Tuseme kwenye Makinikia Magufuli kawa Makini Cameroon je, Taifa stars imemakinika?

Unakumbuka kifo cha Mawazo na mazingira ya kuzikwa kwake?

Unakumbuka bomu likilolipuliwa kwenye mkutano wa Chadema Olasiti Arusha?

Unakumbuka kupotea kwa Ben Saanane na majibu ya serikali?

Unakumbuka hotuba ya Magufuli Zanzibar juu ya kumshughulikia hasimu wa Dr.Shein ndani ya dk.5?

Unakumbuka katazo la kuonyesha vipindi vya bunge?

Unakumbuka katazo la kufanya mikutano ya siasa ?

Seriously unataka niendelee na hii litania?

Rais anakuwa too partisan!
Sherehe za uhuru zinageuka za CCM .
Siku ya wafanyakazi inakuwa siku ya CCM.

The list goes on and on !
 
Unakumbuka kifo cha Mawazo na mazingira ya kuzikwa kwake?

Unakumbuka bomu likilolipuliwa kwenye mkutano wa Chadema Olasiti Arusha?

Unakumbuka kupotea kwa Ben Saanane na majibu ya serikali?

Unakumbuka hotuba ya Magufuli Zanzibar juu ya kumshughulikia hasimu wa Dr.Shein ndani ya dk.5?

Unakumbuka katazo la kuonyesha vipindi vya bunge?

Unakumbuka katazo la kufanya mikutano ya siasa ?

Seriously unataka niendelee na hii litania?

Rais anakuwa too partisan!
Sherehe za uhuru zinageuka za CCM .
Siku ya wafanyakazi inakuwa siku ya CCM.

The list goes on and on !
 
Unakumbuka kifo cha Mawazo na mazingira ya kuzikwa kwake?

Unakumbuka bomu likilolipuliwa kwenye mkutano wa Chadema Olasiti Arusha?

Unakumbuka kupotea kwa Ben Saanane na majibu ya serikali?

Unakumbuka hotuba ya Magufuli Zanzibar juu ya kumshughulikia hasimu wa Dr.Shein ndani ya dk.5?

Unakumbuka katazo la kuonyesha vipindi vya bunge?

Unakumbuka katazo la kufanya mikutano ya siasa ?

Seriously unataka niendelee na hii litania?

Rais anakuwa too partisan!
Sherehe za uhuru zinageuka za CCM .
Siku ya wafanyakazi inakuwa siku ya CCM.

The list goes on and on !

Sasa hapo point yako iko wapi!!! au labda hukuielewa vizuri point yangu!?
 
Matokeo ya kamati ya pili tayari!
Kuna kila dalili kuwa ni utumbo kama ule utumbo wa mwanzo.

Anyway....
CCM tumeshaizoea, wakwanza kutuibia, wakwanza kupiga kelele za mwizi, wakwanza kuuzia mtu kesi.
Ujanja wa kizamani vileee!

Tanzania underachievers kweli?
Group L: Group seeds Cape Verde might have been encouraged when the groups were drawn and they were pitted against Uganda -- on paper, the second weakest of the second seeds.
However, the Cranes' reputation has been bolstered after impressing in patches at the Afcon, and the nous of Milutin Sredojevic could see them edge past the islanders.
Underachievers Tanzania were eased out of the way by Nigeria and Egypt during qualification for the 2015 Nations Cup, while tiny Lesotho may have beaten Seychelles in March 2016, but won't cause an upset here.

Ndio tufanyeje sasa, Ndio kina Bashite wanaandaa siasa za j3 kuua budget ya upinzani!
Ndio hiena hiena tena, ndio ushindi huo!

Ila wenye akili mjue!
Matokeo ya tume ya pili yameanzia pale tume ya kwanza ilipoishia.
Hayajibu doubts zozote za mwanzo.

Ok, tuseme CCM makinikia tumeibiwa, je timu ya taifa nayo tumeibiwa?

Wewe ndiyo ulikuwa"overachiever" darasa moja chuo na Bashite?
 
If you cannot understand what I have written, then what is it that you have read?
Do you want me to understand what uve written or just the perception of it?
B/coz you talk of reading btn the lines , which means you are talking of the hidden meaning ....
 
Do you want me to understand what uve written or just the perception of it?
B/coz you talk of reading btn the lines , which means you are talking of the hidden meaning ....
There's nothing to perceive in this case, unless you want to meditate on it till the so-called "hidden meaning" becomes revealed to you.
 
Back
Top Bottom