Tusemezane: Waziri wetu wa Mambo ya Nje,Prof.Kabudi amekosea nini na wapi kwenye hotuba yake kule Kenya? 'Washika bango' mnajijengea mazoea mabaya

Naunga mkono hoja. Kuna watu humu ni pinga pinga, wao kazi yao ni kukosoa tuu kila kitu na kupinga kila kitu, ukiwasahihisha, hawachelewi kukuita gamba, na ukisifia jema lolote la awamu hii, huchelewi kunyooshewa kidole kuwa unatafuta uteuzi.

P.
ukishakuwa verfied member humu unakuwa mtumwa wa fikra kwa ajili ya utawala wa awamu ya 5.
 
Naunga mkono hoja. Kuna watu humu ni pinga pinga, wao kazi yao ni kukosoa tuu kila kitu na kupinga kila kitu, ukiwasahihisha, hawachelewi kukuita gamba, na ukisifia jema lolote la awamu hii, huchelewi kunyooshewa kidole kuwa unatafuta uteuzi.

P.

Naona na ww unaishi kwenye neno la fashion la kupinga kila kitu. Huku ndani kila mtu ana mtazamo wake, ukileta hoja ujue humu sio kwenye mkutano wa hadhara, ambapo utasifiwa au kushangiliwa bila kuambiwa ukweli wako. Ukisifia watu wataangalia unachosifia na wataweka mitazamo yao, na hiyo mitazamo yao sio lazima ikufurahushe ww.
 
Huyu jama hana nyota kwa watu wtznia wengi hampendi sijui kwanini lichayakua msomi
 
Mkuu Mselewa wabongo siku zote ni mafundi wa kukosoa na hao wakosoaji wala sio wengi. Waziri kaongea jambo lenye kuhusiana na uhusiano wetu na Kenya.

Tatizo la watanzania wengi wanataka Waziri aendelee na mawazo au maoni yale yale ya wakati wa tume ya Warioba, wanasahau kuwa maisha huenda yakibadilika, mawazo yangu ya leo sio lazima mwakani yawe ni hayo hayo.
 
Nilichoona mimi kwenye mitandao ya kijamii na kinacho lalanikiwa sio hutuba mbovu ya Prof Kabudi, watu wengi wanalalamikia prof kwenda ku advocate demokrasia among Kenyan wakati nchi yake imebana demokrasia.
Nchi yake haijabana demokrasia bali inataka nidhamu iwepo kwenye utekelezaji wa hiyo demokrasia. Huwezi tu kuamka ukatoka jimboni kwako Sengerema ukaenda Nachingwea na kuanza kumtukana au kumkejeli mbunge wa pale kwa kigezo cha demokrasia.

Huwezi kuwaweka watu juani saa tisa mchana wanakusikiliza ukiongea sera muda ambao walipaswa aidha kuwa mashambani au viwandani wakifanya kazi.
 
Kipi hicho Mkuu?
Anasema Wakenya waache kuangalia tofauti zao za kisiasa na waungane pamoja kuijenga nchi yao. Lakini uku utawala unatamani kuifuta kwenye ramani siasa ya vyama vingi. Wapinzani hawataki wasikike na kufanya siasa, wako kila kukicha mahakamani kwa kesi za kuchonga. Hakuna uhuru wa habari wakati anawahubiri wakenya uhuru, hakuna chaguzi za halali wakati akitaka wapinzani wa kenya.

Mfano anaongelea mambo ya kuepusha shari na kuleta shere wakati kwetu shari ni kila kukicha. Anaongelea kuondoa uhasama na kuleta tabasamu wakati kwetu uhasama ni kawaida na tabasamu kwa watanzania zimeisha, anasema kuondoa hofu wakati uku watu wanapotezwa na kuuliwa, na hakuna matumaini, anaongelea Kenya kuwa moja yenye mshikamano wakati uku ni kitu kimetoweshwa, hakuna umoja, hakuna mshikamano. Anashukuru Rais kushikana mkono na mpinzani wakewakati huyu wetu akiwa zanzibar alishangaa Rais wa Zanzibar kushikana mkono na mzee Ahmad, anaongelea national cohesion wakati kwetu ni mparanganyiko wa hali ya juu. Anasema ku upheld national ethics wakati uku hakuna cha ethics kila mtu na vyake, anasema perpetuation of fear wakati sisi ni kitu kile kile anasema they should learn to respect each others and tolerate and need each others. I we in that position of tolerance and needing each others. It is good to preach what you are practicing
 
Ulichokiandika umekisoma mwenyewe? Jione ulivokua zuzu
Ukitaka kuita mwenzako zuzu jipime kwanza. I quoted what he said and put it in practice for Tanzania politics. I worried that because of your idiotic life, you didn't even stretch your brain and listen him at least thru youtube. Idiot mkubwa
 
Thibitisha kama tumegawanyika izo ni fikra zako
Lini Magufuli aliwahi kukaa na upinzani achilia mbali hata kusikiliza mawazo yao. Sasa hivi tumegawanyika kiitikadi kiwango cha mkuu wa nchi kutamka kwamba hawezi kutoa maendeleo sehemu ya upinzani. Juzi wamemtoa Lissu kwenye bunge na kuonyesha kwamba alifurahia akamwaga misaada kwenye jimbo lake. Uko Mbeya aliwambia hawawezi kupata maendeleo toka serikalini kwa sababu walichagua wapinzani. Sasa hivi tumeanza kugawanyika hata kikabila na kikanda. Ona teuzi zake nyingi zimelalia kikanda, Mkuu wa Majeshi, mkuu wa polisi, mkuu wa TISS, Wizara mfano fedha katibu ni mpwa wake, wizara ya madini nadhani ulitaka mifano umeshapata
 
Allah anasema (Hakika wanafiki watakuwa ktk tabaka la chin kabsa la moto na wala hawatompata.wa kuwanusuru)
 
Tanzania tunaelekea kujikata na kuwa kisiwa, kidipromasia tunashuka kwa kasi tuachane na siasa za ubinafsi na chuki badala yake tushirikiane kwa pamoja tujenge nchi yetu Tanzania.Kenya has shown the way let us follow the suit.
 
Alituwakilisha vema,kwa kusema ukweli kwa dhamira njema na mpangilio mzuri.Pia upande wa imani aliwaunganisha Wakenya kwa agano la umoja ambalo ni sala. Wengi wanao mnanga wanamuona mnafiki kwa kutoshauri mema katika taifa letu nadhani tuna Watanzania wengi waugwana sana wanakosa jukwaa la kuongelea. Kabudi anadhamira njema na ametumia vema jukwaa la Kenya kwa kusema BBI si ya Wakenya pekee bali EAC pia, hivyo basi kafikisha ujumbe kwetu pia Watz hususani mkuu wetu ajitathimini.
Kwa hakika ametoa hotuba nzuri sana. Jambo ambalo naliona hapa ni kwamba hata hapa nyumbani tunahitaji BBI. Kuna mpasuko mkubwa sana hapa japo kwa sababu tofauti na zile za Kenya. Kabudi alisema kitendo cha Rais Uhuru kutafuta muafaka na aliyekuwa mhasimu wake mkuu Rails Odinga kisichukuliwe kama udhaifu Bali ujasiri. Hii no kweli kabisa. Na kama no hivyo JPM pia achukue hatua ya kuunganisha Haifa. Luna mpasuko mkubwa sasa hivi. Ndo sababu unaona baadhi ya watu wanashangilia, kwa mfano, ndege zetu zibapokamatwa. Au hata pale Taifa Stars ilipofungwa Misri wakati wa michuano ya Afcon. Kitu kama hiki hakijawahi kutokea katika historia ya taifa letu.
 
Back
Top Bottom