Tuseme kweli Polisi wanatisha, hata polisi mwenzao wakimtembelea kwake na defenda bila taarifa huwa na uoga kuwa kaja kushikwa

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Aug 9, 2018
449
408
Jamani kusema ukweli Polisi nawaogopa na kuwaheshimu, ingawa polisi wetu wanasifika kwa kufuata sheria lakini kauoga huwa kapo.

Yaani polisi wenyewe kwa wenyewe huogopana kushikana, mfano polisi kamaliza shughuli zake salama, karudi kwake mida ya SAA mbili usiku au jioni wenzao walio doria waseme tupite kwa mwenzetu tumsabahi, Nina uhakika wa asilimia mia lazima mapigo ya moyo yamwende mbio. huo ni utafiti wangu mdogo.
 
Huu uzi bila picha hauwezi kunoga! Tuwekee na hizo picha za hao polisi tuone ni kwa namna gani wanatisha.
 
Shule zimefunguliwa leo. Hujaenda? Maana unakuja andika utoto sababu ukikojoa kitandani unatishiwa polisi ndo nawe unaogopa?polisi ni wa kawaida sana binti.
 
Nakumbuka mwaka 2016 nikitokea maswa kwenda jijini mwanza, tulipofika buhongwa basi ikapigwa mkasi na karandinga wakashuka washikaji wawili wakamfiata mdau niliekuwa nae siti moja wakampiga bangili..... Mshikaji akasema Mimi ni asikari huku anataka kulia huku analeta ubishi kuvaa bangili. Alipoonyeshwa mguu wa rungu alinywea tuliii,

Alipofikishwa mlangoni mama mmoja( nadhani alikiwa anamsaka mtuhumiwa) akasema sio yeye!

Wakati wa sakata jamaa mmoja akaruka dirishani akatimua mbio ambaye ndiye mtuhumiwa og!

Poti akafunguliwa pingu akaanza kufoka sana, washikaji zake wakamwambia potezea.... ukijichanganya kwa matusi tena jioni RPC atasoma press!

Akawa mpole saaana, had I lnyegezi haongei.


Nakuunga mkono, hata polisi mwenyewe likimtimbia karandika wapo full helment atapaniki vibaya mno
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom