Tuseme tu ukweli, ujenzi unahitaji kujinyima sana

Tukiona vijana wanajinyima starehe, anasa, matumizi holela tunafurahi sana.

Leo ni siku ya vijana kufunguka: Ni changamoto gani ulikutana nayo au unakutana nayo wakati unajenga nyumba yako? Umekwama wapi?

Shea nasi uzoefu tujifunze kwa pamoja.
Mna komplicate tuu maisha ,kama huna pesa unajenga Ili uvumbue nini? Kwanza utaishia kujenga kibanda badala ya nyumba.
 
Kujenga nyumba ya "kuishi" ni kupoteza rasilimali.. Jenga nyumba ya kuuza au kupangisha.. full stop..

Wanaojinyima wanajenga nyumba za kuishi na hapo ndipo fikra zao zinapoishia..
Usidanganyike angalia hali uliyonayo, wengine wanafamilia kubwa itagharimu fedha nyingi kupanga hivyo, ni vema ukajenga.

Wenye famila ndogo, hilo linawezekana lakini pia kukaa nyumba uliojenga kwa design yako unayoipenda wewe ina raha sana.
 
Ujenzi wetu vijana wengi wa Kitanzania ni wa gharama kubwa kutokana na sababu zifuatazo

1. Kujenga bila ya kuwa na plan (Phases)
mfano mtu anaweza akaanza kujenga nyumba akiwa na milioni kumi.. lakini kiuhalisia hajapiga hesabu nyumba yake gharama kamili ni kiasi gan..

wala haja anticipate gharama za uendeshaji mradi ambazo haziko wazi.. kama vile usafiri wa material.. upatikanaji wake.. gharama za maji.. na
vitendea kazi vingine.. anajikuta katika ile kumi 10% hadi 20% inaingia kwenye hidden charges ambazo hakuzifanyia utafiti..

matokeo yake pesa inakata.. nyumba haijafikia ambapo alitegemea ifike.. huku akiwa kabakisha material ingine lakin hana pesa ya uendeshaji mradi .. hapo unajikuta mtu anapiga gape la miaka mingine kama 2 - 5 ndo walau aanze tena kusogeza nyumba.. lakini ile material haina ubora wa kutumika tena


2. sababu ingine ni kujenga kutokana na jinsi pesa inavyopatikana yaani unapata 2m unashusha tofal.. unakaa miez sita unapata 2m unaita fundi mnanunua cement, mchanga na mengineyo mnasogeza kozi mbili tatu.. ujenzi wa hiv unajikuta unatumia gharama kubwa zaid hadi nyumba iishe..

na ukitumia 5+ yrs katika ujenzi utakuta nyumba imeanza kuchoka kabla haijaisha.. sababu nyumba ambayo ni pagala au haikaliwi inachakaa haraka zaid.. kuliko inayokaliwa

3. Kutumia mafundi wetu waliojifunzia ujenzi mtaan ambao kiuhalisia hawana utaalam wa ujenzi.. yeye anajua kupanga tofali.. wamekariri vitu vingi tu ambavyo wanatuingiza chaka.. maana tunawatumia wao kama washauri wa kiufundi kumbe na wao watupu.. mbaya zaidi hawajui kuwa hawajui

kwa hiyo unajikuta utatumia gharama nyingi kurekebisha makosa .. ndo maana wanaaema ujenzi wa kimaskini hauishi.. sababu fundi wa mtaan atakupa gharama ndogo.. ila kila leo utajikuta unarekebisha hiki au kile .. iwe sababu ilikuwa ni ushauri mbaya wa kiufundi.. au ushauri mbaya wa kununua vitu feki ambavyo havidumu.. aidha amefanya makusudi au bila kujua

hata mara baada ya nyumba kuisha.. mara mabat yanavuja.. mara nyufa zimeongezeka.. mara mbao za paa zina hiki.. mara milango na grills kuna shida yaan kila mwaka walau una kitu cha kurekebisha.. iwe mfumo wa maji.. taka au maji safi au umeme au nyumba yenyewe..

yote kwa yote changamoto za ujenzi zinakuwa kubwa zaid kama ndo unajenga ujenz wa kudunduliza.. maana kichwani akili yako itakuwa inawaza unafuu kwenye kila kitu kuliko ubora wa kitu.. kuanzia ufundi, vitendea kazi hadi material yenyewe.. mwisho wa siku unajikuta umeingia gharama zaid ..

kikubwa hataka kama unajenga ujenz wa kudunduliza hakikisha una consider kila kitu na kila kila hatua umeifanyia upembuzi yakinifu..

na njia rahis ya kufanya hata kama huna ABC za ujenzi kama umepanga kuanza ujenzi desemba ww leo hii tafuta mafundi hata wa 3 au wa 5 tofauti nenda nao site kila mtu na mda wake bila wao kujua hata ukitumia gharama kidogo sio mbaya

kaa nao chini wahoji wakupe mchanganuo kiufundi.. wala usihangaike nao kwenye gharama waache wataje gharama zao sababu hapo ww unataka kujua je unaweza kumtumia kama mshauri wa ufundi na anajua anachokifanya?, hapo ww unawafanyia usaili wa utaalam wao ni wa kiwango gani

katika mafundi wa tano utakuja kujua yupi anajua kupanga tofali tu lakini hana utaalamwa ujenzi na yupi kabobea kwenye nini.. itakupa picha nani unaweza mtumia kwenye level ipi kama ni full package au ama la..

unawahoji kuanzia ufundi wao hadi ubora wa material zikakazo tumika na kila jibu akupe sababu kwa nn anahis hiki bora kuliko hiki.. kama amekariri utajua tu..

Mafundi wetu wengi wa mtaan iwe ujenzi, umeme au magari hawajuagi kusema kitu flan sijui.. ndo wanatuingizaga sana hasara
Yote hayo.yanasababishwa na boss mwenyewe mtu anataka.kitu.bora lakin.hayuko tayar kukigharamikia anataka mtelemko sasa kwenye ujenz ukipenda vya dezo lakin ikugharimu Mara mbili usijal cost jali ubora wa bidhaa na huduma.note nimeongea kulingana na uzoefu wangu Mimi ni fund
 
Huyo wa laki tisa.atakuingiza chaka matokeo yake utayapata badae Sana mkuu saiz utajiona umeokoa jambo time will tell
Fundi kaniambia et kuta atainua wa million tatu!!!!

Vyumba vipo vi5
Nkaona ujinga hu ngoj nili pozi njichange
Wakat naendelea kawaza kuna mwingine kaomba kazi atajenga kwa laki9
Nae bado nnamfikilia hapa
 
Tukiona vijana wanajinyima starehe, anasa, matumizi holela tunafurahi sana.

Leo ni siku ya vijana kufunguka: Ni changamoto gani ulikutana nayo au unakutana nayo wakati unajenga nyumba yako? Umekwama wapi?

Shea nasi uzoefu tujifunze kwa pamoja.
Fedha za kumalizia ujenzi mkuu zinanisumbua sana
 
Tukiona vijana wanajinyima starehe, anasa, matumizi holela tunafurahi sana.

Leo ni siku ya vijana kufunguka: Ni changamoto gani ulikutana nayo au unakutana nayo wakati unajenga nyumba yako? Umekwama wapi?

Shea nasi uzoefu tujifunze kwa pamoja.
Nilipata Stress baada ya kupiga mahesabu ya kupaua nyumba yangu iliyotosha 9M. Badala yake ikafika 14M. Nilichanganyikiwa.
 
Fundi kaniambia et kuta atainua wa million tatu!!!!

Vyumba vipo vi5
Nkaona ujinga hu ngoj nili pozi njichange
Wakat naendelea kawaza kuna mwingine kaomba kazi atajenga kwa laki9
Nae bado nnamfikilia hapa
Inategemea na eneo. Hiyo milioni Tatu mpe especially kama ni mjini.

Kwa vijijiji sawa
 
Ujenzi wetu vijana wengi wa Kitanzania ni wa gharama kubwa kutokana na sababu zifuatazo

1. Kujenga bila ya kuwa na plan (Phases)
mfano mtu anaweza akaanza kujenga nyumba akiwa na milioni kumi.. lakini kiuhalisia hajapiga hesabu nyumba yake gharama kamili ni kiasi gan..

wala haja anticipate gharama za uendeshaji mradi ambazo haziko wazi.. kama vile usafiri wa material.. upatikanaji wake.. gharama za maji.. na
vitendea kazi vingine.. anajikuta katika ile kumi 10% hadi 20% inaingia kwenye hidden charges ambazo hakuzifanyia utafiti..

matokeo yake pesa inakata.. nyumba haijafikia ambapo alitegemea ifike.. huku akiwa kabakisha material ingine lakin hana pesa ya uendeshaji mradi .. hapo unajikuta mtu anapiga gape la miaka mingine kama 2 - 5 ndo walau aanze tena kusogeza nyumba.. lakini ile material haina ubora wa kutumika tena


2. sababu ingine ni kujenga kutokana na jinsi pesa inavyopatikana yaani unapata 2m unashusha tofal.. unakaa miez sita unapata 2m unaita fundi mnanunua cement, mchanga na mengineyo mnasogeza kozi mbili tatu.. ujenzi wa hiv unajikuta unatumia gharama kubwa zaid hadi nyumba iishe..

na ukitumia 5+ yrs katika ujenzi utakuta nyumba imeanza kuchoka kabla haijaisha.. sababu nyumba ambayo ni pagala au haikaliwi inachakaa haraka zaid.. kuliko inayokaliwa

3. Kutumia mafundi wetu waliojifunzia ujenzi mtaan ambao kiuhalisia hawana utaalam wa ujenzi.. yeye anajua kupanga tofali.. wamekariri vitu vingi tu ambavyo wanatuingiza chaka.. maana tunawatumia wao kama washauri wa kiufundi kumbe na wao watupu.. mbaya zaidi hawajui kuwa hawajui

kwa hiyo unajikuta utatumia gharama nyingi kurekebisha makosa .. ndo maana wanaaema ujenzi wa kimaskini hauishi.. sababu fundi wa mtaan atakupa gharama ndogo.. ila kila leo utajikuta unarekebisha hiki au kile .. iwe sababu ilikuwa ni ushauri mbaya wa kiufundi.. au ushauri mbaya wa kununua vitu feki ambavyo havidumu.. aidha amefanya makusudi au bila kujua

hata mara baada ya nyumba kuisha.. mara mabat yanavuja.. mara nyufa zimeongezeka.. mara mbao za paa zina hiki.. mara milango na grills kuna shida yaan kila mwaka walau una kitu cha kurekebisha.. iwe mfumo wa maji.. taka au maji safi au umeme au nyumba yenyewe..

yote kwa yote changamoto za ujenzi zinakuwa kubwa zaid kama ndo unajenga ujenz wa kudunduliza.. maana kichwani akili yako itakuwa inawaza unafuu kwenye kila kitu kuliko ubora wa kitu.. kuanzia ufundi, vitendea kazi hadi material yenyewe.. mwisho wa siku unajikuta umeingia gharama zaid ..

kikubwa hataka kama unajenga ujenz wa kudunduliza hakikisha una consider kila kitu na kila kila hatua umeifanyia upembuzi yakinifu..

na njia rahis ya kufanya hata kama huna ABC za ujenzi kama umepanga kuanza ujenzi desemba ww leo hii tafuta mafundi hata wa 3 au wa 5 tofauti nenda nao site kila mtu na mda wake bila wao kujua hata ukitumia gharama kidogo sio mbaya

kaa nao chini wahoji wakupe mchanganuo kiufundi.. wala usihangaike nao kwenye gharama waache wataje gharama zao sababu hapo ww unataka kujua je unaweza kumtumia kama mshauri wa ufundi na anajua anachokifanya?, hapo ww unawafanyia usaili wa utaalam wao ni wa kiwango gani

katika mafundi wa tano utakuja kujua yupi anajua kupanga tofali tu lakini hana utaalamwa ujenzi na yupi kabobea kwenye nini.. itakupa picha nani unaweza mtumia kwenye level ipi kama ni full package au ama la..

unawahoji kuanzia ufundi wao hadi ubora wa material zikakazo tumika na kila jibu akupe sababu kwa nn anahis hiki bora kuliko hiki.. kama amekariri utajua tu..

Mafundi wetu wengi wa mtaan iwe ujenzi, umeme au magari hawajuagi kusema kitu flan sijui.. ndo wanatuingizaga sana hasara
Kwenye ufundi bwana mimi sijawahi ona Nyumba inabomoka kwa sababu ufundi mbovu. Tumeishi huko mikoani nyumba zinajengwana mafundi very local. Tangu nizaliwe na sasa nazeeka sijawahi ona.

Ujenzi ni standards za wastani hakuna haja ya mbwembwe na gharama kubwa. Unless kama unajenga ghorofa
 
Naongea Mimi ni fund mkuu kaz zake hazikup guarantee ya kuwa kaz Zake ni bora fuata ushaur wangu.mchukue hyo wa million tatu ongeen kiume akupunguzie lakin.ukisema utafuata unafuu bira kuangalia ubora itakula kwako

3millio kwa vyumba vi tatu vyakulal na sebule mkuu Hapana
 
Eti ili nipumue niwajengee angalau vyumba vitatu kwa kipato cha 15000 kwa siku na kula humohumo huyo si adhabu wadau?
 
Ukitaka kujenga kwa haraka na pesa huna hapo ni kweli unahitaji kujinyima.

Ukitaka kujenga kwa haraka na pesa unazo hauhitaji kujinyima kwa sababu pesa ya bata utakuwa nayo na pesa ya kujenga itakuepo.

Na ukitaka kujenga haraka na pesa hauna hapa ndio tatizo utaona kila kitu ni kufuja kwa sababu unataka haraka.

Jenga taratibu huku unakula maisha,ukifa hiyo nyumba mwanao atauza na pesa atatumia kwa mambo mengine,au ataimalizia na kukaa yeye.

Nashangaa mtu anatumia 80% ya kipato chake kujengea,wakati wadau werevu hutumia 30% ya kipato kujengea.


Hakuna haja ya haraka,fanya haraka kutafuta KIWANJA.

Mwenye masikio na asikie☺☺
 
Ukitaka kujenga kwa haraka na pesa huna hapo ni kweli unahitaji kujinyima.

Ukitaka kujenga kwa haraka na pesa unazo hauhitaji kujinyima kwa sababu pesa ya bata utakuwa nayo na pesa ya kujenga itakuepo.

Na ukitaka kujenga haraka na pesa hauna hapa ndio tatizo utaona kila kitu ni kufuja kwa sababu unataka haraka.

Jenga taratibu huku unakula maisha,ukifa hiyo nyumba mwanao atauza na pesa atatumia kwa mambo mengine,au ataimalizia na kukaa yeye.

Nashangaa mtu anatumia 80% ya kipato chake kujengea,wakati wadau werevu hutumia 30% ya kipato kujengea.


Hakuna haja ya haraka,fanya haraka kutafuta KIWANJA.
😍
 
Back
Top Bottom