johnsonmgaya
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 2,818
- 3,725
Mkuu nimefata njia zote kuistall hiyo kitu, nashangaa sijaona option ya kuingiza namba ya mtu umtakae naona text zangu na notification zangu tu nisahihishe nimekosea wapi? naingiza vipi account ya huyo mlengwa?pitia hapa mimi binafsi imenisaidia
Junior Hamis, post: 19648984, member: 167548"]ngoja ninaribu kuelekeza japo kwa kifup.... hapa ki2 cha kwanza inabidi kutumia simu ya mhusika yaani (victim phone) ukishakuwa nayo ingia kwenye browser serch www.mobile-tracker-free.combaada ya hapo install hyo app... ingia setting, security then select unknown source ili kuruhusu installation of apk..... then... ukishamlza ku downloadthen create account by using emailbaada ya ku create account italeta hapaselect unavyohtaji kama ni sms, photos, recorded call audio, location nakadhalika kwa wale ambao wana rooted devices unaweza select social networks pia kama Facebook na whatsapp and othersthen log inweka tick kwenye to accept agreement the log in italeta hiviselect thenselect social networks for rooted phone theafter pls wait itakubali hivtheb baada ya hapo umemalza utakuwa una log in kwenye website www.mobile-tracker-free.com kwa kutumia device yoyote utakuta kila ki2 kama hivithenkama ni audio za callna vingine..... nawasilisha nb:do this at your own risk.... sihusiki na ndoa ya mtu...