ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,557
- 44,744
Serikali ilikuwa na nia njema tu kuzifungia sites za ngono maana watu walibumbwa sana huko katika sites mpaka maofisini watu wanaperuzi tu mpaka akili zinachoka na wengine wanaishia kupiga pull sio kwamba vijana wanapenda kupiga punyeto Bali umasikini wa kukosa pesa ya kuhonga mabinti pamoja na hizi video ndio zinazochochea tabia hizo matokeo yake laana inalitafuna taifa na dunia kwa ujumla kwani uvivu unatamalaki miongoni mwa vijana.tuisaidie serikali angalau ipunguze hili tatizo kwa kutaja machimbo ambayo Bado hayajafungiwa Yale ambayo bila VPN unaweza kutembelea.
Kuna hili la kuitwa OK.XXX aisee Kama Kuna uwezekano na hili lifungieni.Nitaorodhesha na mengine ili TCRA wayafanyie kazi.
Kuna hili la kuitwa OK.XXX aisee Kama Kuna uwezekano na hili lifungieni.Nitaorodhesha na mengine ili TCRA wayafanyie kazi.