GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,795
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda @baba_keagan leo amekutana na Wamiliki wa Vyombo vya Habari upande wa Online na kuzungumza nao, ''Ninaaanda Mashindano na Kwenye mashindano hayo kuna zawadi kwa mwandishi na mwananchi utakayefanya naye hiyo kazi, Mimi nitatoa maswali 12, na wewe utatunga Maswali yako 12 ila topic iwe inahusu maswala ya SADC, Maswali haya yaulizwe Bar, masokoni, Saluni na waendesha Bodaboda.
Chanzo: Millard Ayo
Chanzo: Millard Ayo