kyaibumba
JF-Expert Member
- Sep 8, 2017
- 715
- 989
Habari wadau,
Nina plan ya kuanzisha kituo cha radio huko Tanzania,
Ninoamba mwenye idea ni process zipi napitia mpaka kumaliza mchakato mzima na gharama husika, na Itachukua mda gani?
Nikipata Likizo yangu ya week 3 mwaka huu nataka nijipange vya kutosha juu ya suala hilo
Nina plan ya kuanzisha kituo cha radio huko Tanzania,
Ninoamba mwenye idea ni process zipi napitia mpaka kumaliza mchakato mzima na gharama husika, na Itachukua mda gani?
Nikipata Likizo yangu ya week 3 mwaka huu nataka nijipange vya kutosha juu ya suala hilo