Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,681
- 11,120
Ningumu sana kuelewa. Mwisho wa siku unaitwa wa buku saba. Ila tutafika tu. Natumaini miaka mitano iliyobaki tutasonga kwa kiasiSiasa nyingi za majukwaani zina tija kwa wanasiasa wenyewe wakiukuza umaarufu wao lakini kwa mwananchi wa kawaida hazina tija.
Hii spirit ya msisitizo wa kufanya kazi haikuwa ni sehemu yetu ya maisha ya kila siku, tulizoeshwa hadaa za kisiasa.