Elections 2010 Tushinde tusishinde tumeweka msingi imara wa zege la KOKOTO!

Raia Fulani

JF-Expert Member
Mar 12, 2009
10,848
2,670
Huu ndio ukweli. Juu ya mwamba huu (ushindi wa upinzani majimboni) tuko katika maandalizi ya dhati ya kujenga taifa la kudumu. Jk analenga urais tu kwa sasa ila udiwani na ubunge kavisusia kwa upinzani. Lakini tungoje matokeo yote ya bara kwanza
 
Kinachonikuna kuliko vyote mkuu ni kwamba hata tukishindwa sasa tuna opposition party ya ukweli, yale mambo ya mtiririko wa mivyama naona ndiyo mwisho wake huu hasa ukizingatia walihongwa eti wamejitoa kumsapoti JK
 
Kweli mkuu. Tanzania ya kesho si ile ya miaka 5 au 40 iliyopita!
 
Hata Jk akiiingia madarakani kwa hila za hapa na pale, Jibu wameshalipata kwamba wananchi wamemkataa!
 
eee bwana ndio e bwana Quality >>go gooooooooooooooooooooo Chadema ..furaha niliyo nayo leo
 
Wa bunge wa upinzani wakiwawengi basi hata rais hatakaa. Wanaweza piga kura yakutokuwa na imani na rais.
 
Kila siku nilikuwa na imani na Tanzania,mambo yetu polepole lkn kwa dhati.nadhani hii imekuwa njia nzuri ya kujenga mfumo dhabiti wa siasa...and now no turning back
 
Mkapa katupa msamiati mpya wa upinzani-KOKOTO. hajui uimara wa kokoto?
 
Napata faraja, angalau kura yangu imetoa mwanga, am so haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaapy!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wamechakachua sana matokeo ya urais hawa watu. Nilidhani jk aliposema hakuna wizi wa kura nilidhani ni mkweli. SHAME ON KIKWETE AND CCM! F......K!!!!
 
Huu ndio ukweli. Juu ya mwamba huu (ushindi wa upinzani majimboni) tuko katika maandalizi ya dhati ya kujenga taifa la kudumu. Jk analenga urais tu kwa sasa ila udiwani na ubunge kavisusia kwa upinzani. Lakini tungoje matokeo yote ya bara kwanza

Yaani kushikilia 80% ya viti vya ubunge kwenye bunge lenye viti 239 vya kuchaguliwa ndiyo sawa na kusema "udiwani na ubunge kavisusia"?

Embu angalia takwimu halafu ndiyo muwe mnafungua midomo yenu. :bowl:
 
Back
Top Bottom