Tushapoteza 'advantage' dhidi ya Al Ahly

Ahhhhh mkuu mbona unaniangusha, adui wa kwanza wa kufeli ni kutokujikubali mimi achana na mawazo mgano na maono yenye hasi katika maisha yako, sisi ndiyo simba banah tunampiga mtu we subiri
Mkuu wenzetu thamani ya kikosi chao 68B si cha kwetu hata 2B hakifiki; Sisi ni underdog kwenye haya mashindano kuanzia uzoefu,na vingine though kwenye mpira lolote laweza tokea. Tupo na simba yetu nyuma lakini tunahitaji reformz kwenye kikosi mpaka bench, haiwezekani tuna wachezaji 10profissionz lkn wa nashindwa deliver chochote kwenye haya mashindano. All in all tupo pamoja This is .............
 
Salamba yanga walimtaka simba mkajitia ujanja kumteka ,yanga wakamtaka kagere bado mkamuwahi yaani yanga akitangaza kumtaka mchezaji mnawahi haya pambaneni na hali zenyu
kama mlivyomuwai mbuyutwite...simba hakuna mchezaji yoyote amewai kucheza yanga kasoro okwi na yeyealikuja kula hela za manji tu..
yondani,ngasa,ajib,tambwe yote ni masalia tuliyowaachia
 
Ilitarajiwa wangekutana na joto kali lakini daah,haka ka mvua jamani,watakutana na hali nzuri tyu ya hewa kilichobaki wachezaji wa simba mpambane sana
Nimefurahia kauli ya Mo kuhusu wachezaji wazembe na hata fununu zinazotembea sasa hivi ziendelee tu maana kuna wachezaji ni ma punda bila viboko hawaendi, wajue wana miezi michache tu ya kuonyesha uwezo wake, hivi mtu kama salamba leo akirudi lipuli kuna mtu atamlilia? mnapewa nafasi mnaichezea,ulevi na mademu tu?
shubamiiit.
ha haaaaaa......................hao mikia fc....
 
Mkuu wenzetu thamani ya kikosi chao 68B si cha kwetu hata 2B hakifiki; Sisi ni underdog kwenye haya mashindano kuanzia uzoefu,na vingine though kwenye mpira lolote laweza tokea. Tupo na simba yetu nyuma lakini tunahitaji reformz kwenye kikosi mpaka bench, haiwezekani tuna wachezaji 10profissionz lkn wa nashindwa deliver chochote kwenye haya mashindano. All in all tupo pamoja This is .............
Kujilinganisha ni udhaifu mkubwa tuliokua nao watanzania mkuu, hata mtoto alianza kukaa, akaja kutambaa, akaanza kusimama na hatimaye akatembea, kila kitu ni mchakato
 
Simba itafute Mtaalam wa Saikolojia ili awasaidie wachezaji wake. Walivyocheza na Mbabane Swallows, Nkana na hata walivyocheza na Soura wachezaji walikuwa na hamasa kubwa ya kujituma uwanjani. Tofauti na walivyocheza na AS Vita au Al-Ahly walikosa hali ya kujituma, Wanakabia macho, wakinyang'anywa mpira wala hawajisumbui kuutafuta, wakifungwa wanacheka na kutabasamu tu wala hawaumizwi na vichapo, mabeki hawarukii mipira ya kona au Cross utazani wamepewa posho na Timu pinzani. Timu hata ikizidiwa uwezo basi waonyeshe hali ya kupambana. Vichapo vya Hamsa vinavunja moyo kwa kweli
Mkuu kwanini hatupendi kukubali ukweli?! Unahisi hata hao Al Ahly wakijituma mbele ya Barcelona watapata matokeo? Sijui umenipata point yangu?!
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom