Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 25,558
- 45,829
- Thread starter
- #21
aya tunasoma maoni yenuMkumbuke na mikao siku ya sikukuu!,maana wengine mnaweka lundo la nywele kusogoni,na kusababisha mkao wa kifo cha mende kusumbua..
aya tunasoma maoni yenuMkumbuke na mikao siku ya sikukuu!,maana wengine mnaweka lundo la nywele kusogoni,na kusababisha mkao wa kifo cha mende kusumbua..
wigi wanabana nywele so linakua jepesi tofauti na ukitingeneza mwenyewe, au ununue viwig vile vifupi navyo huwa vizuri ila likiwa Originalasante mkuu au ninunue wigi kabisa? ila mawigi nayo unakuwa kama mzimu vile?
ok shukrani kwa ushauri ngoja nitafute mt anitengenezeewigi wanabana nywele so linakua jepesi tofauti na ukitingeneza mwenyewe, au ununue viwig vile vifupi navyo huwa vizuri ila likiwa Original
nyie si mpo? sisis tunasuka kwa gharama yoyote as long mpo nyie hapoHela mnazo??
Ninyi mnakuwa wabahili na papuchi zenu na sisi tunakuwa wabahili na pesa zetu!......over!!nyie si mpo? sisis tunasuka kwa gharama yoyote as long mpo nyie hapo
natukutia budget jioni ngoja nipate profoma hapaNinyi mnakuwa wabahili na papuchi zenu na sisi tunakuwa wabahili na pesa zetu!......over!!
loh yale manywele mengi vile si nitakufa mimi? hivi watu wanalalaje?suka afro king
usisuke mazima mazima wambie wakusokote kama dreadloh yale manywele mengi vile si nitakufa mimi? hivi watu wanalalaje?View attachment 448569
hebu weka picha dear maana naonaga watu wamesuma mazima kama mazombie hiviusisuke mazima mazima wambie wakusokote kama dread
natukutia budget jioni ngoja nipate profoma hapa
Hivi style murua ya nywele inayoendana na bia za sikukuu ni ipi mkuu?suka afro king
sioni kwenye google me nimesuka kuweka lisura langu hapa mmmh mtanifaidihebu weka picha dear maana naonaga watu wamesuma mazima kama mazombie hivi
style kwenye nini? kwenye mavazi vaa simple kula maji.... kwenye ngono missionary na kukaa juu ndiyo inafaa na pia zingatia kama huna mke au mpenzi mmoja tumia condom, msimu huu si mzuri,...Hivi style murua inayoendana na bia za sikukuu ni ipi mkuu?
hapana ngoja kama nikiona mtu karibu nimpige pichaahahaaa weka hata nyuma bna
hana mke huyu jamaa?style kwenye nini? kwenye mavazi vaa simple kula maji.... kwenye ngono missionary na kukaa juu ndiyo inafaa na pia zingatia kama huna mke au mpenzi mmoja tumia condom, msimu huu si mzuri,...
chakula nyama choma za aina zote
dancing mgongo mgongo ndiyo nzuri msimu kutia mzuka
huwa simuelewi kama bado katotohana mke huyu jamaa?