Tuseme ukweli tu, Hayati Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,316
24,181
Tulio sekta ya ujenzi bado hatujatengemaa kutokana na vurugu tulizopitia miaka hii mitano.

Kabla ya kupata urais Magufuli na sekta ya ujenzi tulikuwa chanda na pete.

Mikutano yote ya wajenzi alihudhuria tena kwa kujipigia chapuo kubwa kwa Rais iwe Mkapa au Kikwete.

Sasa alipopata Urais tukifikiri sasa tutakula bata!

WACHA!

Kwanza kazi zote za serikali akaamuru wapewe TBA, JKT-SUMA Magereza.

Consultancy zote zikaamriwa zifanyike Chuo cha ARDHI.

Hapo makampuni mengi tu yakafa, iwe ya ujenzi au ya consultancy.

Hatujakaa sawa Mwamba akaamuru kazi zote zifanywe kwa mtindo wa Force Account.

Kuna watendaji serikalini wakaenda mbali na kuwapiga marufuku makandarasi katika kazi zozote za Halmashauri au serikali!
Makampuni mengi yakafa mkupuo wa pili.
Sekta aikadhurika sana.

Sekta hii duniani kote ndio ina sambaza fedha kwa uchumi na umma, iwe vibarua, mama ntilie, mabenki na hata ulipaji wa kodi.

Mpaka sasa sekta haijatengemaa vizuri hata baada ya kuona madudu ya TBA, SUMA-JKT, MAGEREZA na vyombo vingine vya serikali ambavyo kuna sehemu vimefanya kazi chini kabisa ya viwango na havisambazi fedha kwenye uchumi.

Tukubali tu Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais.
 
Alikuwa ana wivu sana akiona mtu anapata hela, yaani alikuwa na mshahara wa milioni karibu thelasini, lakini alikuwa tayari kumuonea wivu mfagia Ofisi anayepata mshahara wa laki mbili na nusu.

Alikuwa na kampuni ya ukandarasi ya mayanga ndio alikuwa anaijazia tenda mpaka kujenga uwanja wa ndege chato kwa bilioni arobaini, mayanga imejenga barabara karibu zote za Kanda ya ziwa, lakini makampuni ya wakandarasi ya wenzake anayanyima tenda.

Nasikia hata wale madogo wa JKT waliolitibua dodoma, mpunga waliotakiwa kulipwa uli@(-$-+@((@(@@@ na jiwe

Ni mtu aliyekuwa amejaa roho mbaya sana na ukatili wa hali ya juu
 
Haya Magufuri kaleta hasara kweli nini kifanyike, (akamatwe, afungwe au)

Issues updates ni hizi kwa sasa ...
Kikao Cha familia kinaendelea, tukipata muafaka tutarudi
 
Alikuwa ana wivu sana akiona mtu anapata hela, yaani alikuwa na mshahara wa milioni karibu thelasini, lakini alikuwa tayari kumuonea wivu mfagia Ofisi anayepata mshahara wa laki mbili na nusu.

Alikuwa na kampuni ya ukandarasi ya mayanga ndio alikuwa anaijazia tenda mpaka kujenga uwanja wa ndege chato kwa bilioni arobaini, mayanga imejenga barabara karibu zote za Kanda ya ziwa, lakini makampuni ya wakandarasi ya wenzake anayanyima tenda.

Nasikia hata wale madogo wa JKT waliolitibua dodoma, mpunga waliotakiwa kulipwa uli@(-$-+@((@(@@@ na jiwe

Ni mtu aliyekuwa amejaa roho mbaya sana na ukatili wa hali ya juu
Ile tender ya ujenzi wa uwanja wa Chato ilikaa kifisadi sana na tenda ilitengenezwa ili mkandarasi fulani tu apate.
Tenda ilitangazwa magazetini kama ya kitaifa(National bidding)
Aliyeitangaza toka kitengo cha Procurement wizara ya ujenzi akafukuzwa kazi na Magufuli , kwa nini kaitangaza kitaifa (kama sheria za Tender za PPRA zinavyotaka).

Mwamba akaamuru itangazwe upya ili Tenda iwe kwa makampuni ya Kanda ya Ziwa tu(hapo ikilengwa kampuni ya Mayanga).
 
Tulio sekta ya ujenzi bado hatujatengemaa kutokana na vurugu tulizopitia miaka hii mitano.

Kabla ya kupata urais Magufuli na sekta ya ujenzi tulikuwa chanda na pete.

Mikutano yote ya wajenzi alihudhuria tena kwa kujipigia chapuo kuwa kwa Rais iwe Mkapa au Kikwete.

Sasa alipopata Urais tukifikiri sasa tutakula bata!

WACHA!Kwanza kazi zote za serikali akaamuru wapewe TBA, JKT-SUMA Magereza.

Consultancy zote zikaamriwa zifanyike Chuo cha ARDHI.

Hapo makampuni mengi tu yakafa, iwe ya ujenzi au ya consultancy.

Hatujakaa sawa Mwamba akaamuru kazi zote zifanywe kwa mtindo wa Force Account.

Kuna watendaji serikalini wakaenda mbali na kuwapiga marufuku makandarasi katika kazi zozote za Halmashauri au serikali!
Makampuni mengi yakafa mkupuo wa pili.
Sekta aikadhurika sana.

Sekta hii duniani kote ndio ina sambaza fedha kwa uchumi na umma, iwe vibarua, mama ntilie, mabenki na hata ulipaji wa kodi.

Mpaka sasa sekta haijatengemaa vizuri hata baada ya kuona madudu ya TBA, SUMA-JKT, MAGEREZA na vyombo vingine vya serikali ambavyo kuna sehemu vimefanya kazi chini kabisa ya viwango na havisambazi fedha kwenye uchumi.

Tukubali tu Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais.
Siyo sekta ya ujenzi tu,aliivuruga nchi nzima. Alaaniwe hata huko jehanam aliko
 
Ile tender ya ujenzi wa uwanja wa Chato ulikaa kifisadi sana na tenda ilitengenezwa ili mkandarasi fulani tu apate.
Tenda ilitangazwa magazetini kama ya kitaifa(National bidding)
Aliyeitangaza toka kitengo cha Procurement wizara ya ujenzi akafukuzwa kazi na Magufuli kuamuru itangazwe upya ili Tenda iwe kwa makampuni ya Kanda ya Ziwa tu(hapo ikilengwa kampuni ya Mayanga).
Nchi ilikuwa kama bustani yake ya pale rubambangwe
 
Alivuruga kila kitu... alikuwa anajifanya mjuaji Sana. Lakin kilichokuwa kinamsumbua ni roho mbaya!
Roho mbaya na isiyo ya kistaarabu ndiyo imemfikisha huko aliko.
Kampuni nyingi za wazalendo (contractors, Engineering Cosultancy, Quantity Surveyors na Architects) waliokuwa wakiajiri watu wengi na kulipa kodi stahiki, zimefungwa toka Awamu ya 5.
 
pamoja na yote hayo…Hayati John Magufuli ndio Mtanzania aliehusika moja kwa moja na masuala ya ujenzi wa miundombinu kuliko Raia yeyote yule

kwa Hayati Benjamin Mkapa alihudumu Kama Naibu wa ujenzi maika 5 na kama waziri kamil kwa miaka mitano…

kwa Jakaya kahudumu kama Waziri wa Ujenzi 5 years

kama Rais kahudumu kama Rais was Ujenzi 6 years

kwa ujumla kahudumu kwa miaka 21 na kafanya kazi kubwa Sana
 
Tulio sekta ya ujenzi bado hatujatengemaa kutokana na vurugu tulizopitia miaka hii mitano.

Kabla ya kupata urais Magufuli na sekta ya ujenzi tulikuwa chanda na pete.

Mikutano yote ya wajenzi alihudhuria tena kwa kujipigia chapuo kuwa kwa Rais iwe Mkapa au Kikwete.

Sasa alipopata Urais tukifikiri sasa tutakula bata!

WACHA!Kwanza kazi zote za serikali akaamuru wapewe TBA, JKT-SUMA Magereza.

Consultancy zote zikaamriwa zifanyike Chuo cha ARDHI.

Hapo makampuni mengi tu yakafa, iwe ya ujenzi au ya consultancy.

Hatujakaa sawa Mwamba akaamuru kazi zote zifanywe kwa mtindo wa Force Account.

Kuna watendaji serikalini wakaenda mbali na kuwapiga marufuku makandarasi katika kazi zozote za Halmashauri au serikali!
Makampuni mengi yakafa mkupuo wa pili.
Sekta aikadhurika sana.

Sekta hii duniani kote ndio ina sambaza fedha kwa uchumi na umma, iwe vibarua, mama ntilie, mabenki na hata ulipaji wa kodi.

Mpaka sasa sekta haijatengemaa vizuri hata baada ya kuona madudu ya TBA, SUMA-JKT, MAGEREZA na vyombo vingine vya serikali ambavyo kuna sehemu vimefanya kazi chini kabisa ya viwango na havisambazi fedha kwenye uchumi.

Tukubali tu Magufuli aliivuruga sekta ya ujenzi akiwa Rais.
Lile jamaa lilikuwa na roho mbaya tu,alijenga hoja nyepesi eti ni wapigaji ukimbana tuonyeshe wanapigaje wakati sio walipaji hana majibu,

Alakaleta mbwembwe. Na uingo na upotoshaji, eti bil 10 zinatosha kujenga mabweeni, baada ya ripiti ya CAG kuonyesha ni ni bil. 54+

Amewaaminisha wapuuzi wengi eti consultants na contractors hawafai ni wezi wakati kila mwaka anapokea hela zao za registration fees and practice license fees

Uchumi umedumaa kwa kuwa hakuna flow nzuri ya pesa mtaani, force account haiwezi peleka hela mtaani, pili force account haiwezi kuza ufanisi na utaalamu kwenye ujenzi

Mbona stiglerd nasgr hakutumia force account, yale makampuni ni makubwa kea kuwa nchi zao zimeyalinda na kuyapa fursa za kujua, hapa kwetu sera zao ni kuua kampuni zinazoinukia

Bongo za watu weusi kama magufuli zina walakini

Hili jamaa lilikuwa lijinga Sana
 
pamoja na yote hayo…Hayati John Magufuli ndio Mtanzania aliehusika moja kwa moja na masuala ya ujenzi wa miundombinu kuliko Raia yeyote yule

kwa Hayati Benjamin Mkapa alihudumu Kama Naibu wa ujenzi maika 5 na kama waziri kamil kwa miaka mitano…

kwa Jakaya kahudumu kama Waziri wa Ujenzi 5 years

kama Rais kahudumu kama Rais was Ujenzi 6 years

kwa ujumla kahudumu kwa miaka 21 na kafanya kazi kubwa Sana
Yeye alikuwa mtekelezaji tu wa sera zilizokwisha amuliwa.
Mlio nje ya sekta hii hamjui madudu mengi yaliyofanyika.
 
nami nampongeza kwa yale aliyosimamia na kutekeleza hadi tukashudia maboresho ya miundo mbinu …wewe ulie 'jikoni ' unaeona tusiyoyaona sie wajinga wajinga una uhuru wa kumlaumu
Yeye alikuwa mtekelezaji tu wa sera zilizokwisha amuliwa.
Mlio nje ya sekta hii hamjui madudu mengi yaliyofanyika.
 
Back
Top Bottom