CHIBA One
JF-Expert Member
- Nov 16, 2018
- 560
- 2,087
Nimejaribu kufatilia sana mijadala ya wanawake kuhusiana na mtazamo wao juu ya kuolewa kwanza nimegundua kila mwanamke anatamani sio tu kuolewa bali pia afanye sherehe ambayo atauonyesha ulimwengu kwamba Na yeye amepata wa kumheshimisha na kumchukua kama mke.
Ukifatilia kwenye page za Ma mc, utagundua wanawake wanasifia magauni ya ma bibi harusi, kuchangamka kwao au namna wanavyocheza "these are minor things they are alyways interested with"
Hata wale magumegume, wadangaji, pesa mkononi nao utakuta wanasema " Jamani wanaume mko wapi waolewaji tuko hapa na sisi tucheze kama hivi"
Wanahisi ndoa ni kutingisha viwiliwili vyao kwenye sherehe.
Ndio maana pia wanaume wengi wanajiuliza mara mbili mbili kuoa mtu ambaye focus yake toka day one ni namna ambavyo atacheza kwa bidii kuwakomesha mashosti zake siku hyo kwamba kaolewa.
Lakini humsikii anajipanga vipi kuwa mama, mke na mwanafamilia kwa ndugu na jamaa na mipango ya maisha ya ndoa..
Ndoa si ile sherehe ya kula ubwabwa na kukatika ( tena siku hizi mmekosa staha mnanyanyua kabisa na gauni paja liko nje unamwaga mauno mbele ya wakwe,) Behave please, Ebooo Are you the first one to get married in this world? Halafu utupikie chapati ziko kama Amoeba...Grow up..
Jamani Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano. Baada ya kimya nimerejea.
Amani iwe nanyi
Ukifatilia kwenye page za Ma mc, utagundua wanawake wanasifia magauni ya ma bibi harusi, kuchangamka kwao au namna wanavyocheza "these are minor things they are alyways interested with"
Hata wale magumegume, wadangaji, pesa mkononi nao utakuta wanasema " Jamani wanaume mko wapi waolewaji tuko hapa na sisi tucheze kama hivi"
Wanahisi ndoa ni kutingisha viwiliwili vyao kwenye sherehe.
Ndio maana pia wanaume wengi wanajiuliza mara mbili mbili kuoa mtu ambaye focus yake toka day one ni namna ambavyo atacheza kwa bidii kuwakomesha mashosti zake siku hyo kwamba kaolewa.
Lakini humsikii anajipanga vipi kuwa mama, mke na mwanafamilia kwa ndugu na jamaa na mipango ya maisha ya ndoa..
Ndoa si ile sherehe ya kula ubwabwa na kukatika ( tena siku hizi mmekosa staha mnanyanyua kabisa na gauni paja liko nje unamwaga mauno mbele ya wakwe,) Behave please, Ebooo Are you the first one to get married in this world? Halafu utupikie chapati ziko kama Amoeba...Grow up..
Jamani Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano. Baada ya kimya nimerejea.
Amani iwe nanyi