GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Swaziland:
Mfalme wa nchi hiyo ametangaza rasmi kuwa Kuanzia mwezi June 2019 anataka Wanaume wote waliofikisha Umri wa Kuoa wafanye hivyo haraka na kwa Kuoa si tu Mwanamke Mmoja bali wawe ni Wanawake Wawili na asiyefanya hivyo ajiandae kwenda kuyaanza Maisha yake rasmi Gerezani.
Iran:
Mamlaka ya nchini humo imepiga Marufuku ya Wanaume wa nchi hiyo ' Kuwaangalia ' Wanawake wakati wakati wa Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhan. Na kama haitoshi Mamlaka hiyo hiyo tena imepiga Marufuku Watu Kula hadharani wakati wa Mwezi huu na Kubwa zaidi Mamlaka hiyo hiyo imepiga Marufuku Wamiliki wote wa Magari nchini humo Kupiga Muziki ndani ya Magari yao hayo kwa Kipindi hiki.
Nawasilisha.
Mfalme wa nchi hiyo ametangaza rasmi kuwa Kuanzia mwezi June 2019 anataka Wanaume wote waliofikisha Umri wa Kuoa wafanye hivyo haraka na kwa Kuoa si tu Mwanamke Mmoja bali wawe ni Wanawake Wawili na asiyefanya hivyo ajiandae kwenda kuyaanza Maisha yake rasmi Gerezani.
Iran:
Mamlaka ya nchini humo imepiga Marufuku ya Wanaume wa nchi hiyo ' Kuwaangalia ' Wanawake wakati wakati wa Mwezi huu Mtukufu wa Ramadhan. Na kama haitoshi Mamlaka hiyo hiyo tena imepiga Marufuku Watu Kula hadharani wakati wa Mwezi huu na Kubwa zaidi Mamlaka hiyo hiyo imepiga Marufuku Wamiliki wote wa Magari nchini humo Kupiga Muziki ndani ya Magari yao hayo kwa Kipindi hiki.
Nawasilisha.