Ungeishiaga la saba tuu ingekuwa poa ungeingia kwny biashara ungekuwa mbali sana now cha msingi kujua kuandika kusoma na kuhesabu tuu bac kusoma madigrii uko kupoteza mda tuu
Mimi nilishia lasaba 2007 nikiwa na miaka 14 nikanza biashara ya kuuza karanga na sigara stend ila mwaka 2009 nikaingia jeshini nikiwa na miaka 16 now nasaidia marafiki zangu wenye digrii na ndugu zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.