Tushapoteza 'advantage' dhidi ya Al Ahly

Hata wa Ndanda. Yanga wajanja sana. Wanaonyesha nia tu, jamaa wanawahi kusajili. Achana wawarundike.
Roho inawauma eeeh...mnataka waje Yanga wafe njaa...but hizi kelele kuanzia tarehe 16 hatutazisikia tena
 
Roho inawauma eeeh...mnataka waje Yanga wafe njaa...but hizi kelele kuanzia tarehe 16 hatutazisikia tena
Kwenu muhimu mechi dhidi ya Yanga tarehe 16 Kuliko ya All Ahly tarehe 12.
Hili zuri kwa Yanga. Kuleni tano nyingine za Al Ahly, halafu tuonane 16
 
Ilitarajiwa wangekutana na joto kali lakini daah,haka ka mvua jamani,watakutana na hali nzuri tyu ya hewa kilichobaki wachezaji wa simba mpambane sana

Nimefurahia kauli ya Mo kuhusu wachezaji wazembe na hata fununu zinazotembea sasa hivi ziendelee tu maana kuna wachezaji ni ma punda bila viboko hawaendi, wajue wana miezi michache tu ya kuonyesha uwezo wake, hivi mtu kama salamba leo akirudi lipuli kuna mtu atamlilia? mnapewa nafasi mnaichezea,ulevi na mademu tu?
Mikia bhana

Mnategemea hali ya hewa ili mshinde

Mo kawa msemaji wa mbumbumbu (mnisaidie kujua Haji yuko wapi)

Acheni kiherehere, Yanga alipowazuga kumsajili salamba mkaingia kichwa kichwa

Tushirikiane tu kwenye maombi zisifike 5 tena ili kuepushia Taifa aibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapo bado mnataka advantage.
Jamaa wana misuli.
#jamaahamuwawezi#
IMG_20190212_062954.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom