Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Wanajamvi ninataka kui restart simu yangu katika factory set yake inaniuliza pin na mimi sina kumbukumbu yoyote kama niliwahi kuiwekea pin.
Naomba msaada wa nini cha kufanya kuwezesha zoezi hili.
Simu yangu ni Huawei G mini play.
 
Kwa wale wanaopata advertisement yaani kifupi (ads) kwenye apps zao nyingi kama jamiiforum app kwenye simu watumie luckypatcher kuondoa hiyo anoying ads
Unatumiaje luckypatcher kuondoa matangazo

Sent from my SM-G800H using JamiiForums mobile app
 
Nenda play store down load psp emulator

Zen download game za psp zilizo ktk mtindo wa zip

Zen una unzip unakula game kiulaini za psp
Naomba ufafanuzi hizo gem za psp una download wap na una unzip vip...

Sent from my SM-G800H using JamiiForums mobile app
 
Nenda play store down load psp emulator

Zen download game za psp zilizo ktk mtindo wa zip

Zen una unzip unakula game kiulaini za psp
Naomba na image yake ina onekanaje play store

Sent from my SM-G800H using JamiiForums mobile app
 
Naomba na image yake ina onekanaje play store

Sent from my SM-G800H using JamiiForums mobile app
Wewe ingia play store andika psp emulator yoyote itakayokuja download then download unzip application ukisha vipata bitu hivi. Ingia ktk browser yako yoyote ingia google andika freeroms. Fungua iyo site zen pembeni kwenye rangi ya blue kuna kila aina ya consoler game chagua portable plastation game zen ingia kwenye izo Alphabet chagua game unalotaka download zen unzip. Enjoy

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
kuna njia hizi
-kingroot,kingoroot,towelroot na iroot
-UPDATE supersu.zip(flash recovery)
-updating os and substitute it with new rooted os
-framaroot
-root genius na nyengine nyingi




Acha mbwembwe, si kila simu unaweza kuiroot kirahisirahisi hivyo, mushomallow ambazo hazina custom rom huwezi kuziroot mpaka uwe na PC unamsaidia mtu jaribu kumpa options nyingi ili ajipime yupo katika option gani, unaleta mbwembwe nyingi kumbe upo palepale
 
Acha mbwembwe, si kila simu unaweza kuiroot kirahisirahisi hivyo, mushomallow ambazo hazina custom rom huwezi kuziroot mpaka uwe na PC unamsaidia mtu jaribu kumpa options nyingi ili ajipime yupo katika option gani, unaleta mbwembwe nyingi kumbe upo palepale
MBONA UPO NYUMA KIASI HICHO AU HAUJUI KUWA KINGROOT WAMEIFANYIA MODIFICATION NA INAROOT MPAKA NOURGAT? NAONA KAMA UNALETA CHALLENGES ZISIZO NA MAANA HEBU TUANZE KWANZA NA NJIA FUUUPI HALAFU ZIKIKATAAAA NDO TUJE REFU ZA PC "KAA KWA KUTULIA WACHA POVU"
 
Unatumiaje luckypatcher kuondoa matangazo

Sent from my SM-G800H using JamiiForums mobile app
ni simple kama unayo lucky patcher fuata procedure hizi
ALTERNATIVE 1
-Fungua lucky patcher kidha gusa application unayotaka kuimodify kisha zitakuja opption hizi (app info,launch app,open menu of patches,tools,uninstall app,manage app)gusa hiyo (open menu of patches) kisha itakuja option hii (create modified apk) iguse itafunguka na kukupa options hizi (apk without licence verifications,apk without google ads,apk rebuilt for in app and LVL emulations,apk with changed permissions and activities) gusa hii (apk without google ads) kisha itafunguka na options nyingii we gua hapo chini kwenye (rebuilt the app) kisha itaanza ku load iache na usiguse screen kwa kuwa itafail kisha kana itakuwa tayari itakuletea maandishi ya kijani na option mbili gusa hii gusa hiyo ya(go to apk ) kisha itakupeleka moja kwa moja kwenye apk file yako lakini kama haujawahi kuinstall apk nje ya play store itakubidi u allow ( install from external market kupitia (settings/security/unknown sources) kisha utarudi kwenye ile apk iguse kisha gusa hapo kwenye (uninstall and install) kwanza itaifuta ile apk ya mwanzo kisha itajiinstall hiyo modified hapo tayari
ANGALIZO
-njia hii huwa haitoi ads kwenye baadhi ya aps ila kama itakataaa tumia hii ambayo ni more secured na lazima ya ondoke kama mm natumia jamii app ambayo haina anoying ads
ALTERNATIVE 2
-Fungua lucky patcher yako kisha gusa apps ambayo unataka kuimodify kisha zitakuja otions hizi (app info,launch app,open menu of patches,tools,uninstall app,manage app) gusa hapo ( open menu of patches ) kisha itakuletea (create modified apk) gusa hapo kisha itakuletea option hizi (apk without licence verifications,apk without google ads,apk rebuilt for in app and LVL emulations,apk with changed permissions and activities) sasa hapa ni tofauti kidogo gusa option hii(apk with changed permissions and activities) kisha itakuletea options nyingi zenye rangi ya kijani,blue na njano sasa hapa kuwa makini gusa yale yenye rangi ya njano tuu!!!! narudia tena yenye rangi ya njano tuuu ndo uyaguse moja moja yatabadilika rangi na kuwa MEKUNDU(red) hakikisha hakuna option yyte iliyokuwa njano inabaki njano ita iwe nyekundu kisha baada ya hapo gusa hapo chini kuliopo andikwa (rebuild the app) kisha itaaanza kuload iache na usiguse screen ya simu yako kwa kuwa itafail ,hapaitachukua ka muda kidogo kisha baada ya hapo itakuletea maandishi ya kijani jua kua imefanikiwa ikleta mekundu jua imefail ila NJIA HII LAZIMA ILETE KIJANI haya kwenye kuinstall sasa baada ya kuleta option mbili gusa hiyo ya(go to apk ) kisha itakupeleka moja kwa moja kwenye apk file yako lakini kama haujawahi kuinstall apk nje ya play store itakubidi u allow ( install from external market kupitia (settings/security/unknown sources) kisha utarudi kwenye ile apk iguse kisha gusa hapo kwenye (uninstall and install) kwanza itaifuta ile apk ya mwanzo kisha itajiinstall hiyo modified hapo tayar na utaenjoy apk without ads.
 
Root hiyo simu kisha ondoa baadhi ya pre install app.
Simple way.


Hans Pol
kuna njia moja ya kutumia external memory card kama rom ila inabidi uwe unatumia android mashmallow kama sio mashmallow itabidi tu u root simu kiasha uondoe blotware
 
Fanya hivi download apps yako ambayo siyo premium version kisha install hiyo app tuchukulie mfano labda jetaudio basic version ambayo haina option nyingi download luckypatcher (hii haipo playstore kwa kuwa inapinga sheria za google kwa hiyo ingia google search kisha andika luckypatcher apk kisha zitakuja links nyingiii ingia moja wapo kisha download) install luckypatcher(kumbuka sio lazima u root simu ndiyo utimie luckypatcher unaweza tumia hivyo hivyo bila root ila kwa option nyingi zaidi kama unamahitajio nazo na unaju unachokifanya basi unaweza kuroot simu mimi binafsi sijaroot simu) baada ya kuinstall ifungue kisha zitakuja apps zako zote ndani ya simu yako kisha tafuta apps yako unayotaka kuipatch nilikwambia tuchukulie jet audio basic version sasa itafute hiyo jet audio kisha iguse itakuletea option hizi(app info,launch app,open menu of patches,tools,uninstall app,manage the app) gusa hiyo open menu of patches itakuletea hivi (create modified apk) iguse hiyo option kisha italeta hizi options (custompatch-applied apk,apk without lisence verification,apk without google ads,apkrebuilt for in app and lvl emulation,apk with changed permissions and activities) gusa option hii custompatch-applied apk kisha zitafunguka patch husika gusa moja moja ili kisoma na kujua ipi unahitaji kwa mfano mm kwenye jetaudio basic version utaona patches ambazo ukiziinstall yaani kuziapply hapo apk yako itakuwa premium version yaani hizo apk yako kimuonekano itakuwa hivyo hivyo basic lakini inakuwa na opptions za PREMIUM version kwa hiyo kwa lugha rahisi itakuwa premium tu
:kwa wanaopenda kucheat magemu :
Fuateni maelezo hayo hapo juu ila kwenye apps yako kama ni gemu ukishaligusa option za mwanzo zitakazo kuja gusa hii (apk rebuilt for in app and lvl emulations ) kisha itakuletea option ya mbele iguse na uendelee kisha itaload kwa muda na kukuambia kama imefinish kisha gusa go to apk na utaiona iguse kisha gusa (unistall and install) hapo apk ya mwanzo itafutika na mpya itajiinstall kisha kama utaenda kwenye gemu lako husika na ulikuwa labda unataka coins utagusa tu kwenye coins na itafunguka option window ya luckyptcher ikubali na coins ulizochagua zitaonhezeka na utaweza kuzitumia
:angalizo:
Kama ni magemu ambayo yanahifadhi data kwa cache files (nadhani magemu mengi mapya yanafanya hii ki2) wkati wa kuinstall hiyo patched apk hiyo cache pia itafutika kwa hiyo cha kufanya kabla haujapatch hiyo apk nenda kwenye directory hii kwa kutumia zip exlore yyte napendelea sana hii (ESfile explore ipo playstore) fungua hiyo file explore italeta phone storage au external storage chagua phone storage kisha nenda kwa mafaili haya (android/obb/kisha utakuta mafaili ya magemu yako chagua limoja ambalo apk file yake unaenda kuedit kisha rename hili file kwa kuongeza herufi moja yyte ile kisha nenda kaedit kwa lucky patcher
Hapa sijaelewa vzur kweny kupatch games,, Unaenda kwenye file data na obb halaf unaedit na kurename ile game ambayo umepatch au??? Mfano labda umekuta www.ftsworldgame.com unafanyej sasa hapo???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2ef3b9429d1c596feb3a1d2a246204b0.jpg



WiFi MAP

Hii app inapatikana Playstore..
Ni nzuri sana..

Inaonyesha wireless zilizo near or far na wewe.. Na kama ina password inaonyesha na password ya hiyo Wireless...

Note.. : sio wireless zote zinaonekana kwenye hapa....

Mfano nili try hii ya unaweza kuona hapa chini.

4240aefa78fb37ead37edfe4455862b4.jpg

Ya chuo kimoja hapa mjini.
It's very good App..


Note: do at ur own risk..
Mbona inazingua kukonect nipe maelekezo yakuitumia mkuu
 
Hapa sijaelewa vzur kweny kupatch games,, Unaenda kwenye file data na obb halaf unaedit na kurename ile game ambayo umepatch au??? Mfano labda umekuta www.ftsworldgame.com unafanyej sasa hapo???

Sent using Jamii Forums mobile app
haurename lile file ambalo umepatch ni kuwa kila heavy application especialy games za androids huwa zinakuwa na additional file mbalo hukaaa kwenye folder husika hii ni huwasaidia manufactures kuokoa muda wa kutengeneza apk ambayo ni heavy mwishowe ishindwe kusoma kwenye baadhi ya simu ambazo hazina uwezo mkuubwa sana.
na hata hivyo file hilo sasa huwa linakaa kwenye directory hii( Android/obb) kwenye upande wa simu yaani internal storage ambapo simu nyingi hutumia kama common storage na huwa file hizo zina muundo huu kwa mfano game la batman the dark knight rises huwa hivi (com.gameloft.android.ANMP.GloftKRHM) na hukaa kwenye directory niliyoweka hapo juu sasa ikayokea ukafuta apk file na hilo folder lako lazima lifutike kwa kuwa huwa linajilink kama file moja sasa ili kuepusha kufutika kwa folder lako (au wengine huita cache file) ambalo huwaga lina size kubwa kuliko APK file yake either uedit jina la hilo folder kwa kuongeza herufi moja mwishoni mwa folder lako ambapo ita kata ile link na APK file hivyo kupelekea ukifuta APK file basi folder haliusiki kufutika n.k
SASA TUJE HAPA
sasa kama ulipatch apk file yako na unajua kabisa kuwa ina file ambalo lipo kwenye directory husika afu ukainstall ile apk file definitely itakataa kujiinstall mpaka ufute ile ya mwanzo na ku install mpya(hiyo uliyo patch)sasa utakapo futa hiyo ya zamani ( unpatched) basi na lile folder nalo litafutika kwa hivyo ili kuepusha hii ninlazima uedit lile folder kisha ndo ufute ile apk kisha uka edit tena lile folder(kwa kufuta ile herufi uliyoongeza) baaada ya kuinstall ile (patched) apk nafikiri umenielewa sasa mkuu.
 
haurename lile file ambalo umepatch ni kuwa kila heavy application especialy games za androids huwa zinakuwa na additional file mbalo hukaaa kwenye folder husika hii ni huwasaidia manufactures kuokoa muda wa kutengeneza apk ambayo ni heavy mwishowe ishindwe kusoma kwenye baadhi ya simu ambazo hazina uwezo mkuubwa sana.
na hata hivyo file hilo sasa huwa linakaa kwenye directory hii( Android/obb) kwenye upande wa simu yaani internal storage ambapo simu nyingi hutumia kama common storage na huwa file hizo zina muundo huu kwa mfano game la batman the dark knight rises huwa hivi (com.gameloft.android.ANMP.GloftKRHM) na hukaa kwenye directory niliyoweka hapo juu sasa ikayokea ukafuta apk file na hilo folder lako lazima lifutike kwa kuwa huwa linajilink kama file moja sasa ili kuepusha kufutika kwa folder lako (au wengine huita cache file) ambalo huwaga lina size kubwa kuliko APK file yake either uedit jina la hilo folder kwa kuongeza herufi moja mwishoni mwa folder lako ambapo ita kata ile link na APK file hivyo kupelekea ukifuta APK file basi folder haliusiki kufutika n.k
SASA TUJE HAPA
sasa kama ulipatch apk file yako na unajua kabisa kuwa ina file ambalo lipo kwenye directory husika afu ukainstall ile apk file definitely itakataa kujiinstall mpaka ufute ile ya mwanzo na ku install mpya(hiyo uliyo patch)sasa utakapo futa hiyo ya zamani ( unpatched) basi na lile folder nalo litafutika kwa hivyo ili kuepusha hii ninlazima uedit lile folder kisha ndo ufute ile apk kisha uka edit tena lile folder(kwa kufuta ile herufi uliyoongeza) baaada ya kuinstall ile (patched) apk nafikiri umenielewa sasa mkuu.
Nimekuelewa mkuu wangu,,, nimefanya zoez mpka mwisho nimefanikiwa,,,, lakin shida ni hii nimeenda mpka kuchukua coin imeload ww kamekuja kale ka mesej ka patcher kenye yes na No, nimeweka yes lakn imeload bdae inaniambia validity purchase is 0,shida n nn???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa mkuu wangu,,, nimefanya zoez mpka mwisho nimefanikiwa,,,, lakin shida ni hii nimeenda mpka kuchukua coin imeload ww kamekuja kale ka mesej ka patcher kenye yes na No, nimeweka yes lakn imeload bdae inaniambia validity purchase is 0,shida n nn???

Sent using Jamii Forums mobile app
hili tatizo sio kwako tu bali hata mm limeshanikuta kwenye baadhi ya games ambapo apk inakubali ku patch lakini nikitaka ki hack niongeze coins inagoma nadhani hii inatokea kwenye apks nyingi za miaka ya hivi karibuni ambapo mqmbo ya security kwenye apps yamekuwa makubwa mno .
NINI CHA KUFANYA
Kama tatizo kama hili limewahi kukutokea itabidi utumie second alternative ambayo haiusishi luckypatcher .nayo ni hii
SECOND ALTERNATIVE
tuchukulie mfano game lililokataa ku be hacked coins ni hili la morden combat 3.
kabla haujaanza hakikisha unaijua kwanza version ya apk yako kwa kuwa kama tu assume umechukua game la version 1.2 kisha ukaliinstall baadae ukaifuta apk yake ya v1.2 na ukaingiza v 1.3 au 1.4 kisha ukatumia ile ile cache file ya v 1.2 kwa apk ya v 1.3 au 1.4 basi ita crash na haitasoma hata hivyo kuna baadhi ya games hasa zile za nyuma sana kama batman the dark knight rises na nyengine huwa zina share similar cache file.kwa apk versions tofauti tofauti.
UTAJUAJE APK VERSION?
Kuna njia nyingi za kujua apk file versions ila nyingi huwa zinakosa full dertails na hata kuwa za uwongo njia sahihi ni kudownload app ya (Esfile explore) playstore hii app ni powerfull ila sio kama (Zarchiver) kwa hivyo ni muhimu ukawa nazo zote mbili (Zarchiver pamoja na Esfile explore) sasa ukisha install hiyo app (Esfile explore) ifungue kisha itakupeleka moja kwa moja kwenye device storage (internal system ) kwa mfumo wa ma folders mengi mengi mno sasa utakachotakiwa kufanya SCROLL kutokea kulia kwenda kushoto yaani ( B <------- A ) hapo itakupeleka kwenye USER APPS ambapo utaweza kuona apps nyingi ambazo umeisha ziinstall na ziko ndani ya simu sasa gusa app moja wapo unayopendekeza kujua version yake kisha yatakuja maelezo na full version yake na utaijua kuwa ni version gani.
BAADA YA KUIJUA VERSION SASA.
sasa baada ya kujua apk file version yako itakubidi uende google na kusearch kama ifuatavyo (kumbuka tuli assume kuwa ni morden combat 3 ndo limegoma) tuchukulie mfano ni v 1.2 :
utasearch hivi morden combat 3 v 1.2 modded apk kisha zitakuja links mbali mbali na utachagua moja wapo kisha utaangalia na maelezo yaliyotolewa hapo kwa kuwa ina depend na website yenyewe utaidownload na kisha njia za kuinstall utafuata hizi.
1.KAMA GAME LIN CACHE FILE
kama ni apk yenye cache file itakubidi uka rename lile cache file au wengine huita folder kwa kuongeza herufi moja kwa mbele yaani kwa ku rename hii itakufanya kukata link zilizopo baina ya apk na cache file lako na kukufanya usipoteze data wakati wa kufuta apk husika. kisha utaenda kufuta ile apk ambayo sio modded na kuinstall ile modded apk kisha utaenda kufuta ile herufi uliyoongeza.hapa game litakuwa tayari.
2.KAMA GAME HALINA CACHE FILE
kama game halina cache file basi utaifuta hiyo apk yako ya mwanzo ambayo sio modded na kuinstall hiyo modded kish itakuwa tayari.
"ALAMSIK"
 
Back
Top Bottom