwa ku install na ku verify root ikinipa congratulations ,root access properly installed on this device.
Ila sijaona ishara yeyote ya kuwa U'RE NOW A SUPERRUSER kwani superuser kutakua na icon yake? hadi nahisi huenda simu haijawa rooted.
Naomba msaada kutakua na tatizo gani wadau?
Mkuu hizo blackbery zinasupport hata apps apk za androidWakuu msaada kwa anaejua applications nzuri kwa simu za BlackBerry Z 10 na Q 10
Zipo nyingi YouTube ingia tafuta 'Tenzi za rohoni'Roby mkuu hujaniangusha tena hapa. Lakini naomba utoe add kwenye app zetu hizi ya bible na tenzi.
Pia Kama kuna mkusanyiko wa tenzi zikiwa zimeimbwa itafaa Sana hata kwenye YouTube please share the link.
Ubarikiwe Sana.
Baadhi siyo app zoteMkuu hizo blackbery zinasupport hata apps apk za android