ElizaDada yupi:- Eliza Bony au Trolly?
Sio kivuko hicho! Ni kidaraja.CCM mbele kwa mbele
Hiki ni kivuko killichopo katika kata ya Lizaboni mjini Songea mkoani Ruvuma. Ujenzi wake umegharimu kiasi cha Sh. 7.8 milioni. Hapa ni wakati kikikaguliwa na Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM ya Mkoa.
View attachment 1136424
Tunatakatisha kwa jina la chama....Ubaya ni pale kitu kilichogharimu 500,000/- ututangazie kimegharimu 7,800,000/-
Daraja linafunguka kwa remote piaNyinyi wapiga mayowe..
Nani humu ni mtaalamu wa ujenzi alete hoja za msingi sio haya mapambio yenu na umbea tuu.
Mtoa mada unapokurupuka uwe unakumbuka kuweka na picha za awali kabla ya ujenzi..B4 and After