Tusemezane ukweli: The right for self defence is recognised in UN charter so as in our Qu'ran..

THE BIG SHOW

JF-Expert Member
Feb 28, 2012
16,159
12,556
Its a shame kwa baadhi ya wale wanaojiita wenyewe ni waislam kushindwa kusimama na kuusem ukweli na kuitangaza dini yao,

Kushindwa kusimama na kuutangazia umma wa ulimwengu uhalisia wa mambo na kuwaeleza kuwa ni wakati wa kuacha kumezesha watu propaganda zilizofikia kikomo,

UN CHARTER inatambua na kuruhusu haki ya self defence to inviduals or to the community,

Ukiangalia hali inavyokwenda kwa sasa ulimwenguni kila leo utaskia umwagaji wa damu maeneo mbali mbali unaosababishwa na sectarian violences au hali mbadala kama kugombania madaraka,rasilimali na kadhalika,

Wapo wanaouana wenyewe kwa wenyewe,wapo wanaouana jamii mbali mbali tofaut na kadhalika,


Baada ya tukio la sept 11 kutokea president George W. Bush alisimama na counter part wake Tony Blair na kutangaza vita vya waz waz dhidi ya wahusika wa tukio lile,na kama hiyo haitoshi alitangaza kwamba hiyo ni vita dhidi ya ugaid na magaid dunian..


Alifikia hatua ya kuutangazia umma kwamba ima uko pamoja nao,au uko against nao kila jumuiya ya kimataifa sharti ijiweke waz msimamo wao kati ya kuungana nao au kupingana nao katika harakati hizo,

Tukaona sheria mbali mbali zikipitishwa katika mabunge yetu,nayo ni sheria mpya ya kupambana na ugaidi na magaidi,,

Baada ya hapo tukaona moja kwa moja uvamiz wa nchi za middle east kutoka kwa america kwa vigezo kwamba nchi hizo zinamiliki silaha za maangamiz na zinawaficha wahusika wa shambulio la SEPT 11 huko america,,,

Taratibu kabisa picha likabadilika,vita dhidi ya ugaid haikuwekwa wazi kwamba nani hasa ni gaidi,ikaja kuonekana wazi waz kabisa either mtu mwenye kuonekana una shahabiana na waarabu au unaonekana una iman flan yenye asili ya uarabuni basi ni SUSPECT,na kwa namna moja ama nyingine utakuwa na case ya kujibu..

AMERICA bila idhini ya BARAZA LA USALAMA la UMOJA WA MATAIFA,bila ushahid wa umiliki wa silaha za nyuklia kwa nchi za middle east,bila ushahid wa kuwa wanahusika na kuwahifadhi hao wanawatuhumu kwa ugaid wakadeploy majeshi yao na kuvamia nchi za middle east na kumwaga damu za raia wengi wasio na hatia,maelfu kwa maelfu,

Kina mama na watoto,wazee na walemavu,ukiachilia mbali ya kwamba raia wale hawajafanya chochote na hawahusiki chochote na tukio la SEPT 11 hawakujli,hawakuskia na wakazidisha jeuri dhid ya wanadamu wale maskini,,,

Miongoni mwa wale wahanga wa umwagaji damu huo wa marekani na washirika wake,wakiamua kufanya retaliation na kujilinda uhai wao na uhai wa familia zao wanaambiwa ni magaidi na wana case ya kujibu na kupelekwa guanatamo bay,abughreib na secret detention camps zingine dunian,,,,

Hali ikazid kuwa mbaya zaid kwani kipindi umwaaji damu huo unaendelea tukashuhudia mission nyingine ya kuchukua rasimali mafuta kutoka nchi hizo kwa lazima na ubabe wa hali ya juu,na hakuna dunian aliesimama kidete kuzungumzia kadhia kama ile na kusikika hadi hivi sasa tunavyozungumza...

Kila mwenye akili timamu anajua kwamba Hakukuwa na silaha za maangamiz na huyo Osama bin laden ni hao wenyewe marekani walimtengeneza kipindi wanapigana vita ya kuindoa USSR middle east kipindi kile,baada sasa ya kuona mission yao imekamilika na kuhitilafiana nae kwa makubaliano yao wakaona gia iliyobakia na kumtumia kwa njia ya kwamba amehusika na SEPT 11 kisha kuwabebesha maelfu ya middle east mzgo wa lawama pamoja na iman ambayo huyo bin laden anabelong pasi na kujali uhalisia wa mafundisho ya iman hiyo...

Ukiangalia sheria za UN haki ya self defence ipo na inaruhusiwa kwa wale wanaonekana kugharimika wanapovamiwa katika maeneo yao,iweje sasa watu hao wanaporeact katika kujidefend waitwe magaid??nin hasa tafsir ya ugaid,na nani ni gaid kati ya yule alievuka mipaka ya nchi yake kwenda kumwaga damu katika nchi ya kigeni na yule ambae yuko nchin mwake anaejaribu kujilinda??

Kama hiyo haitoshi marekani baada ya kuondoka kwake iraq na middle east taratibuuu akatengeneza fitna ya sectarian violence baina ya suni na shia na kuwaachia dhahma ya umwagaji damu ya wenyewe kwa wenyewe huku wao wakiendelea na utaratibu wao wa kuchukua mafuta na kuupaka matope uislam kwamba ni tatizo thats why unashindwa kuleta aman hata katika maeneo hayo,hiyo ni sawa??,,,

Watu fulani,au jamii fulani inapaondamwa na madhila mbali mbali na inapoamua kujilinda na kulinda uhai na amani yao,wasiitwe magaidi au wakorofi,waangaliwe kwa usawa na yule aliewafuata katika maeneo yao na haki yao kisheria ya kufuatwa katika maeneo yao,wanapojilinda ni haki yao,kama vile ilivyokubaliwa kwenye UN CHARTER basi ikubaliwe kwenye uhalisia wa kimaisha pia,,,,

Tukisimama ukweli na kuipa haki nafasi yake na kuupinga unyonge tutaifanya dunia kuwa sehemu njema ya kuishi.
 
Tukisimama ukweli na kuipa haki nafasi yake na kuupinga unyonge tutaifanya dunia kuwa sehemu njema ya kuishi.

Ndugu yangu THE BIG SHOW

Mimi naanzia hapa ulipoishia. Ingawa ni kweli siasa na diplomasia ya kimataifa imetawaliwa sana na double standards bado ningependa kuifahamu kwa upana hiyo UN CHARTER on self defence unayoizungumzia. Naona ndiyo msingi wa hoja yako hapa lakini kwa bahati mbaya hujafanya nukuu yoyote juu ya kile inachotamka.

Halafu nimepata hofu kidogo, je mada inataka kutuambia matendo yale ya kuua watu wasio na hatia ni haki ya kujilinda na hilo linabainishwa/linalindwa na sheria za kimataifa na zile za dini? Embu tuelezane zaidi hapa.
 
Mkuu ili mada yako iwe balanced ni vema ungejadili na uhalisia wa tatizo la ughaidi kwa kina zaidi pia, kama ulivyowajadili Marekani na washirika wake. Mfano, kitendo cha Bin Laden kulipua Marekani kinakubalika? Osama aliwafuata Marekani kwao akalipua, na Marekani wakamfuata Osama kwao wakaanza kuwachapa wafuasi wake mpaka wakaja kumuua na yeye mwenyewe. Hili unaweza kulielezeaje? Nadhani hata wewe mtu akija nyumbani kwako akamdhuru ndugu yako,unaweza kumfuata hata nyumbani kwao kumkabili. Na vitendo vingine vya kigaidi vinavyofanywa na raia wa nchi unazozitetea mfano mauaji dhidi ya balozi wa Marekani na raia wengine watatu wa Marekani yaliyofanywa hivi karibuni huko Libya unayaelezeaje? Kumbuka raia hawa wa Marekani walikuwa hawajavamia mtu wakati wanauawa, na walikuwa Libya kama diplomats kwa mujibu wa sheria za kimataifa na sheria za Libya kama sovereign state. Na vipi kuhusu ulipuaji wa balozi za Marekani Dar na Nairobi, ambao ulihusisha vifo vya watu wasio na hatia na wala hata si raia wa Marekani? Nakubaliana na wewe kwamba baadhi ya njia zinazotumiwa na Marekani kutatua tatizo la ughaidi ni za kidhalimu na zinadhihirisha double standard na unafiki wa hali ya juu. Lakini ukisema ughaidi ni kitu gani kana kwamba hujui kwamba ughaidi ni tatizo unakosea mkuu.
 
Big show, the money monger... corrupted mind, myopic dude

trying to justify any kind of violence just for the sake of it
 
Ni wazi kabisa unatetea mauaji kwa niaba ya imani yako unayoona kwa fikra zako unaonewa. Lakini pia kuna mikataba gani personal inayokuwepo kabla. Kwa mfano osama, sadam hawa wote walikuwa washirika wa mojakwamoja na pia walikuwa wanajuana. Baada ya kushindwa kuelewana ama kuwa wao wamepata nguvu wakakiuka mapatano. Na baya zaidi wakaanza kujificha wakitumia imani zao. Na wakaanza kutumia uarabu against wazungu na watu kama mleta mada ni mshabiki wa aina ya mambo haya. Islam vs chriatian. Ni sheria ya Mungu ukiua kwa upanga utakufa kwa upanga. Ukimdhulumu mwenye nguvu atakukamua mavi hata uwe shimoni atakufuata huko. Ushabiki na kujifanya kujua zaidi mpk ya siri msizozijua ktk nambo ya watu ndy tatizo. Hao wanajaribu kulazimisha kukiuka mapatano kwa kujificha katika dini wanaambulia kufanya hujuma za ugaidi. Kumbe wapate ufumbuzi upi umewaibia unawaua tena. Bigshow acha mawazo ya kuonewa tu siku zote hizo charter unazosema zinasimamiwa kwa haki. Mtu ameniibia nakuja kumtafuta mzazi wake anatoka na panga mimi nina bomu ebo. Hakuna aliye na moyo mbaya kwa kiwango hicho bali kuua watu wasio na hatia bali nihaohao unaowaita wema wana mikataba
Na kwa kuwa inakuwa siri na wao wanaposhindwa kutekelza wanasingizia dini utaifa na wewe kwakuwa mapenzi yako kwao unalisha sumu za kutunga na uongo kuhararisha mawazo yako.
 
Ni wazi kabisa unatetea mauaji kwa niaba ya imani yako unayoona kwa fikra zako unaonewa. Lakini pia kuna mikataba gani personal inayokuwepo kabla. Kwa mfano osamkia, sadam hawa wote walikuwa washirika wapo mojakwamoja na pia walikuwa wanajuana.
Osama na Saddam tofauti yao ni kama vile mashariki na magharibi,hazikutani.

Saddam aliingia madarakani na itikadi ya Ki-baath ambayo ni kufru,mbali na hayo alifikia hatua ya kuitupa Quran dirishani kitendo kilichowafanya wanawazuoni kumfanyia takfiri (kumtoa katika Uislam) , mmoja wa waliomfanyia takfiri Saddam ni Mufti wa Saudi Arabia wa wakati huo Sheikh Abdul Aziz bin Baaz.

Wakati Bin Laden alikuwa ni Muislamu safi (tunamuhisabu hivyo,Allah ndiye bora wa kuhesabu).

Vilevile haijulikani sehemu yoyote ile kuwa Saddam alitubia, mbali ya kuonekana kwake kwenye TV mwishoni mwa maisha yake kama vile ni mtu ambaye alitubia, kitu kinachowafanya Waislamu wengine kulinyamazia suala la Saddam kama alikufa akiwa kafiri au Muislamu (kwa sababu kama alitubia basi toba yake haiko wazi)

Je, bado utaendelea kusema kuwa Osama na Saddam ni washirika?

Hii peke yake inatosha kuyapuuza yale yote yanayofuatia katika ulichokiandika.
 
Ni ngumu sana kuutenganisha Ugaidi na Uislamu. Maana wale wakishaua unasikia Allahu Akbar.
 
Ni ngumu sana kuutenganisha Ugaidi na Uislamu. Maana wale wakishaua unasikia Allahu Akbar.
Kwa vile umeufananisha ugaidi na Uislamu ina maana kwamba tayari unajua maana ya ugaidi ni ipi na maana ya Uislamu ni ipi.
Swali langu kwako; ni nini maana ya ugaidi? fafanua.

Pendekezo kwa Mod; akishindwa kutufafanulia basi apewe ban.
 
jamani samahani,
hivi hiki kitu kinachoitwa Qu'ran ni nini hasa?
 
Its a shame kwa baadhi ya wale wanaojiita wenyewe ni waislam kushindwa kusimama na kuusem ukweli na kuitangaza dini yao,

Kushindwa kusimama na kuutangazia umma wa ulimwengu uhalisia wa mambo na kuwaeleza kuwa ni wakati wa kuacha kumezesha watu propaganda zilizofikia kikomo,

UN CHARTER inatambua na kuruhusu haki ya self defence to inviduals or to the community,

Ukiangalia hali inavyokwenda kwa sasa ulimwenguni kila leo utaskia umwagaji wa damu maeneo mbali mbali unaosababishwa na sectarian violences au hali mbadala kama kugombania madaraka,rasilimali na kadhalika,

Wapo wanaouana wenyewe kwa wenyewe,wapo wanaouana jamii mbali mbali tofaut na kadhalika,


Baada ya tukio la sept 11 kutokea president George W. Bush alisimama na counter part wake Tony Blair na kutangaza vita vya waz waz dhidi ya wahusika wa tukio lile,na kama hiyo haitoshi alitangaza kwamba hiyo ni vita dhidi ya ugaid na magaid dunian..


Alifikia hatua ya kuutangazia umma kwamba ima uko pamoja nao,au uko against nao kila jumuiya ya kimataifa sharti ijiweke waz msimamo wao kati ya kuungana nao au kupingana nao katika harakati hizo,

Tukaona sheria mbali mbali zikipitishwa katika mabunge yetu,nayo ni sheria mpya ya kupambana na ugaidi na magaidi,,

Baada ya hapo tukaona moja kwa moja uvamiz wa nchi za middle east kutoka kwa america kwa vigezo kwamba nchi hizo zinamiliki silaha za maangamiz na zinawaficha wahusika wa shambulio la SEPT 11 huko america,,,

Taratibu kabisa picha likabadilika,vita dhidi ya ugaid haikuwekwa wazi kwamba nani hasa ni gaidi,ikaja kuonekana wazi waz kabisa either mtu mwenye kuonekana una shahabiana na waarabu au unaonekana una iman flan yenye asili ya uarabuni basi ni SUSPECT,na kwa namna moja ama nyingine utakuwa na case ya kujibu..

AMERICA bila idhini ya BARAZA LA USALAMA la UMOJA WA MATAIFA,bila ushahid wa umiliki wa silaha za nyuklia kwa nchi za middle east,bila ushahid wa kuwa wanahusika na kuwahifadhi hao wanawatuhumu kwa ugaid wakadeploy majeshi yao na kuvamia nchi za middle east na kumwaga damu za raia wengi wasio na hatia,maelfu kwa maelfu,

Kina mama na watoto,wazee na walemavu,ukiachilia mbali ya kwamba raia wale hawajafanya chochote na hawahusiki chochote na tukio la SEPT 11 hawakujli,hawakuskia na wakazidisha jeuri dhid ya wanadamu wale maskini,,,

Miongoni mwa wale wahanga wa umwagaji damu huo wa marekani na washirika wake,wakiamua kufanya retaliation na kujilinda uhai wao na uhai wa familia zao wanaambiwa ni magaidi na wana case ya kujibu na kupelekwa guanatamo bay,abughreib na secret detention camps zingine dunian,,,,

Hali ikazid kuwa mbaya zaid kwani kipindi umwaaji damu huo unaendelea tukashuhudia mission nyingine ya kuchukua rasimali mafuta kutoka nchi hizo kwa lazima na ubabe wa hali ya juu,na hakuna dunian aliesimama kidete kuzungumzia kadhia kama ile na kusikika hadi hivi sasa tunavyozungumza...

Kila mwenye akili timamu anajua kwamba Hakukuwa na silaha za maangamiz na huyo Osama bin laden ni hao wenyewe marekani walimtengeneza kipindi wanapigana vita ya kuindoa USSR middle east kipindi kile,baada sasa ya kuona mission yao imekamilika na kuhitilafiana nae kwa makubaliano yao wakaona gia iliyobakia na kumtumia kwa njia ya kwamba amehusika na SEPT 11 kisha kuwabebesha maelfu ya middle east mzgo wa lawama pamoja na iman ambayo huyo bin laden anabelong pasi na kujali uhalisia wa mafundisho ya iman hiyo...

Ukiangalia sheria za UN haki ya self defence ipo na inaruhusiwa kwa wale wanaonekana kugharimika wanapovamiwa katika maeneo yao,iweje sasa watu hao wanaporeact katika kujidefend waitwe magaid??nin hasa tafsir ya ugaid,na nani ni gaid kati ya yule alievuka mipaka ya nchi yake kwenda kumwaga damu katika nchi ya kigeni na yule ambae yuko nchin mwake anaejaribu kujilinda??

Kama hiyo haitoshi marekani baada ya kuondoka kwake iraq na middle east taratibuuu akatengeneza fitna ya sectarian violence baina ya suni na shia na kuwaachia dhahma ya umwagaji damu ya wenyewe kwa wenyewe huku wao wakiendelea na utaratibu wao wa kuchukua mafuta na kuupaka matope uislam kwamba ni tatizo thats why unashindwa kuleta aman hata katika maeneo hayo,hiyo ni sawa??,,,

Watu fulani,au jamii fulani inapaondamwa na madhila mbali mbali na inapoamua kujilinda na kulinda uhai na amani yao,wasiitwe magaidi au wakorofi,waangaliwe kwa usawa na yule aliewafuata katika maeneo yao na haki yao kisheria ya kufuatwa katika maeneo yao,wanapojilinda ni haki yao,kama vile ilivyokubaliwa kwenye UN CHARTER basi ikubaliwe kwenye uhalisia wa kimaisha pia,,,,

Tukisimama ukweli na kuipa haki nafasi yake na kuupinga unyonge tutaifanya dunia kuwa sehemu njema ya kuishi.
Two members of Congress, specially authorized
to view documents on 9/11 censored under the
personal authority of President Bush (43), have
come away “absolutely shocked,” demanding
immediate action.
However, the full story, told for the first time
below, explains “why now” and who is really
being targeted by revelations of cover-up and
conspiracy.
In accusations published yesterday by the leading
Tea Party publication, Family Security Matters,
Saudi Defense Minister and Intelligence chief
Prince Bandar referred to as “Bandar Bush” in his
Wikipedia biography for his close relationship with
that family, was said to be the planner of 9/11.
In an article by Paul Sperry of the Hoover
Institute, Bandar was cited with fleeing the US to
avoid prosecution. Here, Sperry quotes a
government source: “Our investigations
contributed to the ambassador’s departure,” an
investigator who worked with the Joint Terrorism
Task Force in Washington told me, though Bandar
says he left for “personal reasons.”
Despite these pronouncements, these accusations
may well be unfounded speculation. What we
have to ask is why are they being made now and
why by political groups long close to the Saudi
government. Why has Saudi Arabia failed to
respond to these very public accusations coming
from some of the highest authorities in
Washington? “Why are the rats turning on each
other?”
Startling disclosures?
This week, Congressional representatives Stephen
Lynch (D-MA) and Walter Jones (R-NC) have
officially requested a congressional resolution
demanding President Obama declassify the
heavily redacted Congressional Investigative
Report on 9/11.
The two representatives had just been given
authority under penalty of “national security
secrecy” to read the censored 28 pages of the
800-page report that had not been seen.
For nearly a decade, the US has maintained
security policies, both domestic and international,
based on threats now known to have been totally
fabricated. The cost, trillions of dollars, thousands
of Americans dead in wars against “enemies” long
known to have never been involved in terror
attacks on America, the phony “hunt for bin
Laden,” all of it, nothing but utter hogwash.
Bush cited as conspirator
What has been made clear is that President Bush
was fully aware that neither Afghanistan nor Iraq
were involved in 9/11 and that military action
against those two nations was done to cover
involvement of his administration in 9/11,
involvement that included support from foreign
intelligence agencies.
The representatives, while reviewing the report,
came to the portion titled “Specific Sources of
Foreign Support.” A 28-page section here had
been “butchered” by the White House on the
personal orders of President Bush. On the original
report given to Congress, an estimated 5-10,000
words were omitted from this section with page
after page of dotted lines replacing text.
The full report carries a tale of not only broad
complicity of foreign intelligence agencies but, in
the use of the term “complicity,” indications of full
knowledge of the funding and planning of 9/11 by
the Bush administration.
However, the lawmakers, without the support of a
resolution, are under a “gag order” and unable to
name the nation or nations that supplied.
Israel, Saudi Arabia or both
Recent revelations tied to events in Syria and
Egypt have exposed an unimagined level of
cooperation between the intelligence services of
Israel and Saudi Arabia. For years, Israel has
cited Saudi Arabia as the greatest threat to their
security, much greater than Iraq under Saddam or
their claims of a “nuclear Iran.” This and much
else of what Israel has publicly claimed as part of
their “mythology of victimization” is now
recognized as falsehood. Though both Israel and
Saudi Arabia are known as allies of the US, their
partnerships with America have been with specific
groups, extremists within government and the
military willing to back the plots now plainly
evident even when US interests are sacrificed or
even American lives are lost.
Telling, today, is the relationship between Al-
Nusra and other al-Qaeda “franchises” and the
Israeli/Saudi alliance, a relationship that has
provided both financial support and weapons,
used against Syria, Lebanon and Iraq.
The sections of the 9/11 report that were
censored by President Bush may well include
reference to that al-Qaeda/Israel/Saudi nexus.
What is clear is that not only did the Bush
administration wrongly blame bin Laden or “al-
Qaeda,” a spurious and illusory group at best, but
that those cited, Israel, Saudi Arabia or both,
though named for funding and supporting the
9/11 attack, were always under the full control of
the Bush administration.
What does exist is proof that the war on terror
was, in reality as confirmed by General Wesley
Clark, a plan to invade and occupy 7 oil- and
gas-rich nations.
Israel put the blame on Saudi Arabia
In an article released yesterday on
www.familysecuritymatters.org , Paul Sperry of
the Hoover Institute cited, not just the Saudi
government as having been behind 9/11 but set
the relationship between George W. Bush and
Prince Bandar at the crux of the conspiracy.
After the 9/11 attacks, the public was told al-
Qaeda acted alone, with no state sponsors. “But
the White House never let it see an entire section
of Congress’ investigative report on 9/11 dealing
with “specific sources of foreign support” for the
19 hijackers, 15 of whom were Saudi nationals.
It was kept secret and remains so today.
President Bush inexplicably censored 28 full pages
of the 800-page report.”
Sperry goes on: “Saudi consulate official Fahad
al-Thumairy allegedly arranged for an advance
team to receive two of the Saudi hijackers -
Khalid al-Mihdhar and Nawaf al-Hazmi - as they
arrived at LAX in 2000.”
Sperry goes on citing instance after instance
where Saudi intelligence directly aided al-Qaeda
every step of the way.
What is important is that we understand who
Sperry represents. Family Security Matters isn’t a
simple blog. It is the voice of not just the extreme
right but AIPAC as well. Their editors include
Senator Ted Cruz, top GOP domestic policy maker
and former UN Ambassador John Bolton,
Islamophobe extremist, “Israel Firster” and a man
who never saw a war he didn’t love.
“Family Matters” is the power center for
everything pro-money, pro-hate and pro-Israel.
Self-proclaimed “investigative journalist Paul
Sperry serves with the Hoover Institute, along
with former Secretary of State Condi Rice. The
critical aspect of yesterday’s article is that it
represents the first time the Israel lobby has been
willing to throw former President Bush “under a
bus” in order to distance themselves from
accusations of complicity in 9/11.
Prior to the exposure of Israel’s role as “mentor”
for al-Qaeda in Syria, America’s media was able
to suppress not just “conspiracy theories” but
accusations backed by evidence and testimony
that placed Israel at the center of the 9/11
attacks.
Prince Bandar accused of planning 9/11
Though there is no reason to assume Saudi
Arabia is mentioned whatsoever in the redacted
Congressional report, Sperry cites payments by
Bandar to the alleged 9/11 hijackers and other
funding to al-Qaeda.
“Other al Qaeda funding was traced back to
Bandar and his embassy - so much so that by
2004 Riggs Bank of Washington had dropped the
Saudis as a client. The next year, as a number of
embassy employees popped up in terror probes,
Riyadh recalled Bandar.”
Real from conjecture
Members of Congress have openly admitted that
they have seen documentation that would support
an immediate criminal investigation against
President Bush (43) and his closest advisors.
Further, those agencies involved in compiling this
report, key portions of which have remained
secret, were also responsible for lying to the 9/11
Commission, not just through omission. All the
intelligence that sent America into two wars is
now not just suspect, it is proven false.
Recognizing that the nations responsible have not
yet been named, though attempts by Family
Security Matters to subvert this process are
underway, what does stand is evidence of the
same conspiracy.
From a CIA transcript dated September 24, 2001,
Osama bin Laden is quoted: “The United States
should try to trace the perpetrators of these
attacks within itself; the people who are a part of
the US system, but are dissenting against it. Or
those who are working for some other system;
persons who want to make the present century
as a century of conflict between Islam and
Christianity so that their own civilization, nation,
country, or ideology could survive.”
Family Security Matters celebrates the death of
Osama bin Laden as a terrorist fanatic. They also
celebrate the death of Nelson Mandela as a
terrorist fanatic. Mandela was right, as history
has shown.
 
Tukisimama ukweli na kuipa haki nafasi yake na kuupinga unyonge tutaifanya dunia kuwa sehemu njema ya kuishi.

Surat Al Baqara 2:190-194

190. Na piganeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanao kupigeni, wala msianze uadui. Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi waanzao uadui. ***
191. Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri. ***
192. Lakini wakiacha basi Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu. ***
193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Mwenyezi Mungu tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu. ***
194. Mwezi mtakatifu kwa mwezi mtakatifu. Na vitu vitakatifu vimeekewa kisasi. Anaye kushambulieni nanyi mshambulieni, kwa kadiri alivyo kushambulieni. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Na jueni kwamba Mwenyezi Mungu yu pamoja na wachamngu. *

Fanyeni maana ni Allah kawaagiza hivyo ili mje kupata thawabu sitahili huko akhera kama alivyo waahidi.
 
Qu'ran imeweka sheria kali na sitahiki dhidi ya wafanya maovu lakini nasikitika kwamba katika baadhi ya nchi hazitekelezwi. Mfano, miaka nenda miaka rudi shehe Ponda anasumbuliwa kwa kutetea mali za waislamu zilizouzwa kinyemela na wezi wanaojulikana zirejeshwe. Ilitakiwa wezi hao wafanywe hivi:

Surat Al Maida 5:38
38. Na mwizi mwanamume na mwizi mwanamke, ikateni mikono yao, hayo ni malipo ya waliyo yachuma, ndiyo adhabu ya mfano itokayo kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu na Mwenye hikima. ***

Au tuseme uislamu hautekelezeki???
 
Surat Al Baqara
2:190-194

190. Na piganeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu na wale
wanao kupigeni, wala msianze uadui. Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi
waanzao uadui.

***

191. Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote
walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane
nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko
basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya
makafiri.

***

192. Lakini wakiacha basi Mwenyezi Mungu ni Mwenye
kusamehe Mwenye kurehemu.

***

193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini
iwe ya Mwenyezi Mungu tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa
wenye kudhulumu.

***

194. Mwezi mtakatifu kwa mwezi mtakatifu. Na vitu
vitakatifu vimeekewa kisasi. Anaye kushambulieni nanyi mshambulieni, kwa
kadiri alivyo kushambulieni. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Na jueni kwamba
Mwenyezi Mungu yu pamoja na wachamngu.

*


Fanyeni
maana ni Allah kawaagiza hivyo ili mje kupata thawabu sitahili huko
akhera kama alivyo waahidi.

sitaki kuamini kuwa Mungu ni katili kwa kiasi hicho.
Ila huyo Allah aweza kuwa ni zaidi ya hapo..
 
jamani samahani,
hivi hiki kitu kinachoitwa Qu'ran ni nini hasa?
Quran ni maneno ya Mwenyezi Mungu aliyoyateremsha kwa Mtume Muhammad salalahu alayhi wasallam kupitia kwa Malaika Jibril (Gabriel).

Mwanzoni wakati wa Mtume, Swahaba zake walikuwa wakiyaandika maneno hayo katika mawe na njia nyingine za wakati huo, baadaye ikaja kuandikwa katika karatasi na kuwa Kitabu kama hivi tunavyokiona.

Wakati wa Khalifa wa tatu katika Uislamu anayeitwa Uthman bin Affaan, Waislamu waliongezeka sana na kuwa wengi kutoka katika mataifa na makabila mbalimbali ya Kiarabu na ya Kigeni. Ni katika wakati huu ambapo Waislamu walikuwa wakiisoma na kuindika Quran katika lahaja zao.

Uthamaan Bin Affaan akahofia kuwa kama ataiwacha hali iendelee hivi hivi basi Quran itapoteza uasili wake kama ilivyoteremshwa na kubakiwa na lafidhi nyingine mbalimbali, hivyo aliamuru kopi zote za Quran zilizoandikwa katika lafidhi isiyo ya asili yake zichomwe moto na kubakishwa kopi zilizoandikwa kwa lafidhi sahihi na ya asili tu.

Kwa namna hii Uthmaan akafanikiwa kuihifadhi Quran katika asili yake ileile ilyoteremshwa. Katika kuuheshimu mchango huu wa Uthmaan basi Waislamu tunaiita Quran tuliyo nayo mikononi kuwa ni "Quran Uthmaaniyyah".

Na Quran ina majina mengine mengi, miongoni mwao;
Nuur (mwangaza)
Shifaa (tiba au uombezi)
Furqan (inayopambanua haki na batili, uovu na wema, Iman na Kufru n.k).

Natumaini kuwa nimelijibu swali lako ipasavyo.
 
THE BIG SHOW umepewa mlungula na pinda ukawasaliti wenzio gesi imetoka ntwara.Sasa hivi unakuja kwa gia ya ustadh sijui unataka kumtapeli nani!!!!!
 
Surat Al Baqara 2:190-194

190. Na piganeni katika Njia ya Mwenyezi Mungu na wale wanao kupigeni, wala msianze uadui. Kwani Mwenyezi Mungu hawapendi waanzao uadui. ***
191. Na wauweni popote mwakutapo, na muwatoe popote walipo kutoeni; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. Wala msipigane nao kwenye Msikiti Mtakatifu mpaka wakupigeni huko. Wakikupigeni huko basi nanyi pia wapigeni. Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri. ***
192. Lakini wakiacha basi Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu. ***
193. Na piganeni nao mpaka pasiwepo fitina, na Dini iwe ya Mwenyezi Mungu tu. Na kama wakiacha basi usiweko uadui ila kwa wenye kudhulumu. ***
194. Mwezi mtakatifu kwa mwezi mtakatifu. Na vitu vitakatifu vimeekewa kisasi. Anaye kushambulieni nanyi mshambulieni, kwa kadiri alivyo kushambulieni. Na mcheni Mwenyezi Mungu. Na jueni kwamba Mwenyezi Mungu yu pamoja na wachamngu. *

Fanyeni maana ni Allah kawaagiza hivyo ili mje kupata thawabu sitahili huko akhera kama alivyo waahidi.


Mkuu ningependa hii mada usiijadili kiimani Zaidi pamoja na Kua ndani ya Quraan kuna hayo mambo umekua unaleta! Nimesema hivyo Kwasababu hii mada Kama utakwenda kiimani Zaidi utakuja kuona si ukristo Wa kweli na uislam Wa kweli utawezakuja salimika dhidi ya hii Dhana potofu ya MUASI Yani UGAIDI!

Hili ni swala pana sana linafaa kujadili Kwa mambo yote na Kwa pande zote kuangalia mambo Kwa kina!

Ningeomba Mkuu 2013 uje tupate mchango wako!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom